Ushauri wa Bure: Ukijikwaa ukaanguka, usiangalie tu pale ulipoangukia, bali angalia pale ulipojikwaa

Ushauri wa Bure: Ukijikwaa ukaanguka, usiangalie tu pale ulipoangukia, bali angalia pale ulipojikwaa

Mkuu JokaKuu, kwanza niendelee kukushukuru tena na tena kwa hoja zako mujarab kwenye issue hii ya ubunge wa kina Mdee.
Rules are rules and must always be obeyed, kukitokea jinai yoyote, hatua ya kwanza ni kuripoti polisi, unless ni jinai ya bodily injury or harm, then hatua ya kwanza ni saving lives ndipo PF.3 ifuate tena kuna lots of lives wasted kwa hospital kukataa kuwapokea majeruhi mpaka waje na PF.3.

Lissu kabla hajashambuliwa alifanya press conference na kueleza anafuatiliwa hadi kutaja number ya gari!, what did the police do?. They did nothing kwasababu Lissu was supposed to report polisi na sio kuishia kwenye press conference kwa kuamini taarifa yake imelifikia Jeshi Letu la Polisi!.

The facts that Chadema walitoa taarifa hawateui viti maalum, na baada ya wabunge waliojiteua kuapishwa was a very good reason why Chadema should have reported immediately this crime kwasababu ni uchaguzi wa kijinai ndio ungewapa Chadema a documentary evidence ya basis ya uamuzi wa kuwatimua kupitia zile Kangaroo Court zake.

Serikali haiwekani kuchunguza jinai ya a private entity. Vyama vya siasa ni public entities kwa upande wa katiba zake na matumizi ya fedha za ruzuku lakini day to day operations, ni like a private entity.

Na hili sio kwa Chadema tuu, hata CCM, sote tunajua udukuzi ni kosa la jinai, ukifanyika udukuzi wowote jeshi la polisi lilipaswa kuchunguza, kuna watu walidukuliwa, voices notes zao za private conversations zikamwagwa public against the right to privacy, what did Jeshi la polisi do?, they did nothing!. Sababu, no one reported!.

Rais wetu wa wakati huo akakasirika kwasababu ya voice notes hizo, akawatumbua watu na kukielekeza chama kuwachukulia hatua, nilieleza humu, it was all wrong Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

Kama kuwasaidia wenzetu Chadema kwa kuwashauri the right thing to do ni kujitoa ufahamu, then be it, na vipi ushauri wa kuitaka itende haki ili kuepuka karma?

A very valid question, thanks God mimi namjua aliye wateua kisha akawaita mahali kuwabembeleza wajitoe, wakamgomea, hivyo akawageuka na hapa nimewatajia Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?

Now you coming to the right sense, the bone of contention is the appointment letter. Niliuliza humu hamjibu Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?

The one who alleges must prove

Hapa umesema kweli tupu Nakiri media yetu tuna problem Tanzania tuna uhuru wa habari, ila media oga! Tungekuwa mbali sana kimaendeleo, rushwa, uhujumu, ufisadi, ubadhirifu vingeibuliwa kabla

Naomba na mimi nikiri udhaifu, kwa vile najijua, na uwezo wangu wa kuuliza maswali naujua and what I'm capable of, ni kweli kabisa kwenye hili, sijatimiza wajibu wangu kikamilifu.
na hili naliombea msamaha nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa Sana!.
P

1. Kamati Kuu ya Cdm haikuteua wabunge wa viti maalum. Hilo halina mjadala.

2. Kamati Kuu ndiyo mamlaka pekee na ya mwisho ktk kuteua wabunge wa viti maalum kwa upande wa chama chao.

3. Huenda Halima Mdee na wenzake wamegushi barua ya utambulisho na kuiwasilisha NEC ambayo ili-forward majina yao bungeni.

4. Cdm imeiandikia NEC kuwataka wawape ushahidi wa nyaraka za utambulisho za kina Halima kuwa wabunge. Tume /NEC haijawapa ushirikiano.

5. Upo uwezekano wakina Halima waliteuliwa kihuni tu kwa utashi, bila hata barua ya kugushi, na wakaapishwa kuwa wabunge.

6. Cdm wametimiza wajibu wao kwa kuwaadhibu Halima na wenzake. Suala hilo sasa limekwisha kwa upande wa Cdm.

7. Hakuna shaka kwamba Halima na wenzake wamekwenda bungeni bila kuteuliwa na chama chao. Vyombo vya DOLA vichunguze na kuwabaini waliohusika na kashfa hii.

8. Waandishi wa habari za kiuchunguzi wafanye kazi yao kwa kufukua uozo uliowezesha Halima na wenzake kuwa wabunge.
 
Mkuu VESTLINE, naomba nikuambie kitu kama utaamini,
jee ulikuwepo if wakati namtetea EL?. Amini usiamini, nilikuwa pro EL bure, sikuwahi kupokea hata senti moja ya Lowassa!.

Juliana Shonza alipotimuliwa Chadema, nilimtetea sana humu, Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015! sikupokea hata senti moja. Unamjua aliye wachomea kina Shonza ni nani?, na nini kilimkuta?.

Zitto alipotimuliwa Chadema, nilimtetea sana humu, Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!" sikupokea hata senti moja ya Zitto!. Unamjua aliyeshadadia kutimuliwa kwa Zitto ndani ya Chadema ni Nani na nini kilimkuta?.

Sasa ni issue ya kina Halima, sijawahi kupokea hata senti moja kutoka kwa yeyote.

Mimi ni mtetezi wa haki wa kujitolea, na hata kazi yangu ya uandishi wa habari wa kujitegemea, ni Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea, silipwi na media yoyote wala sitegemei uandishi wa habari kuendeshea maisha yangu.

Kama unaamini nimelipwa, sawa tuu amini hivyo.
P
Kwa hiyo kazi yako ni kuwatetea wanaofukuzwa Chadema tu? Yule Mzee kule Zanzibar tena mwanaccm mwenzako aliyevunjwa mguu na uvccm kisha akafukuzwa CCM bila kusikilizwa hujamuona? Paschal hii janja janja yako na chupli nyingi waongopee wengine.
 
Mayalla ni Njaa. Ni vyema uchapishe gazeti. Karma ilishaondoka na jiwe.

Eti Mdee! Yeye mwenyewe alishajimaliza. Labda nikuulize "Chadema ndio walimtoa yule dada kule gerezani"?
Mkuu JAYJAY, yale mashitaka yalifutwa kwa nolle na DPP, mapema tuu, ila remover order ndio ikachelewa kutoka, by the time inatoka giza lilishaingia.
CC.
P
 
Mbona hutaki kuongelea issue ya mwanaCCM mwenzako yule babu wa kule Ugunja?
Huyo ndiye Pascal Mayalla na hizo ndizo thread zake za karibuni dazani moja!
Hii inaitwa obsession...ni ugonjwa na Ugonjwa wenyewe unaweza kuletwa ama na mapenzi au chuki.
Hebu amueni wenyewe, je tiba ni nini?
  1. Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

  2. Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba!

  3. Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?

  4. Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

  5. Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

  6. Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?

  7. Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi

  8. Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!

  9. Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu

  10. Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare?. Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA Kwishney

  11. Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA is almost dead, due to deadly mistakes! This is your only survival -- do or die. Msirudie kosa

  12. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

 
Huyo ndiye Pascal Mayalla na hizo ndizo thread zake za karibuni dazani moja!
Hii inaitwa obsession...ni ugonjwa na Ugonjwa wenyewe unaweza kuletwa ama na mapenzi au chuki.
Hebu amueni wenyewe, je tiba ni nini?
  1. Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

  2. Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba!

  3. Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?

  4. Ni Ubatili Mtupu Mpaka Basi!. CC ya CHADEMA ilipata wapi mamlaka?. Baraza Kuu halina mamlaka hiyo!. Je, inawezekana CHADEMA ni chama majanga ila?

  5. Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

  6. Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?

  7. Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi

  8. Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!

  9. Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu

  10. Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare?. Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA Kwishney

  11. Kufanya kosa si kosa, kosa kurudia kosa. CHADEMA is almost dead, due to deadly mistakes! This is your only survival -- do or die. Msirudie kosa

  12. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Hana mvuto tena
 
Wanabodi.

Sasa kwenye hili la Halima Mdee, Chadema, imejikwaa tena pale pale ilipojikwa kwenye issue ya kumtumua Zitto, safari hii Chadema bado haijaanguka na bakora za karma bado hazijaanza kutembea.

Kwa vile Zitto alikimbilia mahakamani akashindwa, Chadema wakashangilia ushindi huo, nashukuru mimi niliwaeleza humu kuwaelimisha kuhusu karma, na nikawaambia the consequences ya matendo, hivyo kwenye hili la Halima Mdee, nae amekimbilia mahakamani, ikitokea na Halima akashindwa kama alivyoshindwa Zitto, hivyo Chadema wakafanikiwa kuwatimua rasmi hao wanaowaita Covid 19, naomba mimi niwe mtu wa kwanza kuwaambia the consequences will be very devastating, kwenye karma ya Zitto, angalau someone survived miraculously, I'm not sure kwenye hili, if anyone will!. Kwa kuchelea this, nimejitolea kuishauri Chadema the right thing to do na kuepuka adhabu ya karma.

Paskali.
Wanabodi,
Baadhi ya mabandiko yangu sio mabandiko ya average mind ni mabandiko ya deep thinkers, moja ya mabandiko hayo ni Bandiko hili Ushauri wa Bure: Ukijikwaa ukaanguka, usiangalie tu pale ulipoangukia, bali angalia pale ulipojikwaa

Maadam Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi ya kina Mdee, hiki nilicho andika kwenye bandiko hili, sasa ndio kinakwenda kutokea!. It will be very devastating and disturbing!.

Wale ambao sio average mind, wana uwezo to connect the dots, baada ya Chadema kumtimua Zitto kwa dhulma, there are bad things that happed to Chadema na wahusika wa kadhia ya Zitto, but no one connected the dots and linked the consequences, hivyo sasa baada ya Chadema kuwatimua hawa Wabunge 19, naombeni sasa watch closely what will happen to Chadema and the main players and connect the dots.

God forbids!.
P.
 
Wanabodi,

Chadema ilijikwaa, ikaanguka, ikaangalia tuu pale ilipoangukia, ikainuka, ikaendelea na safari, bila kuangalia ilipojikwa, sasa imejikwaa tena pale pale, Ila bado haijaanguka, hivyo huu ni ushauri wa bure wa kuisaidia this time around, isianguke!.

Mtu unapokuwa umejaaliwa uwezo wa kuona mabaya fulani kupitia kitu kinachoitwa precognition kuwa yatawatokea watu fulani, usipowaambia, halafu yakatokea, utaumia sana kwa a guilty conscious kuwa I saw it coming but you did nothing to help out!. Lakini ukiona jambo baya kinakuja, ukiwaambia, unaweza kuzuia, ila ukiwaambia, wakapuuza, yakija kutokea ya kutokea, angalau hupati a guilt conscious ya dhamira yako kukusuta maana uliwaambia!.

Hivyo hili ni Bandiko la kujitolea kutoa msaada wa bure kabisa
kwa Chadema kwa kuwaelimisha kuhusu kitu kinachoitwa karma ni nini na kinafanyaje kazi "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Japo Wana Macho, Hawaoni!
Japo watu wote wana macho, wengi wana macho ya nje tuu yanayoona vitu vya nje, lakini hawana jicho la ndani (jicho la roho) kuona vitu visivyoonekanika kwa macho ya kawaida, hivyo wanasemwa kuwa wana macho lakini hawaoni.

Japo Wana Masikio, Hawasikii!
Vivyo hivyo kwa masikio, watu wengi wana masikio na wanasikia, ila masikio yao ni masikio ya nje, yanayosikia sauti za nje tuu, lakini hawana sikio la ndani (sikio la roho) kuweza kusikia sauti za ndani "voices from within" hivyo wanasemwa kuwa wana masikio lakini hawasikii.

Jicho la Ndani na Sikio la Ndani
Kila kiumbe anacho ila tumetofautiana sana uwezo wa kutambua, mfano kuna wanyama wana uwezo mkubwa zaidi ya binadamu kutambua hatari. Mfano mbwa anapotumia pua kunusa, amini usiamini, anachonusa sio harufu bali ni sauti ya ndani. Hivyo wale mbwa wanusa mizigo airports au wale panya watengua mabomu, ni wanatumia jicho la ndani na sikio la ndani.

Kwa vile sio watu wote wamejaliwa uwezo wa kutumia jicho la ndani kuona hatari iliyo mbele yetu sisi tuliojaaliwa jicho hilo, na sikio hilo tukiona kitu na tukisikia kitu cha hatari kinakuja kutokea ni vizuri tukasaidia.

Kila tukio, linatokea kwa sababu, everything happens for a reason, hivyo likitokea jambo baya lolote, wengi huishia kwenye kuliangalia tukio tuu la nini kilichotokea na matokeo yake tuu, lakini hawajiulizi the underlying causes za kilichopelekea tukio hilo kutokea, the reasos behind the underlying causes and the consequences.

Hata wengi wakijikwaa na kuanguka, huinuka kujifuta vumbi na kuendelea na safari yao, huwa hawarudi kuangalia wamejikwaa wapi, ili wakipita tena njia hiyo, wasije wakajikwaa tena pale pale na wakaanguka tena vile vile.

Kwenye ile dhana ya usaliti wa ule "Waraka wa Mabadiliko", Chadema ilijikwaa mahali kwenye issue ya kumtiimua Zitto, na kiukweli imekula bakora za karma za kutosha, na wahusika wakuu wametandikwa bakora zao, Chadema ikaangukia, na wahusika wakaanguka, kisha wakasimama na kuendelea na safari yake bila ya kuangalia walipojikwaa bali walipoangukia. Ni Kwa nini Chadema wakijikwaa wakaanguka, wakainuka wakaangalia tuu walipoangukia na sio walipo jikwaa, kwasababu Chadema wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii.

Sasa kwenye hili la Halima Mdee, Chadema, imejikwaa tena pale pale ilipojikwa kwenye issue ya kumtumua Zitto, safari hii Chadema bado haijaanguka na bakora za karma bado hazijaanza kutembea.

Kwa vile Zitto alikimbilia mahakamani akashindwa, Chadema wakashangilia ushindi huo, nashukuru mimi niliwaeleza humu kuwaelimisha kuhusu karma, na nikawaambia the consequences ya matendo, hivyo kwenye hili la Halima Mdee, nae amekimbilia mahakamani, ikitokea na Halima akashindwa kama alivyoshindwa Zitto, hivyo Chadema wakafanikiwa kuwatimua rasmi hao wanaowaita Covid 19, naomba mimi niwe mtu wa kwanza kuwaambia the consequences will be very devastating, kwenye karma ya Zitto, angalau someone survived miraculously, I'm not sure kwenye hili, if anyone will!. Kwa kuchelea this, nimejitolea kuishauri Chadema the right thing to do na kuepuka adhabu ya karma.

Dhana ya Usaliti
Sijui ni wanachama wangapi wa Chadema waliusoma ule Waraka wa Mabadiliko, ukiwa ni msomaji mzuri wa maandishi ya mtu fulani, unajikuta unapata skills zinazoitwa graphology, ambapo ukisoma andiko fulani unamjua mwandishi ni nani, Waraka ule wa Mabadiliko sio kazi ya Zitto ile, mimi najua ni kazi ya Nani!.

Contents za Waraka huo ni hoja za ukweli tuu, na sio kweli kuwa lengo la waraka ule ni kufanya Mapinduzi ya uongozi wa juu, waraka ule ulikuwa ni waraka wa kuunda kitu kinachoitwa "a winning coalition" na kuitumia hiyo winning coalition kushinda nafasi zote za uongozi wa juu ndani ya Chadema kwenye uchaguzi wa ndani.

Kwanini Chadema Itandikwe na Karma?.
Karma inataka haki bin haki.
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, CC ya Chadema inauwezo tuu wa kumsimamisha NKM lakini sio mamlaka yake ya nidhamu, hivyo CC ya Chadema haikuwa na uwezo wa kumfukuza Zitto. Mamlaka halali ya nidhamu ya NKM ni Baraza Kuu na mamlaka ya Rufaa ni Mkutano Mkuu. CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Zitto?. Bakora za karma zimeshughulikia.

The same same scenario ya kutumbuliwa kwa Zitto, imejirudia katika kutimuliwa kwa Halima Mdee, CC ya Chadema ina uwezo wa kumsimamisha tuu Mwenyekiti wa Bawacha, lakini sio mamlaka yake halali ya nidhamu. Mamlaka halali ya nidhamu ya Halima Mdee ni Baraza Kuu na mamlaka yake ya Rufaa ni Mkutano Mkuu. CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Mdee?. Bakora za karma zitashughulikia!.

A Way Forward
  1. Kitu muhimu cha kwanza kwa Chadema kufanya ni kutengua maamuzi yote kuwahusu hao wabunge 19 kuwa bado ni wanachama halali wa Chadema na kuwakubalia waendelee na ubunge wao.
  2. Baada ya kurejeshewa uanachama wao, wafute kesi iliyopo mahakamani
  3. Chadema kufanya a due process, uteuzi wao ulifanyikaje. Ikijiridhisha kuna jinai then waripoti rasmi polisi.
  4. Kule wathibitishe jinai ya forgery imefanywa na polisi kufanya uchunguzi wa kijinai na ikithibitishwa tuu jinai hiyo, then ni NEC ndio watakao watengua ubunge wao.
  5. Process ya mashitaka ya ndani ifanyike kwa mujibu wa katiba ya Chadema.
  6. Only ring leaders ndio waadhibiwe kwa kulazimishwa kuomba msamaha, na kuvuliwa vyeo vyote wabaki wanachama wa kawaida.
  7. Na wakosaji hao wakishupaza shingo zao then watimuliwe kwa haki na sio kwa kutumia a Kangaroo Court kama mwanzo.
  8. Hili likifanyika, Chadema itakuwa imewatendea haki wanachama wake.
  9. Adhabu ya bakora za karma ninazoziona hazitakuja, hazita itandika Chadema, Chadema itakuwa salama na viongozi wake watakuwa salama.
  10. Chadema will prosper again, uchaguzi wa 2025 watashinda baadhi ya majimbo.
Mwenye macho na aone Mwenye masikio na asikie!.

Jumamosi Njema

Paskali.
Paskali nimekuomba sana sana kama umechoka na kuzeeka acha ku comment maana tangu uitwe bungeni umekua falaa kabisa
 
Wanabodi,
Baadhi ya mabandiko yangu sio mabandiko ya average mind ni mabandiko ya deep thinkers, moja ya mabandiko hayo ni Bandiko hili Ushauri wa Bure: Ukijikwaa ukaanguka, usiangalie tu pale ulipoangukia, bali angalia pale ulipojikwaa

Maadam Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi ya kina Mdee, hiki nilicho andika kwenye bandiko hili, sasa ndio kinakwenda kutokea!. It will be very devastating and disturbing!.

Wale ambao sio average mind, wana uwezo to connect the dots, baada ya Chadema kumtimua Zitto kwa dhulma, there are bad things that happed to Chadema na wahusika wa kadhia ya Zitto, but no one connected the dots and linked the consequences, hivyo sasa baada ya Chadema kuwatimua hawa Wabunge 19, naombeni sasa watch closely what will happen to Chadema and the main players and connect the dots.

God forbids!.
P.
Mkuu,
Kwa mtu yeyote anayefanya critical analysis ya vile unavyoandika, ata-confirm wewe kwa sehemu kubwa ni intelligence officer na moja ya kazi yako ukiachilia nyingine ni ku-influence public opinion. Unayoyaandika kupitia kivuli cha KARMA and VOICES FROM WITHIN yana uwezekano mkubwa wa kutokea sababu una-convey deep state mind.
 
Mkuu Paskali, huwa naheshimu mawazo yako mara nyingi lakini katika hili bado unaendelea kuji misdirect kwa utashi usiojulikana.

Siasa ni utashi na wa watu waliojiunga na nia moja kuendeleza kile wanacho amini.
Liangalie suala la kina Mdee kwa jicho tofauti na utaona mambo haramu ambayo kila mpenda ukweli lazima atakosa kuyaunga mkono.
Usiliangalie suala la Mdee kama la CHADEMA peke yake, lakini ni suala la Utawala Bora.

Kwanza kabisa ni FORGERY ya kuwapeleka kina Mdee bungeni, pengine Paskali unaliona ni la kirahisi rahisi tu.
CHADEMA are on record kuwa hawaja wapelekea majina NEC , ya hao kina Mdee na wenzake 19!
Kama State Machinnery ikishirikiana na Bunge(hii ni mihimili miwili) kufanya kazi kwa kutumia fake documents, basi kuna tatizo kubwa sana .
Kama leo Dola likiamua kwa kushirikiana na Bunge kufanya lolote kwa kughushi nyaraka, hapo kuna basic contradiction katika uendeshaji wa dola.

Pili, kwa akina Mdee kukubali ubunge kwa matamanio ya kipato, huku wakijua chama chao hakiridhiki na hilo, huo ni usaliti!
Hao ni watu wa kununuliwa, wataaminika vipi?

Tujue kwa uhakika kuwa kitendo cha NEC kiliasisiwa na nani kupeleka majina ya kina Mdee na wezake 19?
Bunge kuwapa kina Mdee & Co ubunge on un authentic documents hakiungwi mkono, si na CHADEMA tu bali hata tunaolingalia swala kwa nje.

Na hapo karma itatenda kama inavyopaswa.
Maamuzi ya mahakama leo, karma in action.
Please note Pascal Mayalla
 
Mkuu,
Kwa mtu yeyote anayefanya critical analysis ya vile unavyoandika, ata-confirm wewe kwa sehemu kubwa ni intelligence officer na moja ya kazi yako ukiachilia nyingine ni ku-influence public opinion. Unayoyaandika kupitia kivuli cha KARMA and VOICES FROM WITHIN yana uwezekano mkubwa wa kutokea sababu una-convey deep state mind.
Mkuu John7371, kwanza, nimefarijika sana kujua na wewe ni miongoni mwa watu wenye uwezo wa kufanya critical thinking and critical analysis. Watu wenye uwezo huo ni wachache hata humu jf, kwasababu, ili mtu awe na uwezo huo wa critical thinking na critical analysis ni lazima mtu huyo awe, bright and brilliant with good brain and intelligent mind.

Mimi nina bahati tuu kuzaliwa kwenye familia ambayo both parents, Baba na Mama ni watu wa 'Idara' hivyo nimezaliwa with security conscious hivyo kuonekana kama ofisa kipenyo na kwa vile wazazi ni huko, watu wanaamini mwana wa nyoka ni nyoka.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwetu tumezaliwa 8, we can't all be nyokas wengine ni mijusi.

Hizi the voices from within ni kweli kabisa nazisikia sauti na sio tips from deep state!. Karma nimeisoma nilipoishi New Delhi, India hivyo kuna vitu vinavyosabisha bad karma naviona vikifanywa, kazi yangu it's just to warn kuhusu karma, halafu bakora za karma zikishuka najua hizi ni bakora za karma. Mfano baada ya ushindi wa JPM, ile 2015, nilipandisha uzi huu, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! mtu wa deep state hawezi kupandisha bandiko kama hilo.

Na hata sasa watu wasio na jicho la roho wanaanza kumchagiza Samia kugombea 2025, mimi nimeunga mkono ya 2025 twende na Nagombea mwanamke, ila nikasema sio lazima awe Samia!, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! halafu nikasikia sauti hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!, mtu wa deep state, hawezi kuandika kitu kama hii!.
Hivyo rest assured mimi sii sehemu ya deep state, ila niko vizuri kwenye intels na hao deep state, kuna vitu tunaviweka humu, vinawasaidia kama hii kitu Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? ... mwisho wa siku, jamaa walikula kichwa!, sasa ni mlango wazi!.
P
 
Mkuu John7371, kwanza, nimefarijika sana kujua na wewe ni miongoni mwa watu wenye uwezo wa kufanya critical thinking and critical analysis. Watu wenye uwezo huo ni wachache hata humu jf, kwasababu, ili mtu awe na uwezo huo wa critical thinking na critical analysis ni lazima mtu huyo awe, bright and brilliant with good brain and intelligent mind.

Mimi nina bahati tuu kuzaliwa kwenye familia ambayo both parents, Baba na Mama ni watu wa 'Idara' hivyo nimezaliwa with security conscious hivyo kuonekana kama ofisa kipenyo na kwa vile wazazi ni huko, watu wanaamini mwana wa nyoka ni nyoka.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwetu tumezaliwa 8, we can't all be nyokas wengine ni mijusi.

Hizi the voices from within ni kweli kabisa nazisikia sauti na sio tips from deep state!. Karma nimeisoma nilipoishi New Delhi, India hivyo kuna vitu vinavyosabisha bad karma naviona vikifanywa, kazi yangu it's just to warn kuhusu karma, halafu bakora za karma zikishuka najua hizi ni bakora za karma. Mfano baada ya ushindi wa JPM, ile 2015, nilipandisha uzi huu, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! mtu wa deep state hawezi kupandisha bandiko kama hilo.

Na hata sasa watu wasio na jicho la roho wanaanza kumchagiza Samia kugombea 2025, mimi nimeunga mkono ya 2025 twende na Nagombea mwanamke, ila nikasema sio lazima awe Samia!, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! halafu nikasikia sauti hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!, mtu wa deep state, hawezi kuandika kitu kama hii!.
Hivyo rest assured mimi sii sehemu ya deep state, ila niko vizuri kwenye intels na hao deep state, kuna vitu tunaviweka humu, vinawasaidia kama hii kitu Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? ... mwisho wa siku, jamaa walikula kichwa!, sasa ni mlango wazi!.
P
Shame shame shame shame shame
 
Wanabodi,
Baadhi ya mabandiko yangu sio mabandiko ya average mind ni mabandiko ya deep thinkers, moja ya mabandiko hayo ni Bandiko hili Ushauri wa Bure: Ukijikwaa ukaanguka, usiangalie tu pale ulipoangukia, bali angalia pale ulipojikwaa

Maadam Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi ya kina Mdee, hiki nilicho andika kwenye bandiko hili, sasa ndio kinakwenda kutokea!. It will be very devastating and disturbing!.

Wale ambao sio average mind, wana uwezo to connect the dots, baada ya Chadema kumtimua Zitto kwa dhulma, there are bad things that happed to Chadema na wahusika wa kadhia ya Zitto, but no one connected the dots and linked the consequences, hivyo sasa baada ya Chadema kuwatimua hawa Wabunge 19, naombeni sasa watch closely what will happen to Chadema and the main players and connect the dots.

God forbids!.
P.
Pasko kuwa muungwana, chutama tu.
 
Back
Top Bottom