peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kwa utaratibu wa siasa za Kiafrika ninashauri haraka iwezekavyo katiba ya nchi ibadilishwe na kiongozi yeyote wa chama asiwe au asichaguliwe kuwa Rais wa nchi.
Utaratibu uliopo ni ndoto nchi kupata maendeleo na ni ngumu kuondoa rushwa kwenye jamii. Kiongozi wa chama awe kiongozi wa chama ila mwanachama yeyote ndani ya hicho chams anaweza kugombea urais.
Bila kubadili mfumo huu, tusitarajie maajabu ya kuleta maendeleo kwa wananchi.
Utaratibu uliopo ni ndoto nchi kupata maendeleo na ni ngumu kuondoa rushwa kwenye jamii. Kiongozi wa chama awe kiongozi wa chama ila mwanachama yeyote ndani ya hicho chams anaweza kugombea urais.
Bila kubadili mfumo huu, tusitarajie maajabu ya kuleta maendeleo kwa wananchi.