binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mimi mnieleweshe, ukijiunga huko tiktok content zinakuja zenyewe au hadi uzifollow/subscribe? Nashindwa kuliweka hili sawa sababu sina hiyo tiktok.
Maana mimi naona ukiacha JF mitandao mingine yote ina costumize content anazopendelea kuzifatilia mhusika.
Mfano, mimi ukiingia insta yangu feeds nyingi utakazoscrow zinahusisha urembo, mapishi, na decorations. Ukibonyeza explore utakuta contents zile zile, hata mtoto akishika simu akafungua insta atakutana na yale yale tu unless kama anajua kusearch pages/reels mpya. So as youtube, Quora nafollow pages za Academics na story za mahusiano pia travelling.
Maana mimi naona ukiacha JF mitandao mingine yote ina costumize content anazopendelea kuzifatilia mhusika.
Mfano, mimi ukiingia insta yangu feeds nyingi utakazoscrow zinahusisha urembo, mapishi, na decorations. Ukibonyeza explore utakuta contents zile zile, hata mtoto akishika simu akafungua insta atakutana na yale yale tu unless kama anajua kusearch pages/reels mpya. So as youtube, Quora nafollow pages za Academics na story za mahusiano pia travelling.