Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashkru sana kwa ushauri, lakini nashkru wanaendelea vzr na wanaoumwa bado hawajaongezekaSio kideri hiki kweli? Mara nyingi kinaambukiza kwa mfugaji km alikanyaga kinyesi cha kuku mwenye ugonjwa labda huko nje, then akaenda kwa kuku wake anapofuga, ikipuliza hewa tyuuh imoo.
Kanunue madukani dawa ya kideri, nzuri ile ya matone kutia kwenye macho.
Ufugaji wa kuku unahitaji uangalizi na matunzo mnoo.
Mkuu uko sahihi kabisa mpaka sasa sijawahi kuwapa chanjo yoyote.sijaona mahali ukizungumzia kama uliwahi kuwapa chanjo tatu za muhimu
NASHUKRU SANA KAKA KWA USHAURI MZURI."DAWA GANI NZURI YA MAFUA MAKALI YA KUKU."
jaribu kuwapa flueban pamoja na otc usiwape dawa za biadamu kwani zinawaletea kuku usugu
fanya usafi wa banda ,cheki maranda unayoweka kwenye banda yasiwe ya mbao zenye harufu kali ,banda liwe na hewa ya kutosha,safisha vyombo vya maji kwa sabuni kila siku na wape kuku maji safi
tumia v-rid kupuliza kwenye hewa na ndani ya mabanda kila wiki na kama unataka kujilinda zaidi weka sahemu ya kukanyaga dawa kabla ya kufika bandani
Uko sahihi now nina vifaranga 112 lakini natamani wangekuwa zaidi.Ukiwa na mifugo ya aina yoyote inatakiwa uwe na moyo wa chuma maana wakifika 100 unataka wawe 200
Mimi nashukuru niliwala sana yaani kila wiki kuku mara moja au mbili na mayai mpaka 30 yanalika kwenye familia
Ila ukisema uwafanye ndugu basi utakuwa kama watusi au wasukuma unakuwa na ng'ombe 500 halafu kila leo unagombana na wakulima
Kuna mzee alinionyesha mifugo yake akasema unamuona huyo yuko sawa na mwanangu wa form 4
Anamuona kama mwanae pia [emoji1]
wape usijepata hasara ya mwakaMkuu uko sahihi kabisa mpaka sasa sijawahi kuwapa chanjo yoyote.
zaidi nimekuwa nikiwapa virutubisho tu na ANTIBIOTIC BASI.
LAKINI WIKI IJAYO NITAANZA KUWAPA CHANJO HATAKAMA NI KWA KUCHELEWA BASI SINA JINSI.
Ni kweli mkuu sijawahi kuwapa chanjo.Hapo kwenye andiko lako naona umetaja chakula na dawa tu ambazo unazopaga kuku wako ila chanjo sijaziona umetaja hivyo kama haukuzingatia utalatibu wa chanjo tatzo ndio linaanzia hapo husiangaike kumtafuta mchawi
IYO MCHANJO YA TATU MOJA ACHANA NAYO KABISAChanjo muhimu sana
Kuna ile ya 3 in one
Na kuna ya mara tatu kwa awamu,
Kwann Mkuu,IYO MCHANJO YA TATU MOJA ACHANA NAYO KABISA
ufanisi wa hiyo dawa hauko vizuri.Kwann Mkuu,
Kuna moja niliwapa yakuwanyunyizia machoni tone moja... ndio iyo ya 3 in 1 !
Nipe ujuzi zaidi