Ushauri wa haraka unahitajika wakuu niko njia panda

Ushauri wa haraka unahitajika wakuu niko njia panda

Vladivostok

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2022
Posts
307
Reaction score
1,387
Umofia kwenu wakuu

Ninahitaji ushauri ipo hivi kuna binti nilizaa naye mtoto mmoja wakati tupo chuo ishu ikafika kwa wazazi nyumbani kwetu hk Njombe sasa washua wanafosi nikakomboe mtoto na mm nimefuatilia kwa binti niliyezaa naye wazazi wake wamesema nitoe million 1na nusu ndo nimchukue mtoto.

Kweli hii ni haki mtoto wangu mwenyew nitoe hela yote hyo ushauri unahitajika wakuu.nb mahitaji na matumizi nlkw natuma.
 
Umofia kwenu wakuu ninahitaji ushauri ipo hivi kuna binti wa kichaga nilizaa naye mtoto mmoja wakati tupo chuo ishu ikafika kwa wazazi nyumbani kwetu hk Njombe sasa washua wanafosi nikakomboe mtoto na mm nimefuatilia kwa binti niliyezaa naye wazazi wake wamesema nitoe million 1na nusu ndo nimchukue mtt kweli hii ni haki mtoto wangu mwenyew nitoe hela yote hyo ushauri unahitajika wakuu.nb mahitaji na matumizi nlkw natuma .
Ngoja waje
 
Umofia kwenu wakuu ninahitaji ushauri ipo hivi kuna binti wa kichaga nilizaa naye mtoto mmoja wakati tupo chuo ishu ikafika kwa wazazi nyumbani kwetu hk Njombe sasa washua wanafosi nikakomboe mtoto na mm nimefuatilia kwa binti niliyezaa naye wazazi wake wamesema nitoe million 1na nusu ndo nimchukue mtt kweli hii ni haki mtoto wangu mwenyew nitoe hela yote hyo ushauri unahitajika wakuu.nb mahitaji na matumizi nlkw natuma .
Mtoto alikua anakula mawe? Unapenda kitonga eeh..? Toa hela.. imagine wew ndo ungekua mzaz wa huyo dada uliyemtia mimba.. wamekutunzia mimba na mtoto had amezaliwa... Toa helaaaa
 
Hujatupa maelezo ya kutosha jee umewahi kumhudumia huyo mtoto, au ulipokwisha changia mbegu ndiyo yaliisha mpaka ulipoambiwa ukakomboe mtoto?
 
SASA SI UMUACHE TUU NA MAMA YAKE, MTOTO AKIKUA YEYE MWENYEWE ATAKUTAFUTA NA HAUTALIPIA CHOCHOTE.
KAMA NI MWANAO KWELI WEWE KAA KWA KUTULIA, MWISHO WA SIKU MAMA WA MTOTO MWENYEWE ATAMUELEKEZA MWANAO AKUFUATE ULIPO.
 
Umofia kwenu wakuu ninahitaji ushauri ipo hivi kuna binti nilizaa naye mtoto mmoja wakati tupo chuo ishu ikafika kwa wazazi nyumbani kwetu hk Njombe sasa washua wanafosi nikakomboe mtoto na mm nimefuatilia kwa binti niliyezaa naye wazazi wake wamesema nitoe million 1na nusu ndo nimchukue mtoto.

Kweli hii ni haki mtoto wangu mwenyew nitoe hela yote hyo ushauri unahitajika wakuu.nb mahitaji na matumizi nlkw natuma.
Hiyo mbona kidogo
si anakula, analala,mama yake huna mpango naye, na kama hutoi pesa hiyo amount ni ndogo waliyokupangiia

wewe hujawahi kutana na watu wakorofi kabisa
 
Mtoto alikua anakula mawe?.. unapenda kitonga eeh..? Toa hela.. imagine wew ndo ungekua mzaz wa huyo dada uliyemtia mimba.. wamekutunzia mimba na mtoto had amezaliwa... Toa helaaaa
Naunga mkono hoja😁
 
Inaonyesha uwezo wako wa kufikiri ni mdogo.
Ingekuwa umekaa naye kwa muda wote tangu azaliwe usingetumia zaidi ya milioni 2 kumhudumia?
Je, wangemfanyia ukatili kama kumuua, kumlawiti n.k ingekuwa vipi?
Acha ujinga
 
Umofia kwenu wakuu ninahitaji ushauri ipo hivi kuna binti nilizaa naye mtoto mmoja wakati tupo chuo ishu ikafika kwa wazazi nyumbani kwetu hk Njombe sasa washua wanafosi nikakomboe mtoto na mm nimefuatilia kwa binti niliyezaa naye wazazi wake wamesema nitoe million 1na nusu ndo nimchukue mtoto.

Kweli hii ni haki mtoto wangu mwenyew nitoe hela yote hyo ushauri unahitajika wakuu.nb mahitaji na matumizi nlkw natuma.
Umkomboeje?Ana umri gani?
 
Kama unashindwa milioni Moja kumkomboa mtoto wa damu Yako in whichever situation unalialia kwenye mitandao kuomba huruma za watu
basi hujatosha Bado kuwa baba. Achana na hizo ishu Fanya mambo mengine tu kaka
 
Umofia kwenu wakuu ninahitaji ushauri ipo hivi kuna binti nilizaa naye mtoto mmoja wakati tupo chuo ishu ikafika kwa wazazi nyumbani kwetu hk Njombe sasa washua wanafosi nikakomboe mtoto na mm nimefuatilia kwa binti niliyezaa naye wazazi wake wamesema nitoe million 1na nusu ndo nimchukue mtoto.

Kweli hii ni haki mtoto wangu mwenyew nitoe hela yote hyo ushauri unahitajika wakuu.nb mahitaji na matumizi nlkw natuma.
Sasa hili linahitaji ushauri wa haraka?
 
Back
Top Bottom