Shida Iko kwenye mikataba, serikali iliingia mikataba kandamizi. Hujiulizi kwanini kwenye mgodi Kuna uwanja wa ndege. Hata data zinazo tolewa ni uongo. Mfano. Mgodi wanasema wametoa kilo 50, kumbe kilo 500 Ili kukwepa Kodi. Sheria zetu zinawabeba wawekezaji. Na ukijifanya mjuaji, mabepari wanakuua.
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app