Ushauri wa kiuchumi kuhusu Dhahabu yetu kwa Serikali ya Tanzania

Ushauri wa kiuchumi kuhusu Dhahabu yetu kwa Serikali ya Tanzania

Hatukushangai ni ujinga tu unakusumbuwa. BOT haitogeuka kampuni bali anasimama kama custodian wa mali za watanzania tu na kwa kuwa wao kama miongoni mwa regulators wa mambo ya uchumi wataweza kustablize mambo yanapokua magumu kama hivi sasa.
Wewe uwehu ndio unakisumbua!! Dhahabu yoote inunuliwe na BOT hiyo unaona niakili Tena kisheria!!!
Hamjui uchumi mnadhani nchi inaendeshwaga kimihemuko kama mwendazake alivyodhani.
Uchumi unafomula na njia zake bwandogo nchi haiendeshwi kama unaendesha kikaya
 
Ipitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo watakaoiuza ndani na nje ya Tanzania.

Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni na tunadhamana ya kutosha kukopa kwa masharti yetu. Uchumi tunao tunaukalia.

Niliwahi kuandika kuhusu dhahabu, ingawa mada nilikuwa sijaimaliza, lakini ilikuwa iishie kwenye ushauri nnaoutowa leo.

Niliwahi kuanza kundika hivi:

- Siasa, Uchumi, Dhahabu, Neema na Laana zake
Mkuu hoja yako inamashiko hongera sana, isipokuwa chini ya CCM, hilo usitegemee kama linaweza kufanyika, labda chini ya serekali ya chama kingine. Waliopo madarakani nobody cares wanachojali ni matumbo yao na familia zao.
 
Mkuu hoja yako inamashiko hongera sana, isipokuwa chini ya CCM, hilo usitegemee kama linaweza kufanyika, labda chini ya serekali ya chama kingine. Waliopo madarakani nobody cares wanachojali ni matumbo yao na familia zao.
Vyama vingine ambavyo havina hata sera? Usinchekeshe.

CCM ya mama Samia ni tofauti sana


Wacha nimsikilize mama Samia, sasa hivi anawapa utajiri vijana live.

Inapendeza sana.

Kaongelea kidogo yajayo bandarini.
 
Vyama vingine ambavyo havina hata sera? Usinchekeshe.

CCM ya mama Samia ni tofauti sana


Wacha nimsikilize mama Samia, sasa hivi anawapa utajiri vijana live.

Inapendeza sana.

Kaongelea kidogo yajayo bandarini.
Mkuu hapo ndio unapokosea, chama ni taasisi, si utashi wa kiongozi ama mtu mmoja. Kama taasisi inaongozwa kwa kutegemea utashi wa kiongozi, badala ya kuwa na mifumo endelevu ya kitaasisi, hicho chama ni mfu. Dereva hata awe mzuri vipi ukimpa gari bovu, umahili wake hauta uona.
 
Ipitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo watakaoiuza ndani na nje ya Tanzania.

Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni na tunadhamana ya kutosha kukopa kwa masharti yetu. Uchumi tunao tunaukalia.

Niliwahi kuandika kuhusu dhahabu, ingawa mada nilikuwa sijaimaliza, lakini ilikuwa iishie kwenye ushauri nnaoutowa leo.

Niliwahi kuanza kundika hivi:

- Siasa, Uchumi, Dhahabu, Neema na Laana zake

Miaka ya Mzee Mwinyi, baada ya Mrema(RIP) kukamata dhahabu Airport, BOT walianza utaratibu wa kununua dhahabu. Ile iliyonunuliwa iliishia wapi?
Hii nchi ilivyo, msije kununua copper mkadanganya ni dhahabu. Halafu akatafutwa muwekezaji wa kuja kununua dhahabu baada ya sisi kushindwa.
Sisi ni fully commedy!
 
Miaka ya Mzee Mwinyi, baada ya Mrema(RIP) kukamata dhahabu Airport, BOT walianza utaratibu wa kununua dhahabu. Ile iliyonunuliwa iliishia wapi?
Hii nchi ilivyo, msije kununua copper mkadanganya ni dhahabu. Halafu akatafutwa muwekezaji wa kuja kununua dhahabu baada ya sisi kushindwa.
Sisi ni fully commedy!
Kweli kabisa tulianza kununuwa dhahabu.

Sifahamu iliishia wapi.

Hilo la shaba kinawezekana kabisa. Watanzania walivyo wezi. Dah yaani ukienda hivi unapigwa, ukirudi hivi unapigwa. Kazi kweli kweli.

Inabidi tufanye kama USA, Federal Reserve:

Mfumo wa Hifadhi ya Shirikisho unachukuliwa kuwa benki kuu inayojitegemea. Ni hivyo, hata hivyo, kwa maana tu kwamba maamuzi yake si lazima yaidhinishwe na Rais au mtu mwingine yeyote katika tawi la utendaji la serikali. Mfumo mzima unasimamiwa na Bunge la Marekani….Hifadhi ya Shirikisho lazima ifanye kazi ndani ya mfumo wa malengo ya jumla ya sera ya kiuchumi na kifedha iliyoanzishwa na serikali...

Soma zaidi: Is the Federal Reserve a privately owned corporation? – Education.
 
Kweli kabisa tulianza kununuwa dhahabu.

Sifahamu iliishia wapi.

Hilo la shaba kinawezekana kabisa. Watanzania walivyo wezi. Dah yaani ukienda hivi unapigwa, ukirudi hivi unapigwa. Kazi kweli kweli.

Inabidi tufanye kama USA, Federal Reserve:

Mfumo wa Hifadhi ya Shirikisho unachukuliwa kuwa benki kuu inayojitegemea. Ni hivyo, hata hivyo, kwa maana tu kwamba maamuzi yake si lazima yaidhinishwe na Rais au mtu mwingine yeyote katika tawi la utendaji la serikali. Mfumo mzima unasimamiwa na Bunge la Marekani….Hifadhi ya Shirikisho lazima ifanye kazi ndani ya mfumo wa malengo ya jumla ya sera ya kiuchumi na kifedha iliyoanzishwa na serikali...

Soma zaidi: Is the Federal Reserve a privately owned corporation? – Education.

Hapa umeongea la ukweli...watanzania tuna shida ya uwizi. Maana kila kitu tunafikiria kupiga
 
Kwani kuna anayewazuia BoT kununu dhahabu kwa sasa?? Si waende kushindana kununua na wanunuzi wengine.
 
Naamini mleta mada amelenga, kukomesha wizi, utoroshaji na ujanjaujanja wa mauzo ya haya madini.
Hivyo hii ni njia nzuri mojawapo. Lakini je ikifanywa hivyo hao huko BOT wanaaminika au itafutwe njia zingine pia za udhibiti wa jinsi ya kuuza bidhaa zetu nje ya nchi?
Mm kwa mtazamo wangu mwiguru anahitaji kusaidiwa, maana naona kashindwa kusimamia uchumi wa nchi yetu.
Maana nimeona tangu mwanzo njia anazotumia kukuza uchumi ni za kizamani na hazisaidii kitu.shiling inazidi kupolomoka.kiufupi kila kitu hakiendi vizuri.
EPA ulikuwa ni wizi uliohusisha BoT
 
Hujamwelewa faiza. Ukishakua na dhahabu ni sawa na una dola ya marekani au mafuta. Uchumi wa dunia unapotetereka huna wasiwasi.popote duniani unapokwenda na dhahabu yako unapokelewa kama mfalme. Hamuangalii hata masoko ya shares huko duniani yanavyofanya biashara.?
Wewe ukiambiwa uwe unalipwa mshahara kwa dhahabu au dola ya Marekani utachagua nini??
 
Kiukwel wenue uelew wa wa haya mambo ni wachche sana maana watu wengi tunajua dhaabu ukishaipata tu unauza ovyo, na hili kosa liko kwa nchi yetu. BOT inapaswa kuanza mchakato wa kuanz kununua dhaabu na kuiuza yenyew katika mataifa ya mbali ili kupata fedha za kigeni na kukuza uchumi kwa namna moja ama nyingne kupata fedha za kigeni tusikalili tu kuwa katika vivutio tu pia hata tutengeneze mchakato kwa BOT kupata fedha za kigeni kupitia dhaabu. Ahxnt
Waambie kwanza BoT waajiri watu wa kupelekea wateja hiyo dhahabu duniani kote.
 
Dhahabu unadhani haichimbwi mrangi? Wachimbaji wadogo wanapata sana dhahabu na serikaki ina uwezo wa ku collect ya kutosha sana tuu kwa ajili ya kuitumia kama fedha za kigeni .ni kwamba tu bado naona serikali haijaweka nia ya dhati na mkazo kwenye uchumi huu wa vito. Sisi ni matajiri sanaa.
Serikali yako inakopa kila siku, haina fedha za kununu dhahabu ya kuwatosha wananchi wote watakapohiitaji.

Pia dhahabu sio sawa na fedha za kigeni.
Dhahabu ni bidhaa tu kama mawe ya kujengea n.k.
 
Eti sisi leo ni wakupitwa na Kenya kiuchumi hawachimbi hata mchanga hapo Kenya nchi imejaa udongo mtupu ile. Botswana inakaribia kufikia nchi za ulaya kwa GDP lakini wameweza baada ya ku manage vizuri dhahabu yao.
Singapore, Israel na Switzerland hazichimbi chochote ila nchi tajiri zaidi duniani, utajiri ni akili zaidi kuliko rasilimali.
Botswana haikaribii kufikia nchi za Ulaya kwa GDP na pia Almasi ndizo zinawapatia mapato sio dhahabu.
 
Back
Top Bottom