Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Unachosema ndio ukweli angalau kwa wachimbaji wadogo tunaweza kuwadhibiti serikali ikanunua. Kwa wakubwa ni shughuli pevuYaani Da FaizaFoxy hili jambo jema ila ukifanya watamuua hata waziri husika. Hizi ni cartel za wezi. Kama hospital ya Appolo ilitaka kufungua hapa Tanzania hospital kama ile ya India ila inasadikika cartel za hospital zingeua hata wahusika wote kama wangepitisha. Nchi zetu za kijinga sana yaani kuna vidume wamejimilikisha utajiri wetu halafu eti kila siku tunaimba umasikini hahaha
Sidhani kama inawezekana ku-sabotage maendeleo kama serikali imeamua kufanya kituYaani Da FaizaFoxy hili jambo jema ila ukifanya watamuua hata waziri husika. Hizi ni cartel za wezi. Kama hospital ya Appolo ilitaka kufungua hapa Tanzania hospital kama ile ya India ila inasadikika cartel za hospital zingeua hata wahusika wote kama wangepitisha. Nchi zetu za kijinga sana yaani kuna vidume wamejimilikisha utajiri wetu halafu eti kila siku tunaimba umasikini hahaha
Kikwete ana ndoto mbili muhimu sanan kuhusu Tanzania, Mwenyezi Mungu amsaidie zipate kutimia.Yaani Da FaizaFoxy hili jambo jema ila ukifanya watamuua hata waziri husika. Hizi ni cartel za wezi. Kama hospital ya Appolo ilitaka kufungua hapa Tanzania hospital kama ile ya India ila inasadikika cartel za hospital zingeua hata wahusika wote kama wangepitisha. Nchi zetu za kijinga sana yaani kuna vidume wamejimilikisha utajiri wetu halafu eti kila siku tunaimba umasikini hahaha
Njoo lindi nkupe maeneo na wewe ujichukulie dhahabuDhahabu inachimbwa nyumbani kwako ila huna mamlaka nayo hii ajabu kweli.
Hujamwelewa faiza. Ukishakua na dhahabu ni sawa na una dola ya marekani au mafuta. Uchumi wa dunia unapotetereka huna wasiwasi.popote duniani unapokwenda na dhahabu yako unapokelewa kama mfalme. Hamuangalii hata masoko ya shares huko duniani yanavyofanya biashara.?Nongwa iko wapi kwa Wazungu kuchimba na kwenda kuiuza kwenye masoko yao?
Kweli kabisa, kwa wakubwa inachotakiwa tuanze nao kidogo kidogo, labda tuanze nao na asilimia 10 waiuze Tanzania.Unachosema ndio ukweli angalau kwa wachimbaji wadogo tunaweza kuwadhibiti serikali ikanunua. Kwa wakubwa ni shughuli pevu
BOT najuwa tu tukiendage kuchoma dhahabu wanatukata % yaoUmeshaanza mahaba na Waarabu wako.
Nimekuuliza swali rahisi hiyo pesa ya kununuwa dhahabu kutoka Barrick na Ggm tunayo?
Au unataka BOT ijigeuze kuwa Dalali?
Sana ninakubaliana na wewe Damkubwa FaizaFoxy 💯 Dkt Kikwete ni jabali la siasa na maendeleo. Yaani kama angekuwa rais kwa miaka hata 15 hakika Dubai tungeikuta. Mungu ambariki sana Dkt KikweteKikwete ana ndoto mbili muhimu sanan kuhusu Tanzania, Mwenyezi Mungu amsaidie zipate kutimia.
1) Tanzania iwe ni nchi ya utalii wa afya. Yaani zijae hospitali za utaalaam wa kila aina.
2) Tanzania iwe kitovu cha elimu na yafita Africa.
Alishaanza vizuri sana huko kwa Jakaya Heart Institute, Mloganzila na hospitali ya Chuo Kikuu Dodoma.
Bila kuwa na uchumi mzuri, hizo ndoto zitachukuwa muda mrefu sana kutimia. Inawezekana.
Kiukwel wenue uelew wa wa haya mambo ni wachche sana maana watu wengi tunajua dhaabu ukishaipata tu unauza ovyo, na hili kosa liko kwa nchi yetu. BOT inapaswa kuanza mchakato wa kuanz kununua dhaabu na kuiuza yenyew katika mataifa ya mbali ili kupata fedha za kigeni na kukuza uchumi kwa namna moja ama nyingne kupata fedha za kigeni tusikalili tu kuwa katika vivutio tu pia hata tutengeneze mchakato kwa BOT kupata fedha za kigeni kupitia dhaabu. AhxntIpitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo wtakaoiuza ndani na nje ya Tanzania.
Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni. Uchumi tunao, tunaukalia.
Niliwahi kuandika kuhusu dhahabu, ingawa mada nilikuwa sijaimaliza, lakini ilikuwa iishie kwenye ushauri nnaoutowa leo.
Niliwahi kuanza kundika hivi:
Siasa, Uchumi, Dhahabu, Neema na Laana zake
Nilijibu uzi fulani humu JF kwa haya: Ni mengi sana yanaongelewa lakini ni wachache sana wenye uelewa wa mambo ya uchumi mkubwa na teknolojia za kuzalisha uchumi mkubwa yanavyoendeshwa na hao wenye teknolojia hiyo, ambao ndiyo hao hao wenye uchumi mkubwa. Kama hiyo haitoshi, ndiyo hao hao...www.jamiiforums.com
Njoo lindi nkupe maeneo na wewe ujikusanyie dhahabu dada yanguKweli kabisa, kwa wakubwa inachotakiwa tuanze nao kidogo kidogo, labda tuanze nao na asilimia 10 waiuze Tanzania.
Kula Uliwe - Jakaya Kikwete.
Wanakuua ukijifanya kupindisha. Rejea enzi za mzee Malecela. Hata hili la hospital ya Appolo wahuni waliharibu kabisa wakagoma ili watu wafe wafaidikeSidhani kama inawezekana ku-sabotage maendeleo kama serikali imeamua kufanya kitu
Na kama linaendelea bas kwa % chache sna kwa nchi hiiInawezekana sana kipindi cha magufuli nadhani alianza hilo suala sijajua kama ni endelevu au laa.
Ipitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo wtakaoiuza ndani na nje ya Tanzania.
Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni. Uchumi tunao, tunaukalia.
Niliwahi kuandika kuhusu dhahabu, ingawa mada nilikuwa sijaimaliza, lakini ilikuwa iishie kwenye ushauri nnaoutowa leo.
Niliwahi kuanza kundika hivi:
Siasa, Uchumi, Dhahabu, Neema na Laana zake
Nilijibu uzi fulani humu JF kwa haya: Ni mengi sana yanaongelewa lakini ni wachache sana wenye uelewa wa mambo ya uchumi mkubwa na teknolojia za kuzalisha uchumi mkubwa yanavyoendeshwa na hao wenye teknolojia hiyo, ambao ndiyo hao hao wenye uchumi mkubwa. Kama hiyo haitoshi, ndiyo hao hao...www.jamiiforums.com
Tuanze na katiba Mpya na tume huru ya uchaguzi,mawazo yako ni mazuri tuyaweke kwenye katiba mpya.Kikwete ana ndoto mbili muhimu sanan kuhusu Tanzania, Mwenyezi Mungu amsaidie zipate kutimia.
1) Tanzania iwe ni nchi ya utalii wa afya. Yaani zijae hospitali za utaalaam wa kila aina.
2) Tanzania iwe kitovu cha elimu na yafita Africa.
Alishaanza vizuri sana huko kwa Jakaya Heart Institute, Mloganzila na hospitali ya Chuo Kikuu Dodoma.
Bila kuwa na uchumi mzuri, hizo ndoto zitachukuwa muda mrefu sana kutimia. Inawezekana.
Mimi naamini tukiwa na reserve ya dhahabu ya kutosha, hata pesa zetu zitakuwa na thamani ya kufanyiwa biasshara duniani (Easily convertible currency).Kiukwel wenue uelew wa wa haya mambo ni wachche sana maana watu wengi tunajua dhaabu ukishaipata tu unauza ovyo, na hili kosa liko kwa nchi yetu. BOT inapaswa kuanza mchakato wa kuanz kununua dhaabu na kuiuza yenyew katika mataifa ya mbali ili kupata fedha za kigeni na kukuza uchumi kwa namna moja ama nyingne kupata fedha za kigeni tusikalili tu kuwa katika vivutio tu pia hata tutengeneze mchakato kwa BOT kupata fedha za kigeni kupitia dhaabu. Ahxnt
Ndugu Faiza Foxy, Nasikitika unatoa ushauri uliopitwa na wakati. Nadhani bado unaishi zama za Nyerere na enzi za ucommunist . Sasa hivi kila kitu kinasukumwa na nguvu ya soko, wewe unawaza itungwe Sheria ya kuzuia watu wasiuze wanakotaka.!! Dhahabu yenu ni yenu kwasababu inachimbwa kwenye ardhi yenu, lakini kiuhalisia siyo yenu kwasababu yote mlishaibinafisisha kwa wageni.Ipitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo wtakaoiuza ndani na nje ya Tanzania.
Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni. Uchumi tunao, tunaukalia.
Niliwahi kuandika kuhusu dhahabu, ingawa mada nilikuwa sijaimaliza, lakini ilikuwa iishie kwenye ushauri nnaoutowa leo.
Niliwahi kuanza kundika hivi:
Siasa, Uchumi, Dhahabu, Neema na Laana zake
Nilijibu uzi fulani humu JF kwa haya: Ni mengi sana yanaongelewa lakini ni wachache sana wenye uelewa wa mambo ya uchumi mkubwa na teknolojia za kuzalisha uchumi mkubwa yanavyoendeshwa na hao wenye teknolojia hiyo, ambao ndiyo hao hao wenye uchumi mkubwa. Kama hiyo haitoshi, ndiyo hao hao...www.jamiiforums.com
bank kuu wakitaka kufanya hivyo, wanunue kwa gharama ile ambayo mataifa ya nje yangenunua, watu kwa mfano tukija hata kwenye tanzanite, wanauza kenya na india kwa magendo kwasababu kule watapata bei kubwa kuliko ambayo bank kuu ingenunua. ila tungekuwa na hazina ya dhahabu, tungekuwa na pesa yenye nguvu tu. nchi kama UK na ufaransa, wanayo reserve kubwa sana ya dhahabu.Ipitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo wtakaoiuza ndani na nje ya Tanzania.
Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni. Uchumi tunao, tunaukalia.
Niliwahi kuandika kuhusu dhahabu, ingawa mada nilikuwa sijaimaliza, lakini ilikuwa iishie kwenye ushauri nnaoutowa leo.
Niliwahi kuanza kundika hivi:
Siasa, Uchumi, Dhahabu, Neema na Laana zake
Nilijibu uzi fulani humu JF kwa haya: Ni mengi sana yanaongelewa lakini ni wachache sana wenye uelewa wa mambo ya uchumi mkubwa na teknolojia za kuzalisha uchumi mkubwa yanavyoendeshwa na hao wenye teknolojia hiyo, ambao ndiyo hao hao wenye uchumi mkubwa. Kama hiyo haitoshi, ndiyo hao hao...www.jamiiforums.com