Ushauri wa kiuchumi kuhusu Dhahabu yetu kwa Serikali ya Tanzania

Ushauri wa kiuchumi kuhusu Dhahabu yetu kwa Serikali ya Tanzania

Katiba na tume huru havitakusaidia kama hatujabadili mindset za viongozi wetu. Unadhani ukibadili katiba na tume ndio viongozi watashindwa kuvunja hiyo katiba? Mara ngapi magufuli kavunja katiba na hakuna wa kumwambia kitu. Upinzani msidhani katiba ikibadilishwa CCM ndio itaondoka madarakani mnajidanganya. Katiba itabadilika na tume itabadilika lakini kama CCM hawataki kuachia madaraka mtabaki kumshtakia Mungu tu.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mbona mnaongea kana kwamba tumepata uhuru leo juma nne,kama unakili kuvunja katiba mbovu kwaiyo ni sababu ya kutokupata katimpya,vipi kuiba hizo dhaabu itashindikana nini?

ccm lazima iondoke muda wake umekwisha au indolewe,katba sio kwajili ya uchaguzi peke hata hizo dhaaba bila katiba ni story,katiba ni sio ombi.
 
Mbona mnaongea kana kwamba tumepata uhuru leo juma nne,kama unakili kuvunja katiba mbovu kwaiyo ni sababu ya kutokupata katimpya,vipi kuiba hizo dhaabu itashindikana nini?
Katiba siyo mwarobaini wa matatizo tuliyonayo. Nimekuandikia kwa kifupi sasa ili unielewe.
 
Ipitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo wtakaoiuza ndani na nje ya Tanzania.

Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni. Uchumi tunao, tunaukalia.

Niliwahi kuandika kuhusu dhahabu, ingawa mada nilikuwa sijaimaliza, lakini ilikuwa iishie kwenye ushauri nnaoutowa leo.

Niliwahi kuanza kundika hivi:

Kwanini msitengeze kampuni pacha.

Yaani kampuni moja ya Serikali kwa kushirikiana na kampuni ya wawekezaji.
 
Ndio anashauri sasa hizo sera za ubinafsishaji zitungiwe sheria upya zibadilishwe serikali inunuee dhahabu.
Washauri kama nyie mkikutana na viongozi wajinga mnawapoteza. Ulishaingia mkataba kwa masharti fulani, alafu baadae ndiyo uje ubadili sheria na kuwabana.!! Mawazo kama yako alikuja nayo Rais Magufuli, hivi unajua tunanyolewa kiasi gani kwa ile mikataba iliyovunjwa ama kukiukwa? Na unajua bado tuna msururu wa kesi za namna hiyo mahakama za kimataifa?. Kifupi huyo Faiza Foxy hajashauri chochote hisipokuwa kakurupuka kuandika kitu kinachomzidi uwezo wake wa kufikiri.
 
Washauri kama nyie mkikutana na viongozi wajinga mnawapoteza. Ulishaingia mkataba kwa masharti fulani, alafu baadae ndiyo uje ubadili sheria na kuwabana.!! Mawazo kama yako alikuja nayo Rais Magufuli, hivi unajua tunanyolewa kiasi gani kwa ile mikataba iliyovunjwa ama kukiukwa? Na unajua bado tuna msururu wa kesi za namna hiyo mahakama za kimataifa?. Kifupi huyo Faiza Foxy hajashauri chochote hisipokuwa kakurupuka kuandika kitu kinachomzidi uwezo wake wa kufikiri.
Tofautisha kuvunja mkataba na kubadili sheria. Kwani hii mikataba ya madini haina ukomo?
 
Ipitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo wtakaoiuza ndani na nje ya Tanzania.

Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni. Uchumi tunao, tunaukalia.

Niliwahi kuandika kuhusu dhahabu, ingawa mada nilikuwa sijaimaliza, lakini ilikuwa iishie kwenye ushauri nnaoutowa leo.

Niliwahi kuanza kundika hivi:

- Siasa, Uchumi, Dhahabu, Neema na Laana zake
Wazungu wa Barrick wauze BOT ??!
Never !!
 
Kikwete ana ndoto mbili muhimu sanan kuhusu Tanzania, Mwenyezi Mungu amsaidie zipate kutimia.

1) Tanzania iwe ni nchi ya utalii wa afya. Yaani zijae hospitali za utaalaam wa kila aina.

2) Tanzania iwe kitovu cha elimu na yafita Africa.

Alishaanza vizuri sana huko kwa Jakaya Heart Institute, Mloganzila na hospitali ya Chuo Kikuu Dodoma.

Bila kuwa na uchumi mzuri, hizo ndoto zitachukuwa muda mrefu sana kutimia. Inawezekana.
Kikwete hahahahahah stop comedy
 
Ipitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo wtakaoiuza ndani na nje ya Tanzania.

Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni. Uchumi tunao, tunaukalia.

Niliwahi kuandika kuhusu dhahabu, ingawa mada nilikuwa sijaimaliza, lakini ilikuwa iishie kwenye ushauri nnaoutowa leo.

Niliwahi kuanza kundika hivi:

- Siasa, Uchumi, Dhahabu, Neema na Laana zake
Una malaria

dhahabu yangu nimechimba kwa nguvu zangu,unanilazimisha nikuuzie wewe kwa lazima kwa bei unayotaka wewe?

lazima ukae kwenye market kama wengine na kama unatoa offer nzuri ndio nikuuzie

hiyo inaitwa state robbery

cha ajabu kuleta udikteta huo hakuna mtu atachimba,watakuachia wewe bwana serikali uchimbe mwenyewe kitu ambacho huwezi na huna hela wala utaalamu wa kuchimba

pili utaleta black market ya ajabu,wanachi watachimba kwa wizi na watauza kwa wizi hata hicho kidogo cha kodi HUPATI

ungejua serikali ni organization iliyo limited sana wala usiongelee hapa

serikali ukisema USICHIMBE haimaanishi watu hawatachimba,WATACHIMBA penda usipende na watauza nje na kodi hupati...huna jeshi la kushika wote na kusimamia migodi yote wewe!

Serikali ni takataka sana

na wanasiasa wanaoingia serikali ni takataka zaidi kama ulivyo wewe hapo.....how can u regulate biashara kijinga hivyo?

mlipiga marufuku madawa ya kulevya,mmefunga wangapi na mtaani yapo mangapi na bado biashara ipo haitakaa iishe hata mkate vichwa wananchi wote,nothing you can do!
 
Hujamwelewa faiza. Ukishakua na dhahabu ni sawa na una dola ya marekani au mafuta. Uchumi wa dunia unapotetereka huna wasiwasi.popote duniani unapokwenda na dhahabu yako unapokelewa kama mfalme. Hamuangalii hata masoko ya shares huko duniani yanavyofanya biashara.?
Walishajaribu kitambo hiyo biashara lakini wakapata hasara kubwa Benki maana inasemekana walikuwa wanauziwa makakumba mengi kuliko dhahabu !😅😅
 
Una malaria

dhahabu yangu nimechimba kwa nguvu zangu,unanilazimisha nikuuzie wewe kwa lazima kwa bei unayotaka wewe?

lazima ukae kwenye market kama wengine na kama unatoa offer nzuri ndio nikuuzie

hiyo inaitwa state robbery

cha ajabu kuleta udikteta huo hakuna mtu atachimba,watakuachia wewe bwana serikali uchimbe mwenyewe kitu ambacho huwezi na huna hela wala utaalamu wa kuchimba

pili utaleta black market ya ajabu,wanachi watachimba kwa wizi na watauza kwa wizi hata hicho kidogo cha kodi HUPATI

ungejua serikali ni organization iliyo limited sana wala usiongelee hapa

serikali ukisema USICHIMBE haimaanishi watu hawatachimba,WATACHIMBA penda usipende na watauza nje na kodi hupati...huna jeshi la kushika wote na kusimamia migodi yote wewe!

Serikali ni takataka sana

na wanasiasa wanaoingia serikali ni takataka zaidi kama ulivyo wewe hapo.....how can u regulate biashara kijinga hivyo?

mlipiga marufuku madawa ya kulevya,mmefunga wangapi na mtaani yapo mangapi na bado biashara ipo haitakaa iishe hata mkate vichwa wananchi wote,nothing you can do!
Hatari sana !! Watakuwa wakinunua kakumba kisha waje waseme wamekula hasara !!
 
Dhahabu unadhani haichimbwi mrangi? Wachimbaji wadogo wanapata sana dhahabu na serikaki ina uwezo wa ku collect ya kutosha sana tuu kwa ajili ya kuitumia kama fedha za kigeni .ni kwamba tu bado naona serikali haijaweka nia ya dhati na mkazo kwenye uchumi huu wa vito. Sisi ni matajiri sanaa.
Lakini dhahabu nyingi ya kutufanya tuwe matajiri tulishawagaia rafiki zetu Wazungu kitambo sana !!
 
Back
Top Bottom