Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Usiamini serikali haiwezi kutapeliwa labda kama walifanya kwa makusudi . Serikali yenye tume ya madini , geology n.k hiyo haiwezekaniWalishajaribu kitambo hiyo biashara lakini wakapata hasara kubwa Benki maana inasemekana walikuwa wanauziwa makakumba mengi kuliko dhahabu ![emoji28][emoji28]