Bukoba Finest
JF-Expert Member
- Jul 13, 2023
- 250
- 315
Na hizo ndo akili za makolo mafanikio yenu ni kujaza uwanjaWaliogopa fedheha ya uwanja kuto kujaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hizo ndo akili za makolo mafanikio yenu ni kujaza uwanjaWaliogopa fedheha ya uwanja kuto kujaa
Muwaambie kina Mangungu wasilete huu upumbavu Simba day.Ukiweka utopolo pembeni unaongea point. Hili la wasanii kuweka CD ni upumbavu kabisa
Mimi nadhani wawapelekee tu Mwanza sisi wengine kwenye TV tunaenjoy vizuri tu.Elfu 10 ni hela ndogo mwaka mzima tuseme ukweli
Kuchangia team unayopenda inayokupa furaha
Mashabiki wasiowajibika wanini sasa?
Kadi za uachama hawachangi
Viingilio hawalipi wanataka buku buku
Wanataka mcheza alipwe milion 80
Naninawajike badala yetu
Me napendekeza yanga inapendwa tanzania nzima naona kama watu wa dar tamasha hili wamelichoka
Mwakani walitoe nje ya dar na walete hao wasanii wao
Hata waweke kiingilio elfu 50 watu watajaa
Wapeleke pale mwanza, dodoma, songea, mbeya, kigoma, n.k halafu waone watu watavojaa
Wasikariri kila kitu dar
Hakuna msomi anayeweza kuchanganya caps, upper case na lower case.PhD.
Napendekeza mambo YAFUATAYO.
1.
2.
3.
4.
5. ........
Hivi ndivyo WASOMI wanavyowasilisha MADA ZAO.
Msiandike PhD wakati villlaza!!!!!
flashBinafsi niliona DJ Ally B alitoa burudani kubwa zaidi kuliko Jux na wasanii Wengine....
Nili enjoy Sana burudani ya DJ Ally B....
Nyie utopolo akili zenu si kuigaNa hizo ndo akili za makolo mafanikio yenu ni kujaza uwanja
And that agreement will be termed as UTOKOLO😀For the first time uto and kolo come to the agreement!!
😃😃
Yaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]For the first time uto and kolo come to the agreement!!
[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji1787] jidanganye brother waweke 10k mikoani...wataliaaa!!!!Elfu 10 ni hela ndogo mwaka mzima tuseme ukweli
Kuchangia team unayopenda inayokupa furaha
Mashabiki wasiowajibika wanini sasa?
Kadi za uachama hawachangi
Viingilio hawalipi wanataka buku buku
Wanataka mcheza alipwe milion 80
Naninawajike badala yetu
Me napendekeza yanga inapendwa tanzania nzima naona kama watu wa dar tamasha hili wamelichoka
Mwakani walitoe nje ya dar na walete hao wasanii wao
Hata waweke kiingilio elfu 50 watu watajaa
Wapeleke pale mwanza, dodoma, songea, mbeya, kigoma, n.k halafu waone watu watavojaa
Wasikariri kila kitu dar
Miundombinu ndo changamotoElfu 10 ni hela ndogo mwaka mzima tuseme ukweli
Kuchangia team unayopenda inayokupa furaha
Mashabiki wasiowajibika wanini sasa?
Kadi za uachama hawachangi
Viingilio hawalipi wanataka buku buku
Wanataka mcheza alipwe milion 80
Naninawajike badala yetu
Me napendekeza yanga inapendwa tanzania nzima naona kama watu wa dar tamasha hili wamelichoka
Mwakani walitoe nje ya dar na walete hao wasanii wao
Hata waweke kiingilio elfu 50 watu watajaa
Wapeleke pale mwanza, dodoma, songea, mbeya, kigoma, n.k halafu waone watu watavojaa
Wasikariri kila kitu dar
Kipi nimeiga kwako? "Tukianzia mwanzo kabisa kipindi Kolo anaanzishwa aliiga kwa nani? [emoji15][emoji15]Nyie utopolo akili zenu si kuiga
Kipi nimeiga kwako? "Tukianzia mwanzo kabisa kipindi Kolo anaanzishwa aliiga kwa nani? [emoji15][emoji15]Nyie utopolo akili zenu si kuiga
Mamaeee [emoji1787][emoji1787]And that agreement will be termed as UTOKOLO[emoji3]
Hata mimo hili limenishangaza sana, sasa vibe la nyimbo unalipata vipi ikiwa nyimbo imepigwa kwa sekunde 3Na hata DJ anatakiwa DJ wa kariba ya Bonny love au DJ Rankim Ramadhani kipindi tunaruka mayenu sealander club pink coconut.
DJ wa kupiga nyimbo 10 kwa dakika moja huyo aishie hukohuko kwenye vigodoro vyao.
Yani Dj anaweka nyimbo kabla mzuka haujapanda kashabadili nyimbo ndio nini sasa?
Hawa madj wa sasa ndio walinifanya niache kwenda disco night club ni upuuzi mtupu.Hata mimo hili limenishangaza sana, sasa vibe la nyimbo unalipata vipi ikiwa nyimbo imepigwa kwa sekunde 3
Hii tamasha si mumeiga kwa mkubwa wenu wa kaziKipi nimeiga kwako? "Tukianzia mwanzo kabisa kipindi Kolo anaanzishwa aliiga kwa nani? [emoji15][emoji15]
Kwahiyo Simba wameiga kwa Yanga kuanzisha timu ya mpira?Hii tamasha si mumeiga kwa mkubwa wenu wa kazi