Ushauri wa ununuaji gari ya kuanzia maisha

Ushauri wa ununuaji gari ya kuanzia maisha

Kama hiki ndicho kipato chako kwa mwezi na hauna kingine cha ziada, ningekushauri uachane na mawazo ya kumiliki gari.

Ninasema hivyo kwa sababu gharama za mafuta kwa mwezi zinaweza kufika hadi nusu ya hicho kipato. Bado hujapata changamoto za vipuri na matengenezo endapo yatatokea.
Nazani itategemea pia na matumizi yake Kwa siku,mfano to-fro kazini maybe ni 2km? Si hata tumia mafuta mengi?
 
tatizo vijana tunapemda sifa za kijinga
ukiona uchumi wako hauko poa
unanunua gari ambalo litaisadia ata kukuingizia pesa kuliko kutembelea na kulipack tu
Nunua Toyota Noah,au toyota succed unakula vichwa yaani inajitafutia hela ya mafuta na service siku moja moja
 
Ukimiliki gari utashangaa unakosa pesa ya chakula, pesa ya kununua nguo lakini somehow pesa ya mafuta hautakosa. Na gari itakuwa inatembelewa hivyo hivyo kwa kuunga unga
Itakusumbua mwanzo kaka, cz kunajukumu jipya limeongezeka, bt at last utaweza kumudu,

Issue ni kukubali kwamba sio kila safari n ya kwenda na gari, unless unaweza mudu gharama za mafuta za kila cku bila kuathiri uchumi wako..
 
tatizo vijana tunapemda sifa za kijinga
ukiona uchumi wako hauko poa
unanunua gari ambalo litaisadia ata kukuingizia pesa kuliko kutembelea na kulipack tu
Nunua Toyota Noah,au toyota succed unakula vichwa yaani inajitafutia hela ya mafuta na service siku moja moja
Acha kushauli watu ujinga,
Li Noah la nn Mimi? Km nataka gari ya kuniingizia Pato si bora ninunue canter au fuso,
Mm mwenye gari na napaki home, siku moja moja nadrive na ww usio na gari wala turubai la kufunikia bora Nani?
Usipangie watu waisha, hela nitafute kwa shida, bado unipangie matumizi?
 
Acha kushauli watu ujinga,
Li Noah la nn Mimi? Km nataka gari ya kuniingizia Pato si bora ninunue canter au fuso,
Mm mwenye gari na napaki home, siku moja moja nadrive na ww usio na gari wala turubai la kufunikia bora Nani?
Usipangie watu waisha, hela nitafute kwa shida, bado unipangie matumizi?
unadhani kumiliki canter au fuso ni mchezo wa kitoto?

Nadhani hujawahi kumiliki gari wewe ndiyo maana unaona ni ushauri wa ujinga
 
Habari wana Jf?

Mimi ni kijana ila napenda kuwa na usafiri Kwa ajili ya mambo yangu ya kazi na privacy zangu mwenyewe za kimaisha.

Kazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri wa aina ya gari ambayo itaendana na kipato changu na jinsi nitakavyoweza kuitunza pia. Wazo langu ni kununua used kwanza Kwa mtu.

Mchango wenu wakuu
Tafuta Mitsubishi outlander au Mazda CX 5
 
Nikushauri usinunue kwa mtuu utajuta wabongo magari mengi hayafanyiwi service nikaushauri nunua premio 1500cc hiyo autajutia maana hata matumizi ya mafuta inatumia kidogo au chukua Runx autajutia ila kwa mtuu hapana
Shi ngapi hii Premio
 
Kama wewe ni kijana sio mzee chukua Alteza au subaru WRX usisahau kupimp maturbo mixer exhaust uone barabara ilivyokua tamu
 
Kama kipato chako ndio hiko na hutaki stress, nakushauri usinunue gari na usije kudanganyika hata vits usinunue.

Nina sababu zaidi ya 10 kukwambia hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi ndugu.
Kwa huo mshahara anatakiwa ajitafute zaidi kwa kuongeza vitega uchumi zaidi.
Gari ni gari tu haijalishi ina ukubwa gani ikianza kukugeukia utajuta kuzaliwa.
Itakuwa haimake sense mshahara wote uwe umeisha kwenye matengenezo na mafuta ya gari huku watoto hawana pesa ya chakula au unadaiwa kodi ya nyumba.
 
anunue vitz ilaa nayo inatumia mafutaaa so kwa mshahara wa 500k means sio chini ya 250k unatumia kwa ajili ya gari na hapoo kuna mambo ya kugusana na watuu siku umeparua gari la watu huna 100 aisee ndo utalichukia gariii na used hazikosagi mapungufu mara gari inazimika upo road weeee 😀 😀 😀 😀 😀
Hatari sana aisee yaliwahi kunikuta hayo kuna kipindi nilinunuaga gari used Toyota Carina aisee wakati nainunua kimuonekano ilikuwa super sana hata nilikuwa na bro fulani hivi jirani yetu yeye ni mzoefu sana wa magari ya aina zote maana yeye ni dereva na pia ni operator mzoefu wa mobile equipments/mobile plants zote basi nikaenda naye akaicheki na kuitest akasema mdogo wangu hii gari umewin bado mpya nilivyosikia hivyo nikafurahi sana na muuzaji naye akasisitiza kuwa hii gari bado nzuri maana siitumiagi sana maana niko na gari mbili.
Baada ya hapo tukaenda kwenye ofisi ya mwanasheria tukaandikishiana nikamlipa chake.
Baada ya hapo nikaanza kuitumia kama miezi miwili hivi aisee baada ya hapo majanga yakaanza kila wiki gari inaenda gereji tunarekebisha part iliyozingua baada ya wiki kinakufa kingine naenda kurekebisha baada ya wiki breki hazifanyi kazi basi kuna siku breki zimefeli niko kwenye barabara ya lami na kuna jam kwa kuhofia kugonga gari iliyoko mbele yangu ikanibidi nikunje kona kushoto niingie kwenye service road inayoingia mtaani aisee ilibaki kidogo tu gari iwapitie wapita njia waliokuwa wanatembea kwa miguu ila kwa bahati kulikuwa na fensi ya miti michongoma nikaenda kuivamia gari ikazimika ndio ikawa salama yangu.
Ile gari niliangaika nayo miezi kadhaa nikaja kuiuza kwa bei ya hasara kwa madalali.
 
unadhani kumiliki canter au fuso ni mchezo wa kitoto?

Nadhani hujawahi kumiliki gari wewe ndiyo maana unaona ni ushauri wa ujinga
Hayo ndo Magari y biashara ss, n sio mi Noah au hiyo mi succeed…
Ww ndo hujawai miliki gari tht why unatisha tisha watu kwa Mawazo yako mgando
 
Hayo ndo Magari y biashara ss, n sio mi Noah au hiyo mi succeed…
Ww ndo hujawai miliki gari tht why unatisha tisha watu kwa Mawazo yako mgando
kwa taarifa yako tu mimi binafsi nimekuwa nikimiliki gari tangu mwaka 1995; Suzuki Samurai, Benz 190E, Benz C180, Ford Focus, Harrier Aerotourer, Harrier tako la nyani (2.4G), IST .... nyingine sikukutajia. Pia tumewahi kumiliki Fuso na tractor na trailer.
Wacha ushamba kijana, unadhani tunaongea ongea tu?
 
Hatari sana aisee yaliwahi kunikuta hayo kuna kipindi nilinunuaga gari used Toyota Carina aisee wakati nainunua kimuonekano ilikuwa super sana hata nilikuwa na bro fulani hivi jirani yetu yeye ni mzoefu sana wa magari ya aina zote maana yeye ni dereva na pia ni operator mzoefu wa mobile equipments/mobile plants zote basi nikaenda naye akaicheki na kuitest akasema mdogo wangu hii gari umewin bado mpya nilivyosikia hivyo nikafurahi sana na muuzaji naye akasisitiza kuwa hii gari bado nzuri maana siitumiagi sana maana niko na gari mbili.
Baada ya hapo tukaenda kwenye ofisi ya mwanasheria tukaandikishiana nikamlipa chake.
Baada ya hapo nikaanza kuitumia kama miezi miwili hivi aisee baada ya hapo majanga yakaanza kila wiki gari inaenda gereji tunarekebisha part iliyozingua baada ya wiki kinakufa kingine naenda kurekebisha baada ya wiki breki hazifanyi kazi basi kuna siku breki zimefeli niko kwenye barabara ya lami na kuna jam kwa kuhofia kugonga gari iliyoko mbele yangu ikanibidi nikunje kona kushoto niingie kwenye service road inayoingia mtaani aisee ilibaki kidogo tu gari iwapitie wapita njia waliokuwa wanatembea kwa miguu ila kwa bahati kulikuwa na fensi ya miti michongoma nikaenda kuivamia gari ikazimika ndio ikawa salama yangu.
Ile gari niliangaika nayo miezi kadhaa nikaja kuiuza kwa bei ya hasara kwa madalali.
Pole sana mkuu ilitaka kukuua..!!
 
Back
Top Bottom