Ushauri wa ununuaji gari ya kuanzia maisha

Mkuu nunua gari litakusaidia safari zako za kubeba vimizigo,kusafiri na familia kwenda ibadani,ukweni, outing, usiku, juakali na mvua pia nyakati ngumu unaweza kuliuza ukatatua changamoto!!

Kuhusu kipato hizo kilo 5 ni take home za watumishi wengi coz walishachukua mikopo tena na kununua hayo magari ambayo wanakukatisha tamaa!!

Gari siyo mpaka ulitumie kila siku au kuzurula nalo viwanja, ukiwasha kwa safari za msingi utalimudu tu
 
If possible ingia befoward chagua gari unalopenda kutokana na uzito wa mfuko wako then nenda Ofisi za befoward wakupe maelekezo yaliyonyooka , just in case kununua gari kutoka wa mbongo second hand si wazo langu, Bora kuagiza nje
Ni gari gan ambayo anaweza kuchagua beforward ije alipe na kod kwa budget ya 6 mls aliyonayo bwana
 
Je gari ya 1 sz u qweza kuiwekea engine nyingine ambayo siy8 1 sz
 
Ni kweli kabisa...sio lazima kila unapotoka utoke na gari, weka bajeti yako ya mafuta kwa mwezi, ishi nayo...kuwa na gari haimaanishi una pesa, cha msingi pata gari nzuri, isiyosumbua.
 
Nunua probox au IST itakufaa kwani ukiweka mafuta ya elfu hamsini yatakuwa yanakutana na mshahara wako yaani tarehe 30 mpaka tarehe 30 ya mwezi unaofuta lakini Kama huna safari nyingi zisizona faida
Sio kweli, gari ni matumizi yako...hata mafuta ya laki 2 unaweza yamaliza kwa siku moja...acheni kumtisha mwamba...
 
Usijaribuuuuu aiseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] 50 uzunguke mwezi labda kama unaenda umbali wa Km 2 kila siku.
Suala ni matumizi tu...naweza weka mafuta ya 20k na mwezi uishe...naendesha wikiendi tu...
 
Suala ni matumizi tu...naweza weka mafuta ya 20k na mwezi uishe...naendesha wikiendi tu...
eeh si bora usiwe nalo sasaa 😀 😀 na ukiwa nalo utajikutaa unaenda nalo like daily labda uwe huna hela ya mafutaaa mzeee
 
eeh si bora usiwe nalo sasaa [emoji3] [emoji3] na ukiwa nalo utajikutaa unaenda nalo like daily labda uwe huna hela ya mafutaaa mzeee
Tatizo ni pale unakuta mtu kila mahali anaenda na gari...nimeshazoea napiga hata wiki bila kuendesha gari...nikiwa na mishe ya kunilazimu kutumia gari, nawasha mashine inanirahisishia mambo...hivyo, ila siendeshi gari kila siku na kila mahali.
 
Tatizo ni pale unakuta mtu kila mahali anaenda na gari...nimeshazoea napiga hata wiki bila kuendesha gari...nikiwa na mishe ya kunilazimu kutumia gari, nawasha mashine inanirahisishia mambo...hivyo, ila siendeshi gari kila siku na kila mahali.
Ukiona gari lako unaendesha mara 1 kwa week liuzee tuu labda kama haupo mkoa ambao usafiri ni changamotoo ilaa garii rahaa sanaa japo huwezi kuja nalo kila siku
 
Ukiona gari lako unaendesha mara 1 kwa week liuzee tuu labda kama haupo mkoa ambao usafiri ni changamotoo ilaa garii rahaa sanaa japo huwezi kuja nalo kila siku
Kuwa na gari haimaanishi kuendesha kila siku n kila mahali...ukizoea kuwa na gari utanielewa ninachomaanisha Mkuu...japo mtazamo wa jamii ni tofauti kabisa... naweza toka na gari, nikaenda kiwanja kikali, mfukoni nina 500 tu ya maji...
 
Mkuu leta milion 9 uchukue hii
 

Attachments

  • 20230615_080345556.jpg
    3.1 MB · Views: 56
  • 20230615_080337523.jpg
    3.2 MB · Views: 46
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…