whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Vipi starlet naziona kama gari ngumu sana sio rahisi ukute imekufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nunua gari usirudi nyumaHabari wana Jf?
Mimi ni kijana ila napenda kuwa na usafiri Kwa ajili ya mambo yangu ya kazi na privacy zangu mwenyewe za kimaisha.
Kazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri wa aina ya gari ambayo itaendana na kipato changu na jinsi nitakavyoweza kuitunza pia. Wazo langu ni kununua used kwanza Kwa mtu.
Mchango wenu wakuu
Wewe unamiliki gari gani?Ongeza kipato kwanza mkuu
Shida wanao jib hawana hata hyo ist. Mimi nikiweka ya elf 50 nazunguka nayo wiki mbili bila shida. Ucsahahau ist inatembea 18km/litaYaa mzee, kazn tu
Mafuta ya elf kumi lita tatu ist inatembea 18km/lita unamshaur uongo akat hata baiskel hunaKazini inategemeana na Umbali.. kazini ukute ni Km 10 kwenda.. kurudi 10. So km 20 huwezi ni mafuta ya 10k kila siku. Ila kama kazini panaendeka hata kwa mguu haina shida.
18km per litre hata highway kuipata ni ngumuShida wanao jib hawana hata hyo ist. Mimi nikiweka ya elf 50 nazunguka nayo wiki mbili bila shida. Ucsahahau ist inatembea 18km/lita
Umbali wa kazini kwake unaujua?Hap kwa kipato hko chukua ist ya 8.5 utapata iliyo nzima, ww utakua n kumwaga tu oir na repair ndogo ndogo. Mafuta kweny ist sio kitu cha kuwaza kama kwenda tu kazin ukiweka ya elf 50 utakata mpaka siku 15
Ni kweli mkuu sina hata baiskelii.. Lita 1 IST unaenda Km 30.Mafuta ya elf kumi lita tatu ist inatembea 18km/lita unamshaur uongo akat hata baiskel huna
Achana naee jingaa tu huyoooo...!! Anagoogle consumption rate anakuja kupiga kelele hapaa...18km per litre hata highway kuipata ni ngumu
Mimi sina gari ila nina uzoefu nayo kiasi....Achana naee jingaa tu huyoooo...!! Anagoogle consumption rate anakuja kupiga kelele hapaa...
Hiyo unaipata kwa Toyota vitz cc99018km per litre hata highway kuipata ni ngumu
Wewe una uzoefu mimi ninalo...!!Mimi sina gari ila nina uzoefu nayo kiasi....
Na hapo ukiendesha vizuri,service ya gari ikiwa poaHiyo unaipata kwa Toyota vitz cc990
Magari ya toyota hawez tudanganya kwa kweli.Wewe una uzoefu mimi ninalo...!!
Ata kama, mimi wakat nataka kuchukua athlete watu waliiponda saaaaanaaaaa lakin tofaut na uhalisia nimeinunua na naitumia vzr tu, japo c kila sehem ww unaenda na ndingaUmbali wa kazini kwake unaujua?
Hii hiyo pia unaipata kwny ist ya 2NZ cc 1290. Hyo cc 990 ni 1kR ulitakiwa upate 22km/LHiyo unaipata kwa Toyota vitz cc990
Jinga ww hujawah kumiliki unagongea gali thn unaguja kutoa maada za ku google. Ist uki google kwa cc 1290 inaenda km 23 kwa lita. Utokana na uchakav ukiendesha vzr bongo na ukapata ist iliyo vzr unapata 18 kwa lita high way mjin 14 nilikua napata. Sasaiv nipo na mnyama crown napiga mpaka km 13 kwa lita mpuuz wwAchana naee jingaa tu huyoooo...!! Anagoogle consumption rate anakuja kupiga kelele hapaa...