Ushauri wa ununuaji gari ya kuanzia maisha

Ushauri wa ununuaji gari ya kuanzia maisha

Vipi starlet naziona kama gari ngumu sana sio rahisi ukute imekufa
 
Habari wana Jf?

Mimi ni kijana ila napenda kuwa na usafiri Kwa ajili ya mambo yangu ya kazi na privacy zangu mwenyewe za kimaisha.

Kazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri wa aina ya gari ambayo itaendana na kipato changu na jinsi nitakavyoweza kuitunza pia. Wazo langu ni kununua used kwanza Kwa mtu.

Mchango wenu wakuu
Mkuu nunua gari usirudi nyuma

Humu jf utakatishwa tamaa na wasiokuwa na magari, gari inaraha yake
 
Mm ninae tvs pikpik nimeipak ndan Sina hata 100 ya kuweka wese
Npo tu ndan naangalia Tv Kam fala fulan hiv na libukta lang na ndan sijavaa hata chup

Chombo ya moto ni balaa mafuta yenywe ya kupima Kwa kijiko
 
Mkuu kwa kipato chako nashauri uachane na gari,vuta hata boxer sio mbaya[emoji23]..kwa hicho kipato chako mm ni mara 2 yake lakn siwezi kumiliki NDINGA kwa sababu najua bado inatakiwa niongeze kipato kwanza..kwa sasa nina boxer inanisukuma kwenye mizunguko yangu coz kwenda kazini ni km 15 so kwenda nakurudi km 30 na mizunguko mingne km10 jumla km 40...nikiweka mafuta ya buku tatu yananitosha!
 
Kazini inategemeana na Umbali.. kazini ukute ni Km 10 kwenda.. kurudi 10. So km 20 huwezi ni mafuta ya 10k kila siku. Ila kama kazini panaendeka hata kwa mguu haina shida.
Mafuta ya elf kumi lita tatu ist inatembea 18km/lita unamshaur uongo akat hata baiskel huna
 
Hap kwa kipato hko chukua ist ya 8.5 utapata iliyo nzima, ww utakua n kumwaga tu oir na repair ndogo ndogo. Mafuta kweny ist sio kitu cha kuwaza kama kwenda tu kazin ukiweka ya elf 50 utakata mpaka siku 15
 
Hap kwa kipato hko chukua ist ya 8.5 utapata iliyo nzima, ww utakua n kumwaga tu oir na repair ndogo ndogo. Mafuta kweny ist sio kitu cha kuwaza kama kwenda tu kazin ukiweka ya elf 50 utakata mpaka siku 15
Umbali wa kazini kwake unaujua?
 
Achana naee jingaa tu huyoooo...!! Anagoogle consumption rate anakuja kupiga kelele hapaa...
Jinga ww hujawah kumiliki unagongea gali thn unaguja kutoa maada za ku google. Ist uki google kwa cc 1290 inaenda km 23 kwa lita. Utokana na uchakav ukiendesha vzr bongo na ukapata ist iliyo vzr unapata 18 kwa lita high way mjin 14 nilikua napata. Sasaiv nipo na mnyama crown napiga mpaka km 13 kwa lita mpuuz ww
 
Back
Top Bottom