Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Mwishoni itakuwa fundi gari......unashinda sana garage kumaliza kipato chako gari as mkononi hizo labda kama una biashara ingine iku supportM5 mpk 6 ndo bajeti yangu kk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwishoni itakuwa fundi gari......unashinda sana garage kumaliza kipato chako gari as mkononi hizo labda kama una biashara ingine iku supportM5 mpk 6 ndo bajeti yangu kk
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]endelea kugoogleJinga ww hujawah kumiliki unagongea gali thn unaguja kutoa maada za ku google. Ist uki google kwa cc 1290 inaenda km 23 kwa lita. Utokana na uchakav ukiendesha vzr bongo na ukapata ist iliyo vzr unapata 18 kwa lita high way mjin 14 nilikua napata. Sasaiv nipo na mnyama crown napiga mpaka km 13 kwa lita mpuuz ww
High way labda za mkoani mzee ukija mjini huku utajua hujuii...[emoji28][emoji28][emoji28] kwanza ukiona unaweka mafuta kwa kuangalia mshalee kila muda uzaa tu hilo garii[emoji2960]Kuna mijitu humu jf sio ya kuisikiliza gari haijawah kumiliki, diving skills ni mbov alaf anasema gar inakula mafuta. Ist ya 1290 ukibalanc rpm isivuke 1.8 bac unaitapa hyo 18 tena high way. Hii apa ya crown yangu napata 13/l engene 2500 nayosemaga jini
Weka Litre moja toka Kkoo nenda kimara saa moja asubuhi au Saa 12 jioni Ukifikaa niite mbwaa.. Hizo consumption rate ni gari inaendaa speed kweli haina kusimama simama..hujawasha AC! Sasa hizi folini za dar andaa kidumu tu..Hii ni kwa ist hii ya beforward ina cc 1290, na inatumia 23km/l ndio maana nasema ist kwa bongo inafika km 18/l ila tu iwe nzima na uendeshe kwa nidham nadhan nimeeleweka . Huna gari na hujawah kumilik kaa kimya mimi nilitushwa sana kuhusu crown kumbe uhalisia hauko hivyo
Ongeza kwanza kipato Kisha ndio ununue gari mkuu .Ok kipato changu ni 500k Kwa mwezi mkuu
Hyo ni fact nyingine na ndio maana nilisema high way kwa tz unapata 18km/l. Ndan ya mji kuna trefik na stip za apa na pale unapata 10-13 kwa lita ukiwa na ist 2nzWeka Litre moja toka Kkoo nenda kimara saa moja asubuhi au Saa 12 jioni Ukifikaa niite mbwaa.. Hizo consumption rate ni gari inaendaa speed kweli haina kusimama simama..hujawasha AC! Sasa hizi folini za dar andaa kidumu tu..
Mimi nina mshahara huo na nina milik crown japo kuna deals zingine za apa na pale, kwa ist hyo anamiliki bila tabu yeyote. Kama hana source nyingine ya pesa atafute gari ya engene 1500cc kushuka itamfaaOngeza kwanza kipato Kisha ndio ununue gari mkuu .
Hapo sasa sawaa..kuna siku nilifanya hii test alafu nikapita sehemu kuna mlima na mshale umelalaaa aisee ndo nkajua ukiwa na gari usikose hela mfukoniHyo ni fact nyingine na ndio maana nilisema high way kwa tz unapata 18km/l. Ndan ya mji kuna trefik na stip za apa na pale unapata 10-13 kwa lita ukiwa na ist 2nz
Kwa Jinsi Navojua Gari Mafuta Ni Kutokana na Matumizi,Itafikaje 20K na safari Zake Nyngi Ni Shuleni Maybe 10kmHiyo pesa haitoshi hata kula kwa mwezi moja.
Gari ndogo kama ist , passo, starlet mafuta kwa siku si chini ya 20k i.e. lita 7
Bora ununue tvs au boxer
Ndo hapo sasa elf 20 kweny ist ni lita 6 ambayo ni zaid ya km 60+ mpaka yaisheKwa Jinsi Navojua Gari Mafuta Ni Kutokana na Matumizi,Itafikaje 20K na safari Zake Nyngi Ni Shuleni Maybe 10km
Kwa sasa mafuta ya 20k , ni lita 6.8 ambayo kwa gari ni kidogo sana, kukutoa nyumbani na kukurudisha, 20km, bila kuwa na wasiwasi kwamba yatakuishia njiani.Kwa Jinsi Navojua Gari Mafuta Ni Kutokana na Matumizi,Itafikaje 20K na safari Zake Nyngi Ni Shuleni Maybe 10km
Unafanyeje kupata hiyo 13kmKuna mijitu humu jf sio ya kuisikiliza gari haijawah kumiliki, diving skills ni mbov alaf anasema gar inakula mafuta. Ist ya 1290 ukibalanc rpm isivuke 1.8 bac unaitapa hyo 18 tena high way. Hii apa ya crown yangu napata 13/l engene 2500 nayosemaga jini
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Yani CC 2500 Anatembea KM za vitz...!!Unafanyeje kupata hiyo 13km
Kiuhalisia crown pia uwe vzuri financiallyAta kama, mimi wakat nataka kuchukua athlete watu waliiponda saaaaanaaaaa lakin tofaut na uhalisia nimeinunua na naitumia vzr tu, japo c kila sehem ww unaenda na ndinga
Kwanza uzima wa gari, gari ni nzima!? Mimi yangu ni nzima kabisa haijawah kuchokonilewa engene pili balance rpm isizid 2. Fanya service kwa wakat weka mafuta ya kutodha walau nusu tank, utanishukuruUnafanyeje kupata hiyo 13km