monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Niletee hiyo Rush ya 10m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niletee hiyo Rush ya 10m
Hiyo ukienda nayo kidimbwi unarudi Bado hujalewaLaki 4 mpaka 6[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Asinunue Above 1200 cc
Akinunua Ataepuka Mengi Sana Chumahi gari ina bei 😅
hujui kitu wewe.rush nibei ghali mamaRush ni mzuri na sio beighali
Ushauri poaWe nunua hata kwa mtu, muhimu update fundi nzuri wa kukagua.
Kipato changu ni chini ya hapo (sio Cha uhakika), nimenunua Toyota Raum kwa mtu huu mwaka wa 3 fresh tu.
Ukiwa na gari huiweki barabarani kila siku, unacheki tu mishe ukiona imekaa pouwa unatia wese unasepa.
Huyo anaesema kila siku inahitaji wese la 20k, Kwan anajua unaenda wapi?
Kama una familia Kuna wakati gari inakupa heshima sana.
We usisikilize maneno ya watu, we chukua chuma ishi nacho. Maisha ni haya haya.
utanishukuru baadae
KwishaKazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri
Kasema ni mwalimu
Gari ya nyoko labdaMpwayungu Village njoo uone huku mwalimu anataka kununua gari.
Premio kwa 5m mpaka 6 anaipataje bila kupita kwa mtu. Maana budget yake ndio hiyo tuNikushauri usinunue kwa mtuu utajuta wabongo magari mengi hayafanyiwi service nikaushauri nunua premio 1500cc hiyo autajutia maana hata matumizi ya mafuta inatumia kidogo au chukua Runx autajutia ila kwa mtuu hapana
Nunua probox au IST itakufaa kwani ukiweka mafuta ya elfu hamsini yatakuwa yanakutana na mshahara wako yaani tarehe 30 mpaka tarehe 30 ya mwezi unaofuta lakini Kama huna safari nyingi zisizona faidaHabari wana Jf?
Mimi ni kijana ila napenda kuwa na usafiri Kwa ajili ya mambo yangu ya kazi na privacy zangu mwenyewe za kimaisha.
Kazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri wa aina ya gari ambayo itaendana na kipato changu na jinsi nitakavyoweza kuitunza pia. Wazo langu ni kununua used kwanza Kwa mtu.
Mchango wenu wakuu
Hata Bajaj mafuta ya hamsini hayatoboi mweziMkuu mimi naona ungejichanga had 10 milion ,ununue IST ya uhakika zaidi, sijawah miliki ila kwa uzoefu wa weng nasikia mafuta ya 50000 unaznguka nayo hata mwez , na hata yakiisha ukiipitisha sheli tu geji ya mafuta inasomaaa hyoo
Upo mkoa gani..?Habari wana Jf?
Mimi ni kijana ila napenda kuwa na usafiri Kwa ajili ya mambo yangu ya kazi na privacy zangu mwenyewe za kimaisha.
Kazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri wa aina ya gari ambayo itaendana na kipato changu na jinsi nitakavyoweza kuitunza pia. Wazo langu ni kununua used kwanza Kwa mtu.
Mchango wenu wakuu
4m ndio nini mkuu, aiagize vitz new model 990cc, 13mVits old model or starlet,price minimum m4 up to 6
Mataa gani hayo mkuu mpaka washakufahamu na hawakusumbui tena? [emoji23]Ni kweli ukiwa na tvs kama mm napata tabu kwenye mataa alazima atokee kiherehere wakutaka kichomoa funguo. Sikuhizi washanijua hawasumbuki na mimi.
Usijaribuuuuu aiseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] 50 uzunguke mwezi labda kama unaenda umbali wa Km 2 kila siku.Mkuu mimi naona ungejichanga had 10 milion ,ununue IST ya uhakika zaidi, sijawah miliki ila kwa uzoefu wa weng nasikia mafuta ya 50000 unaznguka nayo hata mwez , na hata yakiisha ukiipitisha sheli tu geji ya mafuta inasomaaa hyoo
Yaa mzee, kazn tuUsijaribuuuuu aiseee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] 50 uzunguke mwezi labda kama unaenda umbali wa Km 2 kila siku.
Kazini inategemeana na Umbali.. kazini ukute ni Km 10 kwenda.. kurudi 10. So km 20 huwezi ni mafuta ya 10k kila siku. Ila kama kazini panaendeka hata kwa mguu haina shida.Yaa mzee, kazn tu