Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi walivyo wanaweza kutengeneza mateka wa mchongo wakakuambia tumemuokoa huyu hapasio lazima umma ujue, jeshi linaweza likaendesha operation hii kimyakimya halafu sisi raia tukapewa mrejesho baada ya mission kukamilika.
Zile mbwembwe zote zilikuwa message kwa jirani yetu mwembambawale jamaa zetu wa kupasua matofali kwa ukogo kwenye sherehe za uhuru, tukio kama hili ni platform pekee ya kuionyesha dunia umwamba wao kwenye special op.
akili za kuzuia mikutano ya upinzani kwa kisingizio cha 'taarifa za kiintelijensia'.[emoji16]Umewaza kichadema-chadema sana. Wanaotumia nguvu lazima watanguliwe na wanaotumia akili ili kuleta information sahihi na wanaotumia akili ni hao uliowabeza
Huwezi fanya rescue mission bila nyanja za usafirishaji.rescue mission hazihitaji silaha nzitonzito za kuzisafirisha kwa madege ya vita au malori. silaha kubwa ni uwezo wa kukusanya taarifa.
nani waliomteka,agenda yao ni nini(siasa, dini,fedha),uwezo wao upoje,location ya hostage na kadhalika.
Umewahi kufanya mission ngapi zikafanikiwa kama hizo?rescue mission hazihitaji silaha nzitonzito za kuzisafirisha kwa madege ya vita au malori. silaha kubwa ni uwezo wa kukusanya taarifa.
nani waliomteka,agenda yao ni nini(siasa, dini,fedha),uwezo wao upoje,location ya hostage na kadhalika.
Hapo uchadema unaingiaje!?(aundiobndio umeanza kushikishwa ukuta!?)Mleta mada umewaza kichadema-chadema sana. Wanaotumia nguvu lazima watanguliwe na wanaotumia akili ili kuleta information sahihi na wanaotumia akili ni hao uliowabeza
Bila hivyo huto tuvijana sita au saba unatotuamini tutarudi kwenye majeneza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ipi? Acha uongoHata wakimuokoa hawawezi kusema. JWTZ kamwe hawatangazagi tumefanyi misheni hii au ile. Wanafanya mambo mengi sana mchana na usiku, misheni za kufa na kupona. Ni MO yao, SIRI!
Hawatakiwi kwenda kijeshi, wanatakiwa kwenda Kijasusi kwenye hiyo mission!!Mmh sdhani kama operation za kijeshi za nchi nyingine zinaruhusiwa kwenye nchi nyingine
Huwezi ukaenda kufanya ujinga km huo ndani ya Nchi ya watu wengine hilo ni suala la Nchi husika hapo rais wa Nigeria na Mkuu wa majeshi wa Nigeria ndio anahusikaKwanini sita au saba? NI kwasababu mission kama hizi hazihitaji watu wengi.