Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,072
- 7,891
Kama nimekuelewa ni kwamba tuna makocha wababaishaji wasiojielewaKwani hawa wachezaji hua wanatoa rushwa kwa kocha ili awapange kikosi cha Kwanza?
Wanachoonyesha kwenye uwanja wa mazoezi ndicho hicho kinafanya kupangwa kwenye mchezo, hizo damu change unazosema zenye vipaji lukuki ni kwanini hazichezi?
Ni kwamba hawapendwi na kocha ama ?
Tuache ujuaji muacheni kocha afanye kazi yake kama hao wachezaji hawafai basi hao damu changa waonyeshe viwango waitwe timu ya taifa na sio kuitwa tu bali wakapiganie namba wawaweke benchi hao wazee kama wanaweza.