Ushauri wangu kuhusu wachezaji John Bocco, Shomari Kapombe na Erasto Nyoni

Ushauri wangu kuhusu wachezaji John Bocco, Shomari Kapombe na Erasto Nyoni

Hebu peleka huo Uyanga wako kwenu!
Eti wengine wameenda mbali hata kusema ongeza na Manula, hivi kuna golikipa maikini kama Manula Tanzania hii??? bila Manula ile mechi ya wacongo Dar tulikuwa tumepigwa 7 ! ni vizuri mashabki wa Yabga mkaacha chuki binafsi za kishabki na kushambulia watu binafs badala ya kushauri techinical terms!
Inafahamika muda wanaokaa kambin wachezaji wetu kiufupi hautoshi kujenga muunganiko mzuri hivyo sio jamba la kushangaza kama mchezaji atabakia akirukruka uwanjani ! Kitu kikubwa tunachokitegemea siku zote ni uwezo binafs wa wachezaji ambao kama akikutana na mazingira ya kukamiwa au kubanwa , ndo hali inakuwa hivi kama iliyomkuta staa wetu Samatta!
Hivyo ni vema kufocus mabo mtambuka yaliyotukwamisha badala ya kushambulia wachezaji! Huwezi kumuamulia mtu eti astafu kazi yake wakati hata club yake tu bado inamuhitaji!
Mkuu kama vipi mm.naona hawa waropokaji wakacheze wao na wawe makocha wao maana ujuaji mwingi ndani ya uwanja tukiwapeleka ni 🚮🚮
 
Mimi nakubaliana na wewe kuwa na centre back wenye miili mikubwa inasaidia au ku mix vimo inakuwa ngumu kuwa beki zote wafupi mtapata tabu mipira mirefu, sasa hapo ndio kocha anatakiwa kuonesha utalaamu wake kwa kujuwa mimi nacheza na watu warefu nitumie wachezaji gani waweze kukabiliana na hatari au sina chaguo ni hawa tu nifanye mbinu gani kupunguza makali ya vimo vyao, Kitu kimoja najuwa kuwa beki wa kati kuwa na kimo ni advantage kubwa na duniani kote mabeki wa kati warefu na ukiona beko mfupi basi juwa huyo ni special talent ila beki za pembeni ufupi sio shida sana. Sasa hapa inakuja suala la kuwakuza vijana physical kwa mazoezi na vyakula. Toka wakiwa wadogo unamwambia kabisa wewe beki na mwili wako huu hutafika mbali hamia kiungo au wewe mrefu rudi nyuma. VVD alikuwa forward akaambiwa nyuma kuna kufaa, Paul scholes alikuwa striker akaambiwa wewe mzuri lakini mbele sio sehemu yako rudi kati akaja kuwa bonge la kiungo. Huyu mtoto wa Liver Jones alikuwa winger kabadilishwa kiungo yuko juu. ni kuwa na makocha wazuri wa academy kuweka mambo sawa kabla too late.
Unamkumbuka Mark Fish? Beki mfupi ama hapa maskani George Magele Masatu

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ushauri Wangu Kuhusu Wachezaji John Bocco, Shomari Kapombe Na Erasto Nyoni

Wadau wa JF

Huu ndiyo ukweli hata kama unaumiza

Huu ndiyo ukweli wenye maslahi mapana kwa nchi yetu

Wachezaji John Bocco na Shomari Kapombe na Erasto Nyoni uwezo wao uwanjani umepungua pakubwa sana kutokana na umri na sababu nyinginezo

Ni busara wachezaji hawa wakapumzishwa rasmi kuichezea Timu yetu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars)

Ni wakati muafaka wa kuanza kutumia damu changa zilizojaa vipaji lukuki

KaziIendelee
i second you
 
Hili ndio tatizo linaloangamiza soka letu kujuana ni kwingi kuliko hata kwenye mambo ya msingi.......
Kitu kingine Bado soka letu tunategemea miujiza zaidi kushinda wakati wenzetu wamekuwa kila mwaka wanaanda timu ya taifa
 
Kwani hawa wachezaji hua wanatoa rushwa kwa kocha ili awapange kikosi cha Kwanza?

Wanachoonyesha kwenye uwanja wa mazoezi ndicho hicho kinafanya kupangwa kwenye mchezo, hizo damu change unazosema zenye vipaji lukuki ni kwanini hazichezi?

Ni kwamba hawapendwi na kocha ama?

Tuache ujuaji muacheni kocha afanye kazi yake kama hao wachezaji hawafai basi hao damu changa waonyeshe viwango waitwe timu ya taifa na sio kuitwa tu bali wakapiganie namba wawaweke benchi hao wazee kama wanaweza.
Umeongea ukweli mtupu watu wanalia damu changa ukiwauliza ziko wapi wanakutajia watu kama kibwana yan aibu tupu.
 
Yote haya yanakuja baada ya kutolewa ndio maana Mungu hamsikii mnafiki.
 
Back
Top Bottom