Ushauri wangu kuhusu wachezaji John Bocco, Shomari Kapombe na Erasto Nyoni

Ushauri wangu kuhusu wachezaji John Bocco, Shomari Kapombe na Erasto Nyoni

n
Ushauri Wangu Kuhusu Wachezaji John Bocco, Shomari Kapombe Na Erasto Nyoni

Wadau wa JF

Huu ndiyo ukweli hata kama unaumiza

Huu ndiyo ukweli wenye maslahi mapana kwa nchi yetu

Wachezaji John Bocco na Shomari Kapombe na Erasto Nyoni uwezo wao uwanjani umepungua pakubwa sana kutokana na umri na sababu nyinginezo

Ni busara wachezaji hawa wakapumzishwa rasmi kuichezea Timu yetu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars)

Ni wakati muafaka wa kuanza kutumia damu changa zilizojaa vipaji lukuki

KaziIendelee
nyoni bado yupo vizuri sana. ila kuna viumbe fulani hivi vinaitwa Boko na Shomari, hawa hawatakiwi kurudi tena kwenye timu ya taifa. nilishangaa jana kwanini Bocco hatolewi wanamtoa faizo, boko anatakiwa acheze ligi za ndani ila sio kwenye timu ya taifa. kwanza tangu atiwe kidole na Nyoso akabaki kimya bila hata kurusha ngumi ndo nilimdharau hadi leo huwa naona boya kweli.
 
Ushauri Wangu Kuhusu Wachezaji John Bocco, Shomari Kapombe Na Erasto Nyoni

Wadau wa JF

Huu ndiyo ukweli hata kama unaumiza

Huu ndiyo ukweli wenye maslahi mapana kwa nchi yetu

Wachezaji John Bocco na Shomari Kapombe na Erasto Nyoni uwezo wao uwanjani umepungua pakubwa sana kutokana na umri na sababu nyinginezo

Ni busara wachezaji hawa wakapumzishwa rasmi kuichezea Timu yetu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars)

Ni wakati muafaka wa kuanza kutumia damu changa zilizojaa vipaji lukuki

KaziIendelee
Kwani unasahau kuwa nyoni alustaafu kuchezea taifa pamoja na yondani,makonda ndiye aliyemrudisha
 
Mpira ni mipango wenzetu wamefanikiwa kuwekeza vijana wao Ulaya,Tanzania tuna wachezaji wengi wa KUUNGAUNGA na Professionals wa KUBAHATISHA.

Huwezi kuteegemea wachezaji wanaocheza Simba ,Azam ,Yanga,Dodoma jiji,Namungo ku Qualify World cup.Sijawahi kuona nchi inashiriki World cup kwa wachezaji wa KADANSEE kama wetu .

Hao wachezaji sijui Boko ,Manula,Nyoni ,Samatta,Kapombe,Husseni,etc wameshafundishwa na makocha zaidi hata ya 40 lakini viwango vyao na performance yao ni ile ile havipandi havishuki Makocha wapya wanakuja wanafukuzwa wanakuja wengine tena wao wapo tu ni muda wa kutafuta cream mpya ya National team.
 
Kama huyo ERASTO NYONI amecheza mpira since enzi Askari wa Tanzania wanavaa vipensi mpaka Leo na National team anaitwa.
 
Kama huyo ERASTO NYONI amecheza mpira since enzi Askari wa Tanzania wanavaa vipensi mpaka Leo na National team anaitwa.
Huyu kaanza kucheza National team 2006 huko. Vijana waliozaliwa huo mwaka wako form 2 sasa hivi. Yaani unaweza kusema bado miaka kama mitatu hivi acheze na wanawe. Halafu cha kushangaza hakuna mafanikio ya timu ya Taifa kwa miaka yote hiyo hata punje tu. Lakini bado yupo na haijulikani anastaafu lini
 
Tunashindwa kuandaa timu mapema halafu tunakomaa na hamasa, hamasa akati uwezo sifuri!
 
Naomba ni kujibu kiufundi
Kapombe namba yake bado hana mshindani na hajaisha Sana ila anahitajika kupumzika kidogo maana miaka hii mitatu katumika Sana
Bocco yeye ndio standing striker pekee nchi hii ila kinachomhukumu saivi ni injary nyingi , Bocco huyu akipumzika akarecovery vizuri atarudi moto Kama msimu uliopita

Erasto mnamlaumu bure timu ya taifa sijaona kosa lake

Sasa kwenye hili jibu lako huo ufundi uko wapi ?
 
Ushauri Wangu Kuhusu Wachezaji John Bocco, Shomari Kapombe Na Erasto Nyoni

Wadau wa JF

Huu ndiyo ukweli hata kama unaumiza

Huu ndiyo ukweli wenye maslahi mapana kwa nchi yetu

Wachezaji John Bocco na Shomari Kapombe na Erasto Nyoni uwezo wao uwanjani umepungua pakubwa sana kutokana na umri na sababu nyinginezo

Ni busara wachezaji hawa wakapumzishwa rasmi kuichezea Timu yetu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars)

Ni wakati muafaka wa kuanza kutumia damu changa zilizojaa vipaji lukuki

KaziIendelee
Muongeze list Samata na Manula
Alijifanya kumsahau labda Ni jamaa yake,
Manula na Samatta Ni jamga la Taifa ndiyo maana timu zinamkopesha kila uchao,subilini dilisha dogo la January atakopeshwa Tena hapo timu anayo chezea Ina point 2 Europe ligue.
 
Alijifanya kumsahau labda Ni jamaa yake,
Manula na Samatta Ni jamga la Taifa ndiyo maana timu zinamkopesha kila uchao,subilini dilisha dogo la January atakopeshwa Tena hapo timu anayo chezea Ina point 2 Europe ligue.

safari hii watamleta KMC....hahaha
 
Huyu kaanza kucheza National team 2006 huko. Vijana waliozaliwa huo mwaka wako form 2 sasa hivi. Yaani unaweza kusema bado miaka kama mitatu hivi acheze na wanawe. Halafu cha kushangaza hakuna mafanikio ya timu ya Taifa kwa miaka yote hiyo hata punje tu. Lakini bado yupo na haijulikani anastaafu lini
Alianzia Serengeti Boys 2004 Erasto Nyoni ni kizazi cha Mobuttu Seseseko Amecheza Azam misimu 7 na hapo alikuwa ametokea Vital'O ya Burundi hatujui alicheza season ngani Erasto Nyoni ni mkubwa ki umri kwa Ramadan Chombo huyu wa Biashara.
 
Muongeze list Samata na Manula
Hapo kwa Samata ukweli lazima usemwe jamaa soka lake ni la kizaamani ameshindwa kuendana na soka la sasa Ball control ni ndogo,Uwezo wake wa kuwatoka mabeki ni mdogo ili afunge,Ata kusaidia wenzie wacheze kwake ni shhida.
 
Shomar kapombe n mdogo lakin Hana jipya tena hawez ongeza chochote ndo mwisho wa uwezo wake sijui Hawa makocha wetu yan n aibu Boko, nyon na mzamiru kuchezea timu ya taifa hasa Boko umri umemuacha Sana
Kuna beki mwenye uwezo zaidi yake kwa position yake? Watz mna visingizio mno awekwe kinda mpigwe mnalalama ohh hana uzoefu , awekwe mzoefu mpigwe ohh kazeeka hakuna jipya.

Mlipaswa mtueleze takwimu zipi mnazizingatia mnaposema hawafai national timu sio ohh mzee mara uwezo umeshuka hata DRC ina wachezaji ambao wameshuka kiwango ila wapo national timu so tuambie huyo unayedhani alipaswa kuwa katika position hiyo ya Kapombe ni nani
 
Kuna beki mwenye uwezo zaidi yake kwa position yake? Watz mna visingizio mno awekwe kinda mpigwe mnalalama ohh hana uzoefu , awekwe mzoefu mpigwe ohh kazeeka hakuna jipya.

Mlipaswa mtueleze takwimu zipi mnazizingatia mnaposema hawafai national timu sio ohh mzee mara uwezo umeshuka hata DRC ina wachezaji ambao wameshuka kiwango ila wapo national timu so tuambie huyo unayedhani alipaswa kuwa katika position hiyo ya Kapombe ni nani
Kwa sasa watanzania tuko kwenye mode ya kutapatapa, tunadhani kila kitu ni tatizo.
 
Wataje hao damu changa wanaozibiwa nafasi na wakongwe
NB: Roger Milla alicheza fainali za kombe la dunia akiwa na umri wa miaka 42
Achana na cases chache za watu kama Roger Albert Milla. Ki kawaida mpira ni mchezo unaotakiwa kuchezwa na vijana wadogo si wazee
 
Back
Top Bottom