Ushauri wangu kwa ACT Wazalendo na Maalim Seif

Ushauri wangu kwa ACT Wazalendo na Maalim Seif

Ndugu Maalim Seif,

Tumekusikia ukikiri kupokea barua toka Serikali ya Zanzibar( Rais wa Zanzibar) juu ya kushiriki kwenu ACT Wazalendo kuundwa kwa serikali ya Umoja wa Kitaifa.

Ushauri wangu kwenu ACT Wazalendo na Maalim Seif

Kamwe msiingie kwenye huu mtego. Kwa sababu kwenye miaka yote ya mapambano ya ukombozi ni mwaka huu ndo tumeona tunaenda kupata suluhisho la uhakika juu ya udhalimu wa CCM na watu wake.

Ni mwaka huu ambapo Jumuiya ya kimataifa imepata ushahidi mzito na mzuri juu ya CCM na ubaya wao hivyo wamedhamiria kweli kuchukua hatua dhidi ya CCM na vibaraka wake.

Maridhiano yoyote watakayofanya ACT na CCM kwenye hatua hii yatawafanya hata Jumuiya ya kimataifa kutuona hatunazo na tunachojali ni matumbo yetu tu.

Imefika muda ni lazima waliofanya ufedhuli wawajibishwe kwa matendo yao na wanaotaka kuwawajibisha hawawezi kupata nguvu ya kuwawajibisha kama na sie tukionesha hatujielewi na tunajali matumbo yetu!!!

Kama ni kukubaliana na CCM sharti kuu ni kuwa wale wote waliohusika na mauaji ya watu pamoja na kuiba Uchaguzi wakashtakiwe tena ICC , sio hapa Tanzania na sharti na pili liwe Uchaguzi urudiwe chini ya Tume mpya ilivyo huru na haki.

Nawaonya ACT, lolote watakalokubaliana na CCM litarudisha mafanikio tuliyoyapata mara milioni moja nyuma na hakuna hapa duniani atakaewaelewa.

Kama wao wanaangalia ruzuku ya kuendesha Chama , hawatakiwi kuhofu kwa sababu hata kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU limejadili Jana juu ya kuvisaidia vyama vinavyotetea demokrasia na haki za binadamu kwa Tanzania. Hivyo kama ni hela watapata zaidi ya hiyo ruzuku.

Tumefika sehemu lazima tuchore mstari kuwa kuna vitendo havitakiwi kufanyika Tanzania na vikifanywa na yeyote lazima awajibishwe iwe ndani au nje ya Tanzania.

Watanzania tumeumia sana kwa yaliyofanywa na CCM kwenye uchaguzi huu, uzuri Mungu ametuona ameleta wakombozi watusaidie kweli. Na kweli wanatusaidia, kamwe tusiwaangushe watanzania na hawa watu waliojitolea kutusaidia.

Cc.@Zitto kabwe , Ado Shaibu,@ Juma Duni Haji,@ Nassoro Mazrui, ismail Jussa
Maalim ana zaidi ya miaka themanini na sidhani kama uchaguzi ujao atagombea naamini lazima wakubali hizo nafasi
 
Makamanda hebu kuweni serious namaisha,mliwasaliti kwenye maandamano kwaiyo nanyie tulieni wafanye maisha yao
 
Sasa hapo unaje?

Umeona hayo makosa aliyokuwa anatuhumiwa nayo?

Linganisha hayo makosa ya Bagbo ambayo nayo yalikosa ushahidi kisha angalia na haya ya hapa kwenu
Yalikosaje ushahidi wakati alifungwa ndo akashinda kwa dhamana???

Nyie hamjaua watu??? Hamjateka watu??? Hamjafungulia watu mashtaka ya uongo ili wasishiriki uchaguzi??? Wale madiwani wa Songwe na wanachadema mliowapa armed robbery kipindi cha kampeni sio watanzania???

Subirini tu, lazima muite Maji mmaaa mwaka huu
 
Ni vyema Maalim akakubali wakaijenga Zanzibar yenye MAENDELEO...fitna za mtoa Mada wala ACT wasizisikilize.
 
Ndugu Maalim Seif,

Tumekusikia ukikiri kupokea barua toka Serikali ya Zanzibar( Rais wa Zanzibar) juu ya kushiriki kwenu ACT Wazalendo kuundwa kwa serikali ya Umoja wa Kitaifa.

Ushauri wangu kwenu ACT Wazalendo na Maalim Seif

Kamwe msiingie kwenye huu mtego. Kwa sababu kwenye miaka yote ya mapambano ya ukombozi ni mwaka huu ndo tumeona tunaenda kupata suluhisho la uhakika juu ya udhalimu wa CCM na watu wake.

Ni mwaka huu ambapo Jumuiya ya kimataifa imepata ushahidi mzito na mzuri juu ya CCM na ubaya wao hivyo wamedhamiria kweli kuchukua hatua dhidi ya CCM na vibaraka wake.

Maridhiano yoyote watakayofanya ACT na CCM kwenye hatua hii yatawafanya hata Jumuiya ya kimataifa kutuona hatunazo na tunachojali ni matumbo yetu tu.

Imefika muda ni lazima waliofanya ufedhuli wawajibishwe kwa matendo yao na wanaotaka kuwawajibisha hawawezi kupata nguvu ya kuwawajibisha kama na sie tukionesha hatujielewi na tunajali matumbo yetu!!!

Kama ni kukubaliana na CCM sharti kuu ni kuwa wale wote waliohusika na mauaji ya watu pamoja na kuiba Uchaguzi wakashtakiwe tena ICC , sio hapa Tanzania na sharti na pili liwe Uchaguzi urudiwe chini ya Tume mpya ilivyo huru na haki.

Nawaonya ACT, lolote watakalokubaliana na CCM litarudisha mafanikio tuliyoyapata mara milioni moja nyuma na hakuna hapa duniani atakaewaelewa.

Kama wao wanaangalia ruzuku ya kuendesha Chama , hawatakiwi kuhofu kwa sababu hata kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU limejadili Jana juu ya kuvisaidia vyama vinavyotetea demokrasia na haki za binadamu kwa Tanzania. Hivyo kama ni hela watapata zaidi ya hiyo ruzuku.

Tumefika sehemu lazima tuchore mstari kuwa kuna vitendo havitakiwi kufanyika Tanzania na vikifanywa na yeyote lazima awajibishwe iwe ndani au nje ya Tanzania.

Watanzania tumeumia sana kwa yaliyofanywa na CCM kwenye uchaguzi huu, uzuri Mungu ametuona ameleta wakombozi watusaidie kweli. Na kweli wanatusaidia, kamwe tusiwaangushe watanzania na hawa watu waliojitolea kutusaidia.

Cc.@Zitto kabwe , Ado Shaibu,@ Juma Duni Haji,@ Nassoro Mazrui, ismail Jussa
Kazi na bata
 
Amesema..."..nitaheshimu maamuzi ya chama"
Ndiyo hayo sasa, hivi kuna vurugu kama zile 2010? Mbona akikubali akawa anapeperusha bendera haaa haaa na umri unamtupa sahizi atafute mridhi
 
...
IMG-20201120-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom