King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Act wazalendo , Maalim Seif usikubali kushiriki serikali ya wamwaga damu , kuhahalisha walichokipanda , usikubali maana utakuwa umehalalisha uchaguzi haramu kuwa halali .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nikuulize wewe una umri gani???Una umri gani?
Unachokijua ni next to nothing!
Post-election violence za 2010 zilichinja watu 3000+ Ivory Coast kisa Gbagbo kung'ang'ania madaraka.
Na kwa taarifa yako mpaka sasa Gbagbo keshafutiwa mashitaka yote toka November 2019 anakula bata akisubiri rufaa yao,sasa sijui Gbagbo yupi kafungwa ICC.
Kama mambo yangekuwa rahisi hivyo basi ICC ingeshajaa wafungwa.
Mnapoteza muda wenu tu.
Wapi hapa makosa ya Gbagbo yalikuwa ni kuua watu 3000???Kwanza kujibizana na Lord dening kuhusu ICC ni kupoteza muda.
Jamaa ni mweupe kabisa kuhusu hiyo mahakama.
Mimi kila siku huwa nampa mfano wa hapo Kenya tu kwamba Kenyata na Odinga walisababisha watu zaidi ya 1500 kupoteza maisha lakini kesi yao kule icc haikumaliza hata mwaka na Kenyaga na Odinga ndio wale pale ikulh wanakula mema ya nchi.
Kweli kabisaMaalimu ukikubali upuuzi huu,damu za wanzanzibar waliouawa wallah zitawalilia sana,acheni Wakae kwenye madaraka walioyatafuta kwa kuuwa watu
Ni Rais wa Zanzibar, wewe umesoma shule gani?
Act wazalendo , Maalim Seif usikubali kushiriki serikali ya wamwaga damu , kuhahalisha walichokipanda , usikubali maana utakuwa umehalalisha uchaguzi haramu kuwa halali .
Ushauri Muflisi!
Mtoa hoja atambue kuwa Zanzibar na Rais Hussein mwinyi hana cha kupoteza iwapo ACT Wazalendo, haitataka kushirikiana na nayo kwenye serikali ya maridhiano ya kitaifa kwa mujibu wa katiba.
Yeye ataendelea kupiga kazi katika kutatua kero za wananchi, wakati wao wakibaki vijiweni kupiga umbea na majungu baina yao na kupeleka umbea kwa mabeberu wao, huku Maalim Seif akiendelea kunufaika na mafao ya pensheni yake, kutokana na wadhifa aliokuwa nao wa kuwa Waziri Kiongozi wa SMZ, na Makamo wa Kwanza wa Rais wa SMZ.
Wasipupmbazwe na hoja za Zitto, ambaye bila ya kutarajia, ndoto zake zimepeperushwa, na sasa anatapatapa! ataendeleaje na msala wa maisha bila ya kuwa na pahala madhubuti pa kujishikia!.
Una matatizo ya akili bila shaka.Labda nikuulize wewe una umri gani???
Wapi hapa Gbagbo alishtakiwa kuua watu 3000???
Kwenye makosa yake hapa kuna kuua watu 3000????
View attachment 1630827
Sasa hapo unaje?Wapi hapa makosa ya Gbagbo yalikuwa ni kuua watu 3000???
View attachment 1630830
Wakamatie hapohapo,mwizi yupo ulimi nje.Mabeberu yamepandisha mzuka.
Hahahaha hongera kiboko ya Zitto, let's have a positive change, sadly he is from CCM.Hivi mshindani aliyemshinda Zitto Kabwe ameshaapishwa bungeni? Anaitwa Nani?
Safari hii sijui kama tuta chomokaWakamatie hapohapo,mwizi yupo ulimi nje.
Hii ngoma nzito,tutarudia uchaguzi,jiwe lazima afe kwa preshaSafari hii sijui kama tuta chomoka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wewe unawaamini hao jamaa kwa lipi?
Mfano uliweka imani yako kwa Lisu mpaka ukafikia hatua ya kusema mbele ya Lisu hata tume huru haina haja kwa lipi?
Seif keshajichokea kiumri hana la kupoteza, atakubali hiyo nafasi ili ajimalizie uzee wake vizuri.
Kajitahidi sana wakati wake, kapigana sana, lakini nyie wafuasi wake mnaishia kumsapoti mitandaoni.
Na Lisu alientegemea kumpa backup ndio huyo kala kona.
Bora ajikalie kimya ale maisha.
Naona Sweden nao wame pandisha mzuka leo 🙆Hii ngoma nzito,tutarudia uchaguzi,jiwe lazima afe kwa presha