Uchaguzi 2020 Ushauri wangu kwa vijana na wazee wetu, tuchagueni upinzani tuone watafanya nini

Huyajui maisha ya wa Zambia yalivyo,naona unaropoka tu ili uchangie.Ongelea Chiluba aliyechukua madaraka moja kwa moja kutoka kwa Kaunda,ndipo utaona madhara ya kujaribu uongozi wa nchi.
 
Nani anawanunua?
Tuliwajaribu kwa madogo wanaishia kununuliwa kama mnavyosema sasa tukiwapa nchi watanunuliwa pia
Kura yangu kwa Mzee Baba hata kwa miaka 20 mbele.
 
Endapo Watanzania kweli tunataka maendeleo naamini upinzani unaweza kuyaleta maendeleo ya watu tofauti na ya vitu.Pia niniamini Watanzania hawatakaa warudie kuichagua CCM tena kwa sababu watanogewa na watenda Haki na Usawa pia na Utu wetu utarejea.
Maendeleo ya nchi ni vitu kisha mwananchi apate maendeleo kupitia vitu huwezi kubeza barabaraba Unataka mwananchi awe tajir kwanza jnamoaje utajir? Ila kupitia barabara ataupata kama ataitumiwa kibiashara
 

Lol! Muwape uongozi wa nchi upinzani upi? chaguo la Act Wazalendo halina tofauti ya kilichokuwa 2015 chaguo la CHADEMA kwani wote watarudi nyumbani, nyumbani kwanoga kama Mhe Eddie! Membe ni kama Yohana Mtatizaji wa kusafisha njia ya Magufuli na Tundu ni kama Yuda Iskariot[emoji38][emoji38] kama ushasoma Biblia na Kuran utanielewa!! Waliovuruga uchaguzi wa 2015 walikiwa ni kina nani na kutoka vyama gani? haikuwa CUF na Act- Wazalendo? NI CCM mpaka kizazi cha wasaliti kitokomee. Period.
 
Pascal Mayalla kuna watu wanadhani urais ni kama karanga za kukaanga.
 
Ushindwe na ulegee! Hatutaki kuharibu mikakati iliyoanzishwa na JPM
 
Huyajui maisha ya wa Zambia yalivyo,naona unaropoka tu ili uchangie.Ongelea Chiluba aliyechukua madaraka moja kwa moja kutoka kwa Kaunda,ndipo utaona madhara ya kujaribu uongozi wa nchi.
Wewe umeongelea chiluba mimi MMD..hapo wewe ndy umelala akili kabsaa unaweza kusema syajui maisha ya zambia...wewe...hakuna sehm sjapita kule.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Harakati za upinzan ni kielelezo cha waliyofanya P
Pazia 3 hongera kwa andiko
 
Anza kumjaribu Kwanza kumjaribu mchepuko wa Mama yako Kama anaweza kuwa baba mzuri...uzi mwingine ni kumaliza bando tu..
 
UONGOZI WA NCHI SIO WAKUFANYIA MAJARIBIO
 
Uchumi unaposhuka kwa mwanainchi mmoja mmoja nani wakulaaumiwa?
 
Mazuri ya msingi hatujayaona, haya yaliyopo siyo msingi wa kuumbwa binadamu.
 
Wasubiri JPM amalize tano nyingine
 
Haya maongezi hayafai hata kufikishwa kwenye kundi la watu. Tunaweza tukafanya majaribio kwenye viatu sio NCHI.




MAGUFULI4LIFE.
 
WE NAWE HUJAMWELEWA.AMESEMA HAIMAANISHI WATABADILISHA KILA KITU MAANA POLISI ITAKUWEPO,JESHI NA MAHAKAMA(HIVI VYOMBO HAVINA MLENGO WA KISIASA) HIVYO KUWAPIGIA KURA WAKAINGIA UONGOZINI WATAENDELEA KUANGALIWA NA HIVI VYOMBO ILI WASIHARIBU 'MASUALA NYETI'
KWENYE HABARI NYINGINE ZA KAWAIDA IKITOKEA WAMEHARIBU SASA SI NDO ITAKUWA NAFASI NZURI YA KUWAADHIBU UCHAGUZI UTAKAOFATIA!
kuna sehemu niliwahi comment juu ya hofu za Watanzania kushindwa kukipitisha chama pinzani(siyo kwamba wanaipenda saana ccm) ila wanazo hofu kadhaa za mabadiliko.Sasa nilifikiri labda ni watu rayman wenye hofu hizo,kumbe sivyo tuu hata wasomi uchwara akina pasikali wanazo hofu uchwara!!
 
Wewe mabaya ya utawala huu huyaoni,unaona mema tu. Hayo mahaba yako usituambie sisi. Kuhusu kujenga miundombinu hajafika hata robo ya Botha atiyekuwa S.A. Na wananchi walimkataa. Hata wewe unaishi kwa hofu, hatumtaki huyu mtia watu hofu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…