As long as unanunua nje kwa legal channels TT itahusika. Vinginevyo ndio hivi ubebe dola umpelekee agent cash hapa TzInawezekana hawanunui kwa dealers. Maana mimi ninachofanya mara nyingi ni kwenda bank, hela ambazo kwenye account yangu, nazi transfer kwenda kwenye account ya ki japan then mchezo kwisha.
Hakuna V8 new model ,wasaacha kutengenezaNataka land cruiser V8 new model ya million 450
Ndivyo inavyokua nimeshangaa namna mleta uzi alivyozunguka na burungutu la hela.Ushawahi kununua au kufanya malipo nje ya nchi? Ni hivi unapata invoice yenye thamani ya unachotaka kununua,unaenda bank ni vizuri iwe bank 'yako' unawaambia nataka kulipia invoice hii kutoka kwenye account yangu ya Tzs haijalishi ni yen,yuan,$£€ wao watuma TT ya hicho kiasi na kukata kwenye akaunto yako kiasi cha shilingi kinacholingqna na hizo currency na fees zao,kazi imeisha. Wala hutabeba mahela sijui ukanunua dola ndio ulete.
SBT wanakubali malipo kwa local banks, kajipa ugumu wa kusaka dollar. Mwaka jana walinipa update hizo kwa WhatsApp na EmailWewe ulipewa invoice ulipie local akaunti ya $, TT unatuma hela nje. Kwa maana hii next time tuma hela Japan kwa kutumia akaunti yako.
Next time agiza mwenyewe haina ugumu mkuu ukikwama nitakupa namba ya sales manager wa kule Japan ninazo namba zao, na namba ya meneja wa branch ya Dar (mtu poa sana) utaenda kuhakiki invoice yako. Ingawa wadada na staff wa pale Samora watakukata sana jicho kwa kuwanyima ridhiki.Nimeagiza kupitia SBT Japan...njia ya kuagiza mwenyewe bado inanipiga chenga mkuu
Ndio, tangu mwaka janaSBT wana option ya kulipa kwa NMB
Poapoa mkuu nashukuru Kwa ushauri wako.... barikiwa sanaNext time agiza mwenyewe haina ugumu mkuu ukikwama nitakupa namba ya sales manager wa kule Japan ninazo namba zao, na namba ya meneja wa branch ya Dar (mtu poa sana) utaenda kuhakiki invoice yako. Ingawa wadada na staff wa pale Samora watakukata sana jicho kwa kuwanyima ridhiki.
Mkuu hii ikichoka nitainunua mimi 😁 ile DUN nimeikosa.Wakuu...
Baada ya kuuza Rumion yangu siku ya jumatano uliyopita nilingia fasta mitandaoni kuagiza gari ninayoikusudia.
Siku ya alhamisi asubuhi nilienda Kwa agent ili nianze process za kulipia gari hakika hapo ndipo nilichoka kabisaa baada kuambiwa kuwa hakuna dollar kwenye bank, kumbuka haya makampuni yote ya wauza magari hawana local account Ambazo tunaweza kuhamisha hizi Tsh kwenda kwenye account zao Hadi uwe na dollar Tu.
Wahudumu wa bank wanakuambia kama unahitaji malipo ya dollar, withdrawal hiyo pesa alafu ufanye exchange Kwa dollar huku ukizunguka na kibunda cha pesa yako ya madafu ukitafuta wapi utapata...baada ya kupambana kwa muda mrefu nilifanikiwa kuhamisha pesa kwenda bank nyingine kwenye account ya mtu mwingine ili aweze kufanya malipo( hii ni mbinu ambayo unasaidiwa wa agent mwenyewe ili ufanikiwe zoezi lako).
Ushauri wangu Kwa wewe ambaye unataka kuagiza gari kipindi hiki unatakiwa ujipange na hili la uhaba wa dola.
Nashukuru kilakitu Kipo kwenye mstari na pesa imeshafika Japan na wameanza Leo kunipa update za gari Kwa njia ya email kama kawaida
Mad Max tukutane barabarani MUNGU akipenda July mwanzoni,
Nitainunua mimi 😁View attachment 2995057
Ndugu yangu isiwe na Shaka tuombe MUNGU tuMkuu hii ikichoka nitainunua mimi 😁 ile DUN nimeikosa.
AminNdugu yangu isiwe na Shaka tuombe MUNGU tu
Ni kweli kabisaa mkuu maana Kwa hii Hali ya uchumi ni Bora utulie Tu gari yako bila kuuzaIkifika tu chuma tunaibless kaka PureView zeiss congratulations sana.
Kusema kweli issue mbili kubwa, dollar na kupanda kwa gharama za shipping, mtu unaweza amua kwanza kukausha na gari lako kwa muda.
👍Ushawahi kununua au kufanya malipo nje ya nchi? Ni hivi unapata invoice yenye thamani ya unachotaka kununua,unaenda bank ni vizuri iwe bank 'yako' unawaambia nataka kulipia invoice hii kutoka kwenye account yangu ya Tzs haijalishi ni yen,yuan,$£€ wao watuma TT ya hicho kiasi na kukata kwenye akaunto yako kiasi cha shilingi kinacholingqna na hizo currency na fees zao,kazi imeisha. Wala hutabeba mahela sijui ukanunua dola ndio ulete.
Ukinunua gari kwa yen utapasuka vibaya sana,,Ndio ungewaambia SBT Japan wakupe account namba ya huko JP unatuma hela kutoka akaunti yako kwenda kwao, hutasikia habari ya uhaba wa $ maanake zitaenda kama Yen.
Kampuni nyingi za nje wataanza kufungua account za TT ila rate ya dollar itakuwa kubwa Sana ili wasipate harasa nahisi dola moja itafika Hadi Tsh 3000 kama unataka kutumia TTUkinunua gari kwa yen utapasuka vibaya sana,,
Ndo mana watu wanapenda kulipa kwa dola, ila siku hizi nimesikia be forward wana option ya kulipa kwa debit card ambayo ina deduct moja kwa moja kutoka kwenye akaunti yako kwa rate ya dola ya bot kwa siku hiyo.
Nilikua nasubiri ufike kwenye maelekezo haya, Naomba kukutaarifu kuwa benki za kibongo zinakataa kufanya hivi. Zinakubali endapo unanunua kitu kwa kutumia currency nyingine na sio US dollar. Juzi nilienda CRDB tena ya Kigamboni tu, jamaa walinifanyia transaction ya GBP easy ila nikawauliza ingekua US dolla ningepata huduma?? walisema kwa US dollar haiwezekani, KUNA UHABA WA USD.Sio rocket science. Siku ingine waambie SBT Japan wakupe invoice halafu nenda nayo kwenye bank yako waambie nataka kuwalipa hawa sbt nanunua gari invoice hii hapa. Bank yako watatuma hizo hela.