Ushauri wangu Kwa wale wanaotaka kuagiza magari kipindi hiki

Ushauri wangu Kwa wale wanaotaka kuagiza magari kipindi hiki

Nilikua nasubiri ufike kwenye maelekezo haya, Naomba kukutaarifu kuwa benki za kibongo zinakataa kufanya hivi. Zinakubali endapo unanunua kitu kwa kutumia currency nyingine na sio US dollar. Juzi nilienda CRDB tena ya Kigamboni tu, jamaa walinifanyia transaction ya GBP easy ila nikawauliza ingekua US dolla ningepata huduma?? walisema kwa US dollar haiwezekani, KUNA UHABA WA USD.

In summary ni rahisi kununua gari UK kwa paundi (na paundi imechangamka sana rate yake 1pound ni sawa na 3700 TZS selling rate kwa board) Ni ngumu kununua gari Japan kwa Us dollars ha wao hawaitaki hela yao YEN, hii syndicate ya madolari itatukaanga sana. Unaweza uza gari yako uliyo nayo halafu ukashindwa kuagiza gari utakayo itaka ukaishia kula hela. Hivyo kama una gari yako na haikusumbui iko vizuri, huu sio muda mzuri wa kuiuza, unaweza usimiliki gari tena.

Addition. Jana Enhance auto wawakilishi wao kwa Tanzania walinipigia sim kuna gari nili INQUIRE kwenye site yao, nikawauliza hili swali naweza lipa hii gari kwa Local tzs kwenye akaunti yenu? wakasema hawapokei local tzs, wanachotaka ni mtu uwe na DOLARI mkononi ukawapatie, au ukadeposit DOLARI, That's it ni ngumu sana.
Sijui nini kinaendelea. Lakini huwa naagiza mzigo Germany. UK,Denmark na huwa napeleka bank invoice tu wanakata kwenye akaunti yangu ya Tz, Hizo hapo ni nchi tatu zenye currency tofauti. Same magari UK huwa naagizia watu procedure ni hio hio. Ukiniambia USD kuna uhaba kila mtu anajua. Anyway mara ya mwisho ni,menunua gari BeFoward nililipia kwa Tzs kulingana na Dollar raye ya wakai huo(kulikuwa hakuna huu uhaba wa dollar).
 
Nilikua nasubiri ufike kwenye maelekezo haya, Naomba kukutaarifu kuwa benki za kibongo zinakataa kufanya hivi. Zinakubali endapo unanunua kitu kwa kutumia currency nyingine na sio US dollar. Juzi nilienda CRDB tena ya Kigamboni tu, jamaa walinifanyia transaction ya GBP easy ila nikawauliza ingekua US dolla ningepata huduma?? walisema kwa US dollar haiwezekani, KUNA UHABA WA USD.

In summary ni rahisi kununua gari UK kwa paundi (na paundi imechangamka sana rate yake 1pound ni sawa na 3700 TZS selling rate kwa board) Ni ngumu kununua gari Japan kwa Us dollars ha wao hawaitaki hela yao YEN, hii syndicate ya madolari itatukaanga sana. Unaweza uza gari yako uliyo nayo halafu ukashindwa kuagiza gari utakayo itaka ukaishia kula hela. Hivyo kama una gari yako na haikusumbui iko vizuri, huu sio muda mzuri wa kuiuza, unaweza usimiliki gari tena.

Addition. Jana Enhance auto wawakilishi wao kwa Tanzania walinipigia sim kuna gari nili INQUIRE kwenye site yao, nikawauliza hili swali naweza lipa hii gari kwa Local tzs kwenye akaunti yenu? wakasema hawapokei local tzs, wanachotaka ni mtu uwe na DOLARI mkononi ukawapatie, au ukadeposit DOLARI, That's it ni ngumu sana.
Btw mdogo wangu kaagiza gari Japan wiki mbili zilizopita nimemuuliza kalipaje,kasema kaenda bank yake katuma direct Jp bila shida,
 
Nilikua nasubiri ufike kwenye maelekezo haya, Naomba kukutaarifu kuwa benki za kibongo zinakataa kufanya hivi. Zinakubali endapo unanunua kitu kwa kutumia currency nyingine na sio US dollar. Juzi nilienda CRDB tena ya Kigamboni tu, jamaa walinifanyia transaction ya GBP easy ila nikawauliza ingekua US dolla ningepata huduma?? walisema kwa US dollar haiwezekani, KUNA UHABA WA USD.

In summary ni rahisi kununua gari UK kwa paundi (na paundi imechangamka sana rate yake 1pound ni sawa na 3700 TZS selling rate kwa board) Ni ngumu kununua gari Japan kwa Us dollars ha wao hawaitaki hela yao YEN, hii syndicate ya madolari itatukaanga sana. Unaweza uza gari yako uliyo nayo halafu ukashindwa kuagiza gari utakayo itaka ukaishia kula hela. Hivyo kama una gari yako na haikusumbui iko vizuri, huu sio muda mzuri wa kuiuza, unaweza usimiliki gari tena.

Addition. Jana Enhance auto wawakilishi wao kwa Tanzania walinipigia sim kuna gari nili INQUIRE kwenye site yao, nikawauliza hili swali naweza lipa hii gari kwa Local tzs kwenye akaunti yenu? wakasema hawapokei local tzs, wanachotaka ni mtu uwe na DOLARI mkononi ukawapatie, au ukadeposit DOLARI, That's it ni ngumu sana.
byakunu umeeleza vizuri Sana kwasababu umekutana na hii changamoto Kwa kifupi ni Hali ngumu Sana kama unataka kuagiza gari.
Kila njia ya malipo hawataki Hadi ulipe Kwa dollar Tu na hii ni Kwa agents wote yaani mpaka ufanye mipango ya kupata dollar vinginevyo hakuna njia nyingine. Sipati picha baada ya mwezi July Hali itakuaje baada ya serikali kutangaza manununuzi Kwa Tsh
 
Sijui nini kinaendelea. Lakini huwa naagiza mzigo Germany. UK,Denmark na huwa napeleka bank invoice tu wanakata kwenye akaunti yangu ya Tz, Hizo hapo ni nchi tatu zenye currency tofauti. Same magari UK huwa naagizia watu procedure ni hio hio. Ukiniambia USD kuna uhaba kila mtu anajua. Anyway mara ya mwisho ni,menunua gari BeFoward nililipia kwa Tzs kulingana na Dollar raye ya wakai huo(kulikuwa hakuna huu uhaba wa dollar).
2020 niliagiza gari bila shida yeyote nilienda bank na invoice ya SBT nikajaza fomu zote na pesa ikafika Japan. Mimi nimefanya malipo tar 16/05 na pesa imefika kwenye account ya SBT Japan tar 25/05 yaani ni usumbufu juu ya usumbufu
 
Wakuu...
Baada ya kuuza Rumion yangu siku ya jumatano uliyopita nilingia fasta mitandaoni kuagiza gari ninayoikusudia.

Siku ya alhamisi asubuhi nilienda Kwa agent ili nianze process za kulipia gari hakika hapo ndipo nilichoka kabisaa baada kuambiwa kuwa hakuna dollar kwenye bank, kumbuka haya makampuni yote ya wauza magari hawana local account Ambazo tunaweza kuhamisha hizi Tsh kwenda kwenye account zao Hadi uwe na dollar Tu.

Wahudumu wa bank wanakuambia kama unahitaji malipo ya dollar, withdrawal hiyo pesa alafu ufanye exchange Kwa dollar huku ukizunguka na kibunda cha pesa yako ya madafu ukitafuta wapi utapata...baada ya kupambana kwa muda mrefu nilifanikiwa kuhamisha pesa kwenda bank nyingine kwenye account ya mtu mwingine ili aweze kufanya malipo( hii ni mbinu ambayo unasaidiwa wa agent mwenyewe ili ufanikiwe zoezi lako).

Ushauri wangu Kwa wewe ambaye unataka kuagiza gari kipindi hiki unatakiwa ujipange na hili la uhaba wa dola.
Nashukuru kilakitu Kipo kwenye mstari na pesa imeshafika Japan na wameanza Leo kunipa update za gari Kwa njia ya email kama kawaida

Mad Max tukutane barabarani MUNGU akipenda July mwanzoni,
View attachment 2995057
Hongera mwamba…..
 
Back
Top Bottom