Ushauri wangu kwa Wanasiasa wa kweli walio ACT Wazalendo na CHADEMA

Zitapita kwenye mfumo huu huu wa kawaida wa kifedha. Kama Ccm ni wababe basi wataifishe izo hela na watapata matokeo sasa!!
 
Kwa nini wewe usianzishe hicbo chama unachodai cha kutetea maslahi ya watanzania unataka wengine ndio waanzishe? Usione mtu analima ukadhani ni kwa sababu udongo ni mlaini ukishika jembe ndio utajua.

Siasa ni watu na ufuasi, siasa ni kutumia kila fursa halali sio kupambana na dola kila wakati.

Hao wabunge wa CDM watapata fursa nzuri ya kupigania maslahi ya watu wao na nchi bungeni kuliko kama wangegoma.

Kupambana kwa kutumia key board kama unavyofanya ni rahisi kuliko kupambana katika real world.

Hizo pesa za EU hazitolewi kama njugu, kwanza kuna masharti na activities zinazoruhusiwa sio kila activity unaweza kutumia hizo pesa. Pili kuna sheria za ndani ya nchi ambazo nazo haziruhusu uingizwaji wa fedha holela toka nje kwa ajili ya kuchochea vurugu hivyo zinaweza zisiruhusiwe kuingizwa.

Katika siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu kama kweli uko interested na siasa utakuwa unalijua hilo.

Fanya kazi ujiletee maendeleo usidanganywe na wanasiasa.
 
Mwanasiasa gani wa kweli na kila mmoja anampinga ccm ili apate yeye nafasi ya kula!
Maccm yana akili za ajabu sana kilichowafanya ccm kuiba kura , kupora ushindi , kufunga , kuteka , kubambika kesi , kupiga , kujeruhi , kuua na kumwaga damu za watu wasio na hatia sio kula we Pimbi ? .
 
Kila mtu ana wajibu wake ndugu. Hata ulaya, China na Marekani kulikuwa na watu kama Mimi. Sio kila mtu alienda mbele kupambana. Wengine waliandika vitabu na articles ambazo ziliwapa morali na maarifa wapiganaji na frontlinies.
 
Mkuu;
Hawa vijana wanaofanya ''schoolboy politics'' hawawezi kukuelewa!

Mtu anayedhani anajua wakati hajui ni vigumu sana kama sio haiwezekani kumuelimisha na kukubali kuelimika!

Yaani anafikiri nchi inaendeshwa tu kinadharia huku yeye akiwa nyuma ya keyboard/keypad!
 
Maccm yana akili za ajabu sana kilichowafanya ccm kuiba kura , kupora ushindi , kufunga , kuteka , kubambika kesi , kupiga , kujeruhi , kuua na kumwaga damu za watu wasio na hatia sio kula we Pimbi ? .
Ccm wana silaha 2 tu. Vyombo vya dola na ulaghai wa pesa na vyeo. Uzuri zinajulikana na wala haziwezi kutupa tabu
 
bali wanasiasa kweli wenye uchungu na nchi yao. Waliopo kwenye siasa kwa dhumuni la kuleta itikadi mbadala inayoenda kuleta mabadiliko ya kweli nchini katika maendeleo ya wananchi
Humkuti wa hivi hata mmoja katika vyama ulivyovitaja
 
Muulize Halima mdee ana haya majibu!
Maccm yana akili za ajabu sana kilichowafanya ccm kuiba kura , kupora ushindi , kufunga , kuteka , kubambika kesi , kupiga , kujeruhi , kuua na kumwaga damu za watu wasio na hatia sio kula we Pimbi ? .
 
Kama tuna siasa ya Kupinga ili tupate nafasi ya kula basi ni bora tusiwe na siasa. Maaana siasa kama siasa ni ushindani wa itikadi katika kufanikisha maendeleo ya wananchi na Taifa
Halima anayo majibu ya maswali yako!
 
Wakiamua kuwafukuza wawe makini Kwakuwa ndugai atakaa nao Bunheni na watatumika kuanzisha CDM B, rejea kufa kwa CUF mpk Maalim Seif kujikuta ACT
 
Wakiamua kuwafukuza wawe makini Kwakuwa ndugai atakaa nao Bunheni na watatumika kuanzisha CDM B, rejea kufa kwa CUF mpk Maalim Seif kujikuta ACT
Vyovyote vile. The two options I have recommended should be considered.
 
Halima anayo majibu ya maswali yako!
Huyo uliyemtaja hana credibility yeyote ya kusema lolote na akaaminika. She has lost everything. Hakuna kitu ata simamia bungeni na kukisema akaaminika tena!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…