Ushauri wangu wa bure kwa Mabinti

Single maza wote wanajuta.
 
Uko sahihi.....akina Uwoya sasa hivi eti wanafungua makanisa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Mabinti wa siku hizi wameuendekeza umalaya

Mwanamke asiye bikira (malaya) mchukulie tu kama bangi inayovutwa masikani na masela

Ni mwendo wa kupokezana kila mmoja apige pafu 2 au 3 mpaka kipisi kiishe

Wakifika 30s ndio huwa wanaelewa
 
Atahama location tuu
 
Umewapa ushauri bora sana dada zetu.

Mwanamke aliekitembeza sana, akifika 40+ kiakili hua kama amechanganyikiwa.

Ngono zembe, ina madhara makubwa sana kwa mwanamke, kuliko faida anayopata.
 
Inanikumbusha wakati flani hivi, kitambo.....mimi na binamu tunaingia club tuna pata sister ake amepkatwa na DJ, aisee tulimngojea nje ya club na kumchapa vilivyo, matusi alio tupiga nayo!!!, Baada ya miezi kadhaa, mimba hio, akakaziwa na mamake ambae ni shangazi yangu asema aliemtia mimba, akasema atamuonyesha......tuka ambatana nae safari mpaka kwa mtuhumiwa, kufika jamaa mrasta......laah sisi twacheka kimoyo na brother wake, tukijua DJ ndie mtia mimba........mrasta akamuuliza, wewe tokea tuwe pamoja ilikua lini? kwa hivyo kwani kuna mimba ya miezi kumi na tano?..........alishindwa kujibu tukarudi nyumbani....analea mtoto akiwa single mama, nashangaa kwanini hakumtaja DJ...!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ