HongeraWamekusikia, kuhusu kukukuelewa ndo inabaki kwao.
Wanakuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HongeraWamekusikia, kuhusu kukukuelewa ndo inabaki kwao.
Wanakuja.
Hapana!Ila mnakumbushia siyo??!!
Imenikuta iyo muhuni nikaweka asali😂😂😂oyaweweeeAu paka asali😁
Enhee ikawaje muraa🤣Imenikuta iyo muhuni nikaweka asali😂😂😂oyaweweee
Hao mabinti ukijaribu kuwashauri wanakuona wewe hamnazo! Akili huwa zinawarudia wanapo fikia " a point of no return"Heshimu sana muda,hili swala watu huwa wanalichukulia poa poa tu
Unalijua lile song ndd nd nd Nikilewa unakua mtamuUmri wa miaka 16/17 hivi kuja mpaka 25+ ama 30.. Zaidi ya hapo, anakuwa inversely proportional na muda.
Wanaume tuna direct proportional na muda haswa ukiwa na mchuzi.. Unakuwa mtamu tu kama mcharo.
Silijui hilo.Unalijua lile song ndd nd nd Nikilewa unakua mtamu
Single maza wote wanajuta.Hakuna faida ya kubadilisha wanaume kama nguo maana kumbuka kadri miaka inavyozidi kwenda thamani yako inapungua huku thamani ya mwanaume ikiongezeka. Ndio maana utaona mzee wa miaka 60 akioa binti wa miaka 25 huku bibi wa miaka 60 akipata ndoa ni muujiza mkubwa.
Unapowadanganya wanaume, usifikirie kuwa hawatagundua wakati fulani. Mwanaume akikushika unacheat, jua tu mahusiano yenu hayatakuwa kama mwanzo maana wanaume hawachukulii cheating kirahisi. Tafuta mwanaume unayempenda na utulie kabla ya kupoteza maisha yako mwanadada. Kubadilisha Wanaume kama nguo hhakuna tuzo ila kuna majuto zaidi kadri muda unavyozidi kwenda😎
Uko sahihi.....akina Uwoya sasa hivi eti wanafungua makanisa😅😅Wawaulize dada zao Wema, Kajala, na Aunty Ezekiel, si mnaona wanavyohaha kujiuza na kutafuta wanaume wa kutulia nao? Wame-expire wamebaki kuchonga miili yao ili waonekane watoto wa miaka 18 wakati wanakimbiza miaka 50 huko. Mtoto wa kike usicheze na maisha, sisi wanaume uwaga ukizengua tu, tunakutumia na kukusaliti hapo hapo mpaka uombe poo kabla hujajiua.
😀😀😀 Sijui wanataka wagundue nnUko sahihi.....akina Uwoya sasa hivi eti wanafungua makanisa😅😅
Mwenyewe niliambiwa condom siyo nzuri tumia mafutaUtasikia tumia mafuta ni kilainishi kizuri😃😃🌞
Ulimbukeni TU huo Huwa unawapumbazaHao mabinti ukijaribu kuwashauri wanakuona wewe hamnazo! Akili huwa zinawarudia wanapo fikia " a point of no ret
Atahama location tuuHakuna faida ya kubadilisha wanaume kama nguo maana kumbuka kadri miaka inavyozidi kwenda thamani yako inapungua huku thamani ya mwanaume ikiongezeka. Ndio maana utaona mzee wa miaka 60 akioa binti wa miaka 25 huku bibi wa miaka 60 akipata ndoa ni muujiza mkubwa.
Unapowadanganya wanaume, usifikirie kuwa hawatagundua wakati fulani. Mwanaume akikushika unacheat, jua tu mahusiano yenu hayatakuwa kama mwanzo maana wanaume hawachukulii cheating kirahisi. Tafuta mwanaume unayempenda na utulie kabla ya kupoteza maisha yako mwanadada. Kubadilisha Wanaume kama nguo hhakuna tuzo ila kuna majuto zaidi kadri muda unavyozidi kwenda😎
Umewapa ushauri bora sana dada zetu.Hakuna faida ya kubadilisha wanaume kama nguo maana kumbuka kadri miaka inavyozidi kwenda thamani yako inapungua huku thamani ya mwanaume ikiongezeka. Ndio maana utaona mzee wa miaka 60 akioa binti wa miaka 25 huku bibi wa miaka 60 akipata ndoa ni muujiza mkubwa.
Unapowadanganya wanaume, usifikirie kuwa hawatagundua wakati fulani. Mwanaume akikushika unacheat, jua tu mahusiano yenu hayatakuwa kama mwanzo maana wanaume hawachukulii cheating kirahisi. Tafuta mwanaume unayempenda na utulie kabla ya kupoteza maisha yako mwanadada. Kubadilisha Wanaume kama nguo hhakuna tuzo ila kuna majuto zaidi kadri muda unavyozidi kwenda