Mimi sio mtaalamu wa biashara na sitaki kujenga, nataka nipate ushauri wa wapi niwekeze kwa sasa ili nizalishe kupata pesa ya kujikimu bila kuharibu mtaji hadi hapo nitakapopata maarifa bora.
Eg. Fixed account;; Je, benki gani ina-rate nzuri zaidi ya 10% kwa mwaka?
Je, ninunue tresury bills na bonds, lakini nazo sizijui vizuri. Nahitaji mtu kunishauri
Je, option ipi watu mnaifahamu.
Asante
Eg. Fixed account;; Je, benki gani ina-rate nzuri zaidi ya 10% kwa mwaka?
Je, ninunue tresury bills na bonds, lakini nazo sizijui vizuri. Nahitaji mtu kunishauri
Je, option ipi watu mnaifahamu.
Asante