Mmhh!!!ajaribu kuongea na watoto wake friendly huyo mama au amtafute mtaalamu aongee nae hao watoto ajue ukweli!Inavyosemekana, kipindi cha nyuma alikuwa akiwachukua na kuwarudisha, sasa hatujui huko walikokuwa kama kulikuwa na usalama
MFUASI WA DAVID CAMEROON NA KIZAZI CHAKE, MUNGU TUKINGE NA HAYAKuna rafiki yangu mmoja amekutana na changamoto za kifamilia. Yeye ni singo maza, ila huwa tunapeana kampani na ushauri mbalimbali pale panapohitajika.
Waliachana na mumewe, miaka saba iliyopita na walifanikiwa kupata watoto wawili wa kiume; ambao kwa sasa mmoja ana miaka 13 na mwingine 9. Sababu kubwa ya kuachana, ilikuwa fumanizi; na mbaya zaidi baada ya kuachana, yule mwanaume alitafuta mwanaume mwenzie na kumfanya mke, wakawa wanaishi pamoja.
Siku za hivi karibuni, huyu mwanamume aliyezaa na huyu singo maza akawa anawataka watoto wake; anataka akaishi nao. Kutokana na tabia ya huyo mwanaume, mama wa watoto hayuko tayari waende kwa baba yao, kwa sababu anahofia anaweza kuwaharibu watoto kutokana na hiyo kashfa aliyokuwa nayo.
Chakusikitisha usiku huu, huyu singo maza amenipigia simu kuniomba ushauri; kuwa watoto joni ya leo wanalia na wanataka waende kuishi na baba yao. Mama kwa uchungu anafikiria, gharama alizotumia kuwalea na leo watoto wanataka waende kwa baba yao asiyekuwa na msimamo au akili za kiume. Hofu kubwa, baba yao anaweza kuwaharibu.
Nilichomshauri, hili swala walimalize kifamilia; wazazi wa pande zote mbili wakae waangalie namna ya kutatua huo mgongano.
Wakuu, leteni ushauri...
Aende mahakamaniKuna rafiki yangu mmoja amekutana na changamoto za kifamilia. Yeye ni singo maza, ila huwa tunapeana kampani na ushauri mbalimbali pale panapohitajika.
Waliachana na mumewe, miaka saba iliyopita na walifanikiwa kupata watoto wawili wa kiume; ambao kwa sasa mmoja ana miaka 13 na mwingine 9. Sababu kubwa ya kuachana, ilikuwa fumanizi; na mbaya zaidi baada ya kuachana, yule mwanaume alitafuta mwanaume mwenzie na kumfanya mke, wakawa wanaishi pamoja.
Siku za hivi karibuni, huyu mwanamume aliyezaa na huyu singo maza akawa anawataka watoto wake; anataka akaishi nao. Kutokana na tabia ya huyo mwanaume, mama wa watoto hayuko tayari waende kwa baba yao, kwa sababu anahofia anaweza kuwaharibu watoto kutokana na hiyo kashfa aliyokuwa nayo.
Chakusikitisha usiku huu, huyu singo maza amenipigia simu kuniomba ushauri; kuwa watoto joni ya leo wanalia na wanataka waende kuishi na baba yao. Mama kwa uchungu anafikiria, gharama alizotumia kuwalea na leo watoto wanataka waende kwa baba yao asiyekuwa na msimamo au akili za kiume. Hofu kubwa, baba yao anaweza kuwaharibu.
Nilichomshauri, hili swala walimalize kifamilia; wazazi wa pande zote mbili wakae waangalie namna ya kutatua huo mgongano.
Wakuu, leteni ushauri...
Kuna wazazi huwa hii ndo justification yao ya jiruhusu upuuzi, hata mtoto akiwa mdogo utaskia " Mpe tu atalia bwana"Kwani hao watoto wakilia wanakufa?
Sijui hata shida Ni Nini?Kuna wazazi huwa hii ndo justification yao ya jiruhusu upuuzi, hata mtoto akiwa mdogo utaskia " Mpe tu atalia bwana"
Ndo suluhisho hilo?Kwa tabia hiyo kama ni kweli ningekuwa mimi Mamndenyi huyo mwanaume nisingeongea naye mpaka kifo.
Hao watoto ningewaambia ukweli kuhusu tabia ya baba yao.
Misikiti Makanisa hadi miti ingejua tabia ya huyo baba labda ahame nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaah wewaende tu huko wakawe mabwabwa ama mapunga aka mchele mchele
Mzazi wa kiume hata awe na tabia hizo, hawezi wafanyia watoto wake bhana.Mmhh!!!ajaribu kuongea na watoto wake friendly huyo mama au amtafute mtaalamu aongee nae hao watoto ajue ukweli!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
MmmmmhKwa kesi nazosikia mara nyingi watu wa hivyo huwaingilia mpaka watoto wao,sasa sijui itakuaje yaani
Ana ushahidi huyo mume anaishi na huyo mwanaume km mke na mume? Hili suala ni pana sana.Kama anao ushahidi wa huyo mwanaume kuishi na mwanaume mwenzake, anaweza kuutumia ustawi jamii kubaki na watoto kisheria.
unitag kabla hamjaanza kugombana 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu nitulie kwanza, afu ntaanza kutoa risala.
Tatizo la wanawake wengi wanaogopa kusimama kwa miguu yaoNdo suluhisho hilo?