Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Huna busaraNchi kuongozwa na mtu mwenye Elimu ya Diploma aliyepata ubunge wa kuiba kura sahau kuhusu Hilo Jambo kutokea.
Tunahitaji KATIBA MPYA!
Busara gani huyo Jamaa Mimi namjua kukuzidi wewe Hana Elimu alikuwa mwalimu shule za msingi baadae secondary baadae chama Cha walimu baadae Mkuu wa wilaya hiyo degree yake ya mchongo Elimu yake ni Diploma tuHuna busara
Mila na desturi za CCM haziruhusu jambo kama hilo kutokea.Miaka miwili tu lakini taifa letu lina hali mbaya baada ya hili genge kukamata usukani.
Maisha ya watanzania yanatia huruma. Uwezo wa kula hata mlo mmoja ni ngumu kwa kila kaya.
Watanzania wanachangishwa tozo, ushuru na kodi za kila namna lakini hawaoni yanayofanyika.
Tril 1.3 za foreign reserve zimejenga madarasa hewa lakini mpaka sasa hatusikii lolote.
2025 chukua fomu na wanaCCM wenzako watakuelewa maana wapo kimya ila wanaumia
Ndo amekuongoza enzi za yule Putin na bado anaendelea kukuongoza huyo huyo.Busara gani huyo Jamaa Mimi namjua kukuzidi wewe Hana Elimu alikuwa mwalimu shule za msingi baadae secondary baadae chama Cha walimu baadae Mkuu wa wilaya hiyo degree yake ya mchongo Elimu yake ni Diploma tu
Mabadiliko yanaweza kutokea any timeMila na desturi za CCM haziruhusu jambo kama hilo kutokea.
a. Mwenyekiti Taifa huwa hashindanishwi na kada mwingine yeyote yule pale anapokuwa katika kipindi chake cha kwanza cha uongozi wake....
Hii sababu ya kutopiga kazi akiwa rais.Busara gani huyo Jamaa Mimi namjua kukuzidi wewe Hana Elimu alikuwa mwalimu shule za msingi baadae secondary baadae chama Cha walimu baadae Mkuu wa wilaya hiyo degree yake ya mchongo Elimu yake ni Diploma tu
Kuongoza unajua Mimi naishi wapi?Ndo amekuongoza enzi za yule Putin na bado anaendelea kukuongoza huyo huyo.
Hana Competence muongo muongo alisema Magufuli he still Alive kumbe amekufa Tena msikitiniHii sababu ya kutopiga kazi akiwa rais.
Hiyo Fomu Anaichukua Akiwa Chama Gani?Miaka miwili tu lakini taifa letu lina hali mbaya baada ya hili genge kukamata usukani.
Maisha ya watanzania yanatia huruma. Uwezo wa kula hata mlo mmoja ni ngumu kwa kila kaya...
Kassim Atafute Kazi Ya Kufanya Suala La Urais AsahauFomu ni moja tuu na ni ya Mama basi wengine wwo wale mafao na walambe asali.
Busara ni hiyo ya kutaka kumpa kick awe rais!! katelephone kuvunja ndoa ya kafulira kwa ufuska!Huna busara
Unajua list ya Mawaziri mizigo ya Nape Nnauye na Kinana?Huna busara
Kwahivyo wewe huishi Tanzania lakini unamjua kinagaubaga siyo..??Kuongoza unajua Mimi naishi wapi?
Hatoshi kuongoza nchi, waziri mkuu aliyekuwa rais ni J K Nyerere tu. Baada hapo ni wale wa hewala tu na ni miongoni mwa walioimba tunaimani na Lowasa wakati wa kura ya maoni ya CCM 2015.Miaka miwili tu lakini taifa letu lina hali mbaya baada ya hili genge kukamata usukani.
Maisha ya watanzania yanatia huruma. Uwezo wa kula hata mlo mmoja ni ngumu kwa kila kaya.
Watanzania wanachangishwa tozo, ushuru na kodi za kila namna lakini hawaoni yanayofanyika.
Tril 1.3 za foreign reserve zimejenga madarasa hewa lakini mpaka sasa hatusikii lolote.
2025 chukua fomu na wanaCCM wenzako watakuelewa maana wapo kimya ila wanaumia