Ushauri: Waziri wa Mambo ya Ndani jiuzulu, DCI aondolewe na Rais aunde tume inayojitegemea ifanye uchunguzi wa kina

Ushauri: Waziri wa Mambo ya Ndani jiuzulu, DCI aondolewe na Rais aunde tume inayojitegemea ifanye uchunguzi wa kina

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
Bila shaka mheshimiwa Masauni waziri wa mambo ya ndani umepata ujumbe kwamba hali ya usalama wa raia si nzuri.

Jukumu la kwanza kabisa la serikali ni kulinda raia wake na mali zao na wizara ya mambo ya ndani ndo yenye jukumu hilo na pia kuhakikisha ulinzi wa raia wake na mstakabali wa uchumi wa nchi upo sawa.

Wizara ya mambo ya ndani kupitia idara yake ya jeshi la polisi lina wajibu wa kuzuia au kuondoa uhalifu na kuwahakikishia raia wake kwamba wapo salama wao pamoja na mali zao.

Waziri ana wajibu wa kuhakikisha polisi watenda majukumu yao kwa ueledi, nidhamu na hawaonei raia bali kupata imani kwa raia hao kwamba jeshi hilo lawajali na pia lipo pamoja nao.

Nchi ikilindimwa na majanga kama haya ya utekaji, utesaji na uuaji wa raia wake pasipo kukamatwa kwa wahusika jambo hilo huzusha tafrani, hofu, mashaka na sintofahamu kubwa. Mwishowe hali ya wanachi kisiasa, kijamii, kisaikolojia na kiuchumi huathirika kwani raia hujawa hofu ya kwenda kwenye shughuli zao za kila siku kwa kuhofia kutekwa na kuishia kuuawa.

Kwa matukio haya ya utekaji, utesaji na mauaji ya watanzania wenzako wapaswa kujitafakari sana hali ni mbaya.

Hata kama watekaji, watesaji na wauaji ni majambazi na wahuni wengine, bado jeshi la polisi lisingechukua muda ulopita kabla haijawakamata wahusika na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.

Hadi sasa waziri Masauni umeshindwa kulisimamia kiuweledi jeshi la polisi lifanye kazi yake ipasavyo ya kuwatambua, kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wahusika wote wanoleta madhila haya kwa wananchi wenzao.

Kama kipindi cha huko nyuma jeshi la polisi liliomba msaada wa JWTZ kushughulikia tatizo la Kibiti, basi huu ni wakati mwingine tena wa kufanya hivyo.

Wananchi wameingiwa sana na hofu kwamba mtu aweza fuatiliwa akikata tiketi, akipanda basi kwenda safari na kuishia kuteremshwa mahala kisha kupotezwa na baadae mwili wake kukutwa umetupwa kama mzoga.

Mheshimiwa waziri wapaswa kujiuliza kwanini sasa hivi ndo matukio haya yameshika tama? Je, tatizo ni nini na kwanini wanachama wa Chadema pekee ndo wahanga?

Pia Je, ni jambo lipo watu hawa wanotekwa la kuhatarisha usalama wa taifa wamelitenda?

Kwa mtazamo wangu, nimebaini kuwa ni ważi kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya doła kuna kitu imegundua au kuna mambo ya hatari ambayo watekwaji hawa wameyafanya.

Ukiachila mbali suala la Sativa ambae lengo la watekaji wake lilikuwa ni aliwe na mafisi huko pori la Katavi, lakini hawa akina Soka na wenzie wawili, ni mambo yepi wamerekodiwa wakiyazungumza ambayo yahatarisha usalama wa CCM na serikali yake?

Mapendekezo.
1. Waziri Masauni ajiuzulu na ateuliwe waziri mwingine.

2. Waziri mpya wa mambo ya ndani aunde tume ya uchunguzi na aipe siku 14 kubaini wahusika wa matukio yote likiwemo tukio la Mbeya la wanachama wa Chadema kutekwa na kupigwa vibaya na polisi.

Tume hii pia iwahusishe wawakilishi wa Chadema au mwanasheria wake na pia iwe na mwakilishi wa familia za wahanga wa matukio yanotokea.

3. Kwa kuwa serikali kupitia raisi mwenyewe Samia Hassan imekiri kuwa kuna tatizo mahala, litakuwa jambo la busara kumuondoa mkurugenzi wa makosa ya jinai DCI ili kupisha uchunguzi wa tume.

Ningesema IGP nae aondoke lakini yaonekana tatizo lipo kwenye operesheni ambapo pia yumo mkuu wa operesheni na mafunzo na DCI hivyo ni bora watafutwe watu wengine wanofaa.

4. Kwa kuwa CCM kupitia katibu wake wa Itikadi na uenezi imekiri kuwepo tatizo, litakuwa ni jambo la dharura na uharaka kubaini watu waliomo ndani ya chama ambao kwa namna moja au ingine wahusika na matukio haya ambayo yataiweka Tanzania kundi moja na nchi za Chile au Vietnam na bila kusahau wakati wa utawala wa Adolf Hitler ambapo vikosi mbalimbali vilokuwa vikihusiana na serikali vilikuwa vikiteka watu na watu hao wasipatikane tena.

Watu hawa wakibainika ni lazima wafutwe uanachama na kisha kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

5. Baada ya tume kumaliza uchunguzi wake na ikibainika kuwa vikosi vya serikali vyahusika na matukio haya, serikali iwalipe fidia wale wote ambao wameshurika na matukio haya.

Ni lazima watekaji hawa au watu wasojulikana watambuliwe ili kufahamu ni akina nani na si wahamiaji haramu wanotumiwa kwa kazi chafu au raia wa nchi zingine ambao hadi sasa wameonyesha kiwango cha juu cha ukatili dhidi ya watanzania. Hiyo ni kwasababu imeelezwa kuwa watu hawa huficha sura zao zisitambulike kirahisi na pia huvaa kiraia.

Ni vigumu kuamini kwamba nchi yetu kwa sasa imezalisha watu wasojulikana wenye ukatili wa kutisha.

Isitoshe, haikulikani idadi iso rasmi ya raia wengine wanotekwa na kupotezwa jambo ambalo ni la hatari sana.

Au sasa hivi nchi imegeuka na kuwa Ukraine ambako watu wasombwa tu mitaani na kwenda kupotea kwenye vita na Russia?
 
Yaani teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua, teua tengua Hadi June 2025.

BUSARA ni KUTOGOMBEA.
 
Bila shaka mheshimiwa Masauni waziri wa mambo ya ndani umepata ujumbe kwamba hali ya usalama wa raia si nzuri.

Matukio ya utekaji, utesaji na mauaji ya watanzania wenzako unapaswa kujitafakari sana hali ni mbaya.

Hata kama watekaji, watesaji na wauaji ni majambazi na wahuni wengine, bado jeshi la polisi lisingechukua muda ulopita kabla haijawakamata wahusika na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.

Hadi sasa waziri Masauni umeshindwa kulisimamia kiuweledi jeshi la polisi lifanye kazi yake ipasavyo ya kuwatambua, kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wahusika wote wanoleta madhila haya kwa wananchi wenzao.

Kama kipindi cha huko nyuma jeshi la polisi liliomba msaada wa JWTZ kushughulikia tatizo la Kibiti, basi huu ni wakati mwingine tena wa kufanya hivyo.

Wananchi wameingiwa sana ma hofu kwamba mtu aweza kufuatiliwa akikata tiketi, akipanda basi kwenda safari na kuishia kuteremshwa mahala kisha kupotezwa na baadae mwili wake kukutwa umetupwa kama mzoga.

Mheshimiwa waziri wapaswa kujiuliza kwanini sasa hivi ndo matukio haya yameshika tama? Je, tatizo ni nini na kwanini wanachama wa Chadema pekee ndo wahanga?

Pia Je ni jambo lipo watu hawa wanotekwa la kuhatarisha usalama wa taifa wamelitenda?

Kwa mtazamo wangu, nimebaini kuwa ni ważi kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya doła kuna kitu imegundua au kuna
mambo ya hatari ambayo watekwaji hawa wameyafanya.

Ukiachila mbali suala la Sativa ambae lengo la watekaji wake lilikuwa ni aliwe na mafisi huko pori la Katavi, lakini hawa akina Soka na wenzie wawili, ni mambo yepi wamerekodiwa wakiyazungumza ambayo yanahatarisha usalama wa CCM na serikali yake?

Mapendekezo.
1. Waziri Masauni ajiuzulu na ateuliwe waziri mwingine.

2. Waziri mpya wa mambo ya ndani aunde tume ya uchunguzi na aipe siku 14 kubaini wahusika wa matukio yote likiwemo tukio la Mbeya la wanachama wa Chadema kutekwa na kupigwa vibaya na polisi.

Tume hii pia iwahusishe wawakilishi wa Chadema au mwanasheria wake na pia iwe na mwakilishi wa familia za wahanga wa matukio yanotokea.

3. Kwa kuwa serikali kupitia raisi mwenyewe Samia Hassan imekiri kuwa kuna tatizo mahala, litakuwa jambo la busara kumuondoa mkurugenzi wa makosa ya jinai DCI ili kupisha uchunguzi wa tume.

Ningesema IGP nae aondoke lakini yaonekana tatizo lipo kwenye operesheni ambapo pia yumo mkuu wa operesheni na mafunzo na DCI hivyo ni bora watafutwe watu wengine wanofaa.

4. Kwa kuwa CCM kupitia katibu wake wa Itikadi na uenezi imekiri kuwepo tatizo, litakuwa ni jambo la dharura na uharaka kubaini watu waliomo ndani ya chama ambao kwa namna moja au ingine wahusika na matukio haya ambayo yataiweka Tanzania kundi moja na nchi za Chile au Vietnam na bila kusahau wakati wa utawala wa Adolf Hitler ambapo vikosi mbalimbali vilokuwa vikohusiana na serikali vilikuwa vikiteka watu na watu hao wasipatikane tena.

Watu hawa wakibainika ni lazima wafutwe uanachama na kisha kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

5. Baada ya tume kumaliza uchunguzi wake na ikibainika kuwa vikosi vya serikali vyahusika na matukio haya, serikali iwalipe fidia wale wote ambao wameshurika na matukio haya.

Ni lazima watekaji hawa au watu wasojulikana watambuliwe ili kufahamu ni akina nani na si wahamiaji haramu wanotumiwa kwa kazi chafu au raia wa nchi zingine ambao hadi sasa wameonyesha kiwango cha juu cha ukatili dhidi ya watanzania. Hiyo ni kwasababu imeelezwa kuwa watu hawa huficha sura zao zisitambulike kirahisi na pia huvaa kiraia.

Ni vigumi kuamini kwamba nchi yetu kwa sasa imezalisha watu wasojulikana wenye ukatili wa kutisha.

Isitoshe haikulikani idadi iso rasmi ya raia wengine wanotekwa na kupitezwa jambo ambalo ni la hatari sana.

Au sasa hivi nchi imegeuka na kuwa Ukraine ambako watu wasombwa tu mitaani na kwenda kupotea kwenye vita na Russia?
Naunga mkono hoja hii
 
Bila shaka mheshimiwa Masauni waziri wa mambo ya ndani umepata ujumbe kwamba hali ya usalama wa raia si nzuri.

Jukumu la kwanza kabisa la serikali ni kulinda raia wake na mali zao na wizara ya mambo ya ndani ndo yenye jukumu hilo na pia kuhakikisha ulinzi wa raia wake na mstakabali wa uchumi wa nchi upo sawa.

Wizara ya mambop ya ndani kupitia idara yake ya jeshi la polisi lina wajibu wa kuzuia au kuondoa uhalifu na kuwahakikishia raia wake kwamba wapo salama wao pamoja na mali zao.

Waziri ana wajibu wa kuhakikisha polisi watenda majukumu yao kwa ueledi, nidhamu na hawaonei raia bali kupata imani kwa raia hao kwamba jeshi hilo lawajali na pia lipo pamoja nao.

Nchi ikilindimwa na majanga kama haya ya utekaji, utesaji na uuaji wa raia wake pasipo kukamatwa kwa wahusika jambo hilo huzusha tafrani, hofu, mashaka na sintofahamu kubwa. Mwishowe hali ya wanachi kisiasa, kijamii, kisaikolojia na kiuchumi huathirika kwani raia hujawa hofu ya kwenda kwenye shughuli zao za kila siku kwa kuhofia kutekwa na kuishia kuuawa.

Kwa matukio haya ya utekaji, utesaji na mauaji ya watanzania wenzako wapaswa kujitafakari sana hali ni mbaya.

Hata kama watekaji, watesaji na wauaji ni majambazi na wahuni wengine, bado jeshi la polisi lisingechukua muda ulopita kabla haijawakamata wahusika na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.

Hadi sasa waziri Masauni umeshindwa kulisimamia kiuweledi jeshi la polisi lifanye kazi yake ipasavyo ya kuwatambua, kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wahusika wote wanoleta madhila haya kwa wananchi wenzao.

Kama kipindi cha huko nyuma jeshi la polisi liliomba msaada wa JWTZ kushughulikia tatizo la Kibiti, basi huu ni wakati mwingine tena wa kufanya hivyo.

Wananchi wameingiwa sana na hofu kwamba mtu aweza fuatiliwa akikata tiketi, akipanda basi kwenda safari na kuishia kuteremshwa mahala kisha kupotezwa na baadae mwili wake kukutwa umetupwa kama mzoga.

Mheshimiwa waziri wapaswa kujiuliza kwanini sasa hivi ndo matukio haya yameshika tama? Je, tatizo ni nini na kwanini wanachama wa Chadema pekee ndo wahanga?

Pia Je, ni jambo lipo watu hawa wanotekwa la kuhatarisha usalama wa taifa wamelitenda?

Kwa mtazamo wangu, nimebaini kuwa ni ważi kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya doła kuna kitu imegundua au kuna mambo ya hatari ambayo watekwaji hawa wameyafanya.

Ukiachila mbali suala la Sativa ambae lengo la watekaji wake lilikuwa ni aliwe na mafisi huko pori la Katavi, lakini hawa akina Soka na wenzie wawili, ni mambo yepi wamerekodiwa wakiyazungumza ambayo yahatarisha usalama wa CCM na serikali yake?

Mapendekezo.
1. Waziri Masauni ajiuzulu na ateuliwe waziri mwingine.

2. Waziri mpya wa mambo ya ndani aunde tume ya uchunguzi na aipe siku 14 kubaini wahusika wa matukio yote likiwemo tukio la Mbeya la wanachama wa Chadema kutekwa na kupigwa vibaya na polisi.

Tume hii pia iwahusishe wawakilishi wa Chadema au mwanasheria wake na pia iwe na mwakilishi wa familia za wahanga wa matukio yanotokea.

3. Kwa kuwa serikali kupitia raisi mwenyewe Samia Hassan imekiri kuwa kuna tatizo mahala, litakuwa jambo la busara kumuondoa mkurugenzi wa makosa ya jinai DCI ili kupisha uchunguzi wa tume.

Ningesema IGP nae aondoke lakini yaonekana tatizo lipo kwenye operesheni ambapo pia yumo mkuu wa operesheni na mafunzo na DCI hivyo ni bora watafutwe watu wengine wanofaa.

4. Kwa kuwa CCM kupitia katibu wake wa Itikadi na uenezi imekiri kuwepo tatizo, litakuwa ni jambo la dharura na uharaka kubaini watu waliomo ndani ya chama ambao kwa namna moja au ingine wahusika na matukio haya ambayo yataiweka Tanzania kundi moja na nchi za Chile au Vietnam na bila kusahau wakati wa utawala wa Adolf Hitler ambapo vikosi mbalimbali vilokuwa vikohusiana na serikali vilikuwa vikiteka watu na watu hao wasipatikane tena.

Watu hawa wakibainika ni lazima wafutwe uanachama na kisha kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

5. Baada ya tume kumaliza uchunguzi wake na ikibainika kuwa vikosi vya serikali vyahusika na matukio haya, serikali iwalipe fidia wale wote ambao wameshurika na matukio haya.

Ni lazima watekaji hawa au watu wasojulikana watambuliwe ili kufahamu ni akina nani na si wahamiaji haramu wanotumiwa kwa kazi chafu au raia wa nchi zingine ambao hadi sasa wameonyesha kiwango cha juu cha ukatili dhidi ya watanzania. Hiyo ni kwasababu imeelezwa kuwa watu hawa huficha sura zao zisitambulike kirahisi na pia huvaa kiraia.

Ni vigumu kuamini kwamba nchi yetu kwa sasa imezalisha watu wasojulikana wenye ukatili wa kutisha.

Isitoshe haikulikani idadi iso rasmi ya raia wengine wanotekwa na kupitezwa jambo ambalo ni la hatari sana.

Au sasa hivi nchi imegeuka na kuwa Ukraine ambako watu wasombwa tu mitaani na kwenda kupotea kwenye vita na Russia?
Waziri anakosa gani ? Kiongozi mkuu ni Samia ndio anawatuma just as ngosha did, yeye Samia ndio awe responsible hawezi kazi. Yeye kazi yake ni kupaa pipa na kutoa mikeka, hiyo kazi hata lay person can do !

Je ni upi uwajibikaji wa Rais kwenye matukio kama haya ? Au kazi yake ni kusema nimeamrisha kupata taarifa ya kina ….

And this tooo shall pass kama lilivopita la Ben saa nane

Acheni kumuandama waziri ,
Hata polisi hawana makosa, msala wote unapewa polisi, lakini matukio yanafanywa na watu chini ya kitengo cha Rais , how come mnalaumu polisi au waziri

Why hamtaki kusema most of the TISS who never gone to school ndio wanatumwa kufanya huu ujinga na unyama as if walizaliwa kama animals
They are nasty and not appreciated, they are animals and evil souls…..,

One thing I know for sure , karma is bitch na ni suala la muda tu

They have kids and families hao pia watatumika kulipa dhambi zao before the dawn

Ngosha also paid , ni suala la muda

Sheria ya Usalama wamepewa enforcement na kukamata watu , hoja ya msingi, ikiwa wewe ni TISS , unanikamata, je unanipeleka wapi ? Kama ni polisi utanipeleka kituoni kisha kusubiri hukumu.

Raia wanaokamatwa na TISS , wanaenda wapi? Why Samia alibadili sheria na kutoa mamlaka hayo !

Ni kitengo kinachotumika kufanya unyama badala strategies za kustabilize uchumi

huku mnasingizia polisi na waziri,

Polisi anakosa gani ? Waziri anakosa gani?
Acheni kusumbua watu , you guys know nani wa kuwajibika

. Kwann hamumtaji Samia nae awajibike ? Kama unataka waziri awajibike, Samia should start , or else achana na huu upupu.

One thing I know for sure , mbwa ukimnenepesha , some days atakutafuna
 
Leo atakakolalia na kuamkia 😳😳😳 duu sijui first lady wake atamsimulia nini
 
Bila shaka mheshimiwa Masauni waziri wa mambo ya ndani umepata ujumbe kwamba hali ya usalama wa raia si nzuri.

Jukumu la kwanza kabisa la serikali ni kulinda raia wake na mali zao na wizara ya mambo ya ndani ndo yenye jukumu hilo na pia kuhakikisha ulinzi wa raia wake na mstakabali wa uchumi wa nchi upo sawa.

Wizara ya mambop ya ndani kupitia idara yake ya jeshi la polisi lina wajibu wa kuzuia au kuondoa uhalifu na kuwahakikishia raia wake kwamba wapo salama wao pamoja na mali zao.

Waziri ana wajibu wa kuhakikisha polisi watenda majukumu yao kwa ueledi, nidhamu na hawaonei raia bali kupata imani kwa raia hao kwamba jeshi hilo lawajali na pia lipo pamoja nao.

Nchi ikilindimwa na majanga kama haya ya utekaji, utesaji na uuaji wa raia wake pasipo kukamatwa kwa wahusika jambo hilo huzusha tafrani, hofu, mashaka na sintofahamu kubwa. Mwishowe hali ya wanachi kisiasa, kijamii, kisaikolojia na kiuchumi huathirika kwani raia hujawa hofu ya kwenda kwenye shughuli zao za kila siku kwa kuhofia kutekwa na kuishia kuuawa.

Kwa matukio haya ya utekaji, utesaji na mauaji ya watanzania wenzako wapaswa kujitafakari sana hali ni mbaya.

Hata kama watekaji, watesaji na wauaji ni majambazi na wahuni wengine, bado jeshi la polisi lisingechukua muda ulopita kabla haijawakamata wahusika na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.

Hadi sasa waziri Masauni umeshindwa kulisimamia kiuweledi jeshi la polisi lifanye kazi yake ipasavyo ya kuwatambua, kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wahusika wote wanoleta madhila haya kwa wananchi wenzao.

Kama kipindi cha huko nyuma jeshi la polisi liliomba msaada wa JWTZ kushughulikia tatizo la Kibiti, basi huu ni wakati mwingine tena wa kufanya hivyo.

Wananchi wameingiwa sana na hofu kwamba mtu aweza fuatiliwa akikata tiketi, akipanda basi kwenda safari na kuishia kuteremshwa mahala kisha kupotezwa na baadae mwili wake kukutwa umetupwa kama mzoga.

Mheshimiwa waziri wapaswa kujiuliza kwanini sasa hivi ndo matukio haya yameshika tama? Je, tatizo ni nini na kwanini wanachama wa Chadema pekee ndo wahanga?

Pia Je, ni jambo lipo watu hawa wanotekwa la kuhatarisha usalama wa taifa wamelitenda?

Kwa mtazamo wangu, nimebaini kuwa ni ważi kwamba serikali kupitia vyombo vyake vya doła kuna kitu imegundua au kuna mambo ya hatari ambayo watekwaji hawa wameyafanya.

Ukiachila mbali suala la Sativa ambae lengo la watekaji wake lilikuwa ni aliwe na mafisi huko pori la Katavi, lakini hawa akina Soka na wenzie wawili, ni mambo yepi wamerekodiwa wakiyazungumza ambayo yahatarisha usalama wa CCM na serikali yake?

Mapendekezo.
1. Waziri Masauni ajiuzulu na ateuliwe waziri mwingine.

2. Waziri mpya wa mambo ya ndani aunde tume ya uchunguzi na aipe siku 14 kubaini wahusika wa matukio yote likiwemo tukio la Mbeya la wanachama wa Chadema kutekwa na kupigwa vibaya na polisi.

Tume hii pia iwahusishe wawakilishi wa Chadema au mwanasheria wake na pia iwe na mwakilishi wa familia za wahanga wa matukio yanotokea.

3. Kwa kuwa serikali kupitia raisi mwenyewe Samia Hassan imekiri kuwa kuna tatizo mahala, litakuwa jambo la busara kumuondoa mkurugenzi wa makosa ya jinai DCI ili kupisha uchunguzi wa tume.

Ningesema IGP nae aondoke lakini yaonekana tatizo lipo kwenye operesheni ambapo pia yumo mkuu wa operesheni na mafunzo na DCI hivyo ni bora watafutwe watu wengine wanofaa.

4. Kwa kuwa CCM kupitia katibu wake wa Itikadi na uenezi imekiri kuwepo tatizo, litakuwa ni jambo la dharura na uharaka kubaini watu waliomo ndani ya chama ambao kwa namna moja au ingine wahusika na matukio haya ambayo yataiweka Tanzania kundi moja na nchi za Chile au Vietnam na bila kusahau wakati wa utawala wa Adolf Hitler ambapo vikosi mbalimbali vilokuwa vikohusiana na serikali vilikuwa vikiteka watu na watu hao wasipatikane tena.

Watu hawa wakibainika ni lazima wafutwe uanachama na kisha kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

5. Baada ya tume kumaliza uchunguzi wake na ikibainika kuwa vikosi vya serikali vyahusika na matukio haya, serikali iwalipe fidia wale wote ambao wameshurika na matukio haya.

Ni lazima watekaji hawa au watu wasojulikana watambuliwe ili kufahamu ni akina nani na si wahamiaji haramu wanotumiwa kwa kazi chafu au raia wa nchi zingine ambao hadi sasa wameonyesha kiwango cha juu cha ukatili dhidi ya watanzania. Hiyo ni kwasababu imeelezwa kuwa watu hawa huficha sura zao zisitambulike kirahisi na pia huvaa kiraia.

Ni vigumu kuamini kwamba nchi yetu kwa sasa imezalisha watu wasojulikana wenye ukatili wa kutisha.

Isitoshe haikulikani idadi iso rasmi ya raia wengine wanotekwa na kupitezwa jambo ambalo ni la hatari sana.

Au sasa hivi nchi imegeuka na kuwa Ukraine ambako watu wasombwa tu mitaani na kwenda kupotea kwenye vita na Russia?
Masauni akijiuzulu atakula wapi? Nyie wabongo ni manyumbu, subirini siku hizi mbili tu, mtahamishwa channel na mtasahau machungu yote
 
Kwa msiofahamu rais , waziri wa mambo ya ndani na mkuu wa usalama wote wanatokea nchi moja . Wana special mission hapa Tanganyika. Mpk ikakamilike wadanganyika tutakuwa hoi.
 
Huu uswahili ndo unafanya tunatekwa,, Kwa akijiuzulu na ikaundwa tume ndo itakuwaje??!
 
Waziri anakosa gani ? Kiongozi mkuu ni Samia ndio anawatuma just as ngosha did, yeye Samia ndio awe responsible hawezi kazi. Yeye kazi yake ni kupaa pipa na kutoa mikeka, hiyo kazi hata lay person can do !

Je ni upi uwajibikaji wa Rais kwenye matukio kama haya ? Au kazi yake ni kusema nimeamrisha kupata taarifa ya kina ….

And this tooo shall pass kama lilivopita la Ben saa nane

Acheni kumuandama waziri ,
Hata polisi hawana makosa, msala wote unapewa polisi, lakini matukio yanafanywa na watu chini ya kitengo cha Rais , how come mnalaumu polisi au waziri

Why hamtaki kusema most of the TISS who never gone to school ndio wanatumwa kufanya huu ujinga na unyama as if walizaliwa kama animals
They are nasty and not appreciated, they are animals and evil souls…..,

One thing I know for sure , karma is bitch na ni suala la muda tu

They have kids and families hao pia watatumika kulipa dhambi zao before the dawn

Ngosha also paid , ni suala la muda

Sheria ya Usalama wamepewa enforcement na kukamata watu , hoja ya msingi, ikiwa wewe ni TISS , unanikamata, je unanipeleka wapi ? Kama ni polisi utanipeleka kituoni kisha kusubiri hukumu.

Raia wanaokamatwa na TISS , wanaenda wapi? Why Samia alibadili sheria na kutoa mamlaka hayo !

Ni kitengo kinachotumika kufanya unyama badala strategies za kustabilize uchumi

huku mnasingizia polisi na waziri,

Polisi anakosa gani ? Waziri anakosa gani?
Acheni kusumbua watu , you guys know nani wa kuwajibika

. Kwann hamumtaji Samia nae awajibike ? Kama unataka waziri awajibike, Samia should start , or else achana na huu upupu.

One thing I know for sure , mbwa ukimnenepesha , some days atakutafuna
Kwanza, sidhani kama raisi (hata hayati JPM) alikuwa akifahamu kazi hizi za kuteka watu, na kuwapoteza kwani wanakuwa waambiwa baada ya tukio hivyo kuwaacha hata wao wenyewe wasiwe na nguvu yoyote kimamlaka.

Pili, nadhani (kama yale yalokuwa kwa JPM) lengo la matukio hayo ni kumharibia yeye mwenyewe raisi na sidhani kama yeye kama yeye amebadilishi sheria ili TIS wafanye unyama huu.

Tatu, hiki kikosi kipo na chajumisha wahuni na majambazi ambao hawako kwenye payroll rasmi ya serikali na kazi zao ni ad-hock pale wanapohitajika, hivyo kuwabaini inakuwa ngumu.

Nne, nnaposema waziri ajiuzulu ni katika kuwajibika (accountability na responsibility) kwamba kama yeye (Masauni) si sehemu ya unyama huu unofanywa na hichi kikosi kama kimebarikiwa na raisi kupitia sheria unosema imebadilishwa.

Hii ipo popote penye viongozi makini hukubalianina sera ama maamuzi fulani ya serikali au waona kazi yakushinda basi waachia ngazi ili usihesabiwe.

"Its so disgusting and pathetic" kuona waziri mzima "taking audacity" kuhudhuria msiba wa mtu ambae katekwa na kuuawa na wanosemekana ni watu wasojulikana ambao wapo kwenye payroll ya serikali.
 
Back
Top Bottom