Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani majukumu yake ni kulinda uhai au kuondoa?Kusubiri waziri ajiuzulu nisawa na kwenda pale feri kusubiri basi la kwenda unguja au pemba kwa ufupi walio ondoa uhai wa mzee wetu ni serikali hivyo basi haiwezi kuwajibika kwa kutekeleza majukumu yake
Majukumu yake ni kulinda maslahi ya walio mteua na kuondoa maisha ya wote wanoenda kinyume na maslahi ya boss wake(chura kiziwi)Kwani majukumu yake ni kulinda uhai au kuondoa?
Basi, hakuna la ziada. Ami masauni analindwa na haloo Samia.Hajatumbuliwa Kwa sababu ni kizimkazi mwenzake fullstop
Wanaamini hana makosa ama hakuna kama yeyeView attachment 3092617
Tumeona Raisi kawatoa mawaziri wengine kama Ummy, January na Nape na kumwacha waziri ambaye kwa wengi hafanyi kazi vizuri. Mambo kama haya ndiyo yanaleta watu kufikiri upendeleo kwa Wanzanzibari
Hiyo ni hatari sana.Waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba. Kina amii wanalindana
Tuombeane tu wasichukue uhai mwingine tafadhaliMasauni akijiuzulu atakula wapi? Nyie wabongo ni manyumbu, subirini siku hizi mbili tu, mtahamishwa channel na mtasahau machungu yote
Kumeanza kuchangamka WallahHiyo ni hatari sana.
Wizara ya Mambo ya Ndani ni moja ya wizara nyeti sana katika nchi.
Ndo ,maana hata balozi za nje zimetoa kauli.
Na pengine nyuma ya pazia kuna majadiliano ingawa mbele ya umma balozi hazina uwezo wowote wa kuingilia siasa za ndani ya nchi mwenyeji.
Hawa tuanze Tu kumalizana nao Tu! MUNGU atatuvusha Salama'Rais aunde tume'?!! Tuache kuchezea kodi za wadanganyika watekaji/wauwaji wanafahamika na mamlaka inayowapa maelekezo inafahamika pia