Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

KATAFUTE ZA KWAKO!!! Ndo nyie mnaoweza hata kuwaombea wazee mabalaa ili tu MRITHI!!
 
Hapana mkuu mimi sina shida yeyote, pale ni kwetu mkuu na nina haki ya kupata mgao sawa sawa
HUNA HAKI YA KUPATA CHOCHOTE mkuu Tena ningekuwa ndo huyo Mzee wako NINGEKUTIMULIA MBALI!!! ACHA TAMAA KWA MALI ZISIZO ZAKO!!!
 
M
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani, nikaenda kuishi kwa rafiki yangu huku maisha yakiwa magumu kweli kweli sijapata kushuhudia

Basi siku ya juzi nilimpigia simu mama kumuambia sijala nina siku ya 2, mama yangu alilia sana, nikamuomba aniombee msamaha kwa baba ili niweze kurudi kuishi kpale kwetu ila la kushangaza mama alipomuambia baba, mzee alikataa kabisa kuniona, ikabidi niende home jana kwa kulazimisha nimefika getini nikagonga alikuja mlinzi kunifungulia, alipo niona ni mimi akasema baba amesema asione uso wangu kwenye ile nyumba, nikamuambia nimerudi na hapa ni kwetu, kumbe muda huo baba anaangalia dirishani, alipo niona akatoka nje akiwa na nyundo, akaniambia nimeshakuwa mtu mzima asione kabisa pale, niliumia sana ndugu zangu, nikaona kama baba yangu amefikia kuwa na roho ya kinyama na kikatili wakati mimi pale ni kwetu, kukatokea mabishano makali sana siku ya jana.

Baada ya mabishano ya kama dk tatu sikuamini masikio na maneno ya baba yangu, alisema hivi: "wewe mbwa sikutambui, haujielewi mbwa mkubwa wewe, ndio maana kwenye urithi wangu sijakuweka na mwezi huu wa sita nauza mali zangu nawagawia ndugu zako sehemu ya pesa wakaendeleze maisha yao huko walipo" wakuu hii kauli imeniuma mnoo

Wakuu naombeni ushauri wenu, huyu mzee nataka nikamshtaki mahakamani maana mimi ni mtoto wake mkubwa na tumefanana mnooo. Mimi nilipaswa nikabidhiwa sehemu ya mali, wakuu sipati usingizi kabisa, nahisi kuchanganyikiwa kabisa, huyu mzee nataka akakae hata jela miezi mitatu ili aweze kuona uchungu wa kugawa mali kwa upendeleo

Kuna rafiki yangu alinipa option ya kwenda kwa mganga wa kienyeji ili niweze kumkamata mzee kila nitakachoongea aweze kukubaliana na mimi

Nachukua kwanza maoni yenu wakuu.

Karibuni.
Maoni yetu Ni KATAFUTE MALI ZA KWAKO USIMKERE MZEE WA WATU NA GUBU LAKO LA TAMAA KWA MALI ZISIZO KUHUSUUUUI!!!!
 
Wewe kweli Ni bwege na hujielewi nazani ,, Akili yako Haina akili Yani wewe Ni hasara kwa wazazi wako Bora hata angekojolea kwenye condom tu
 
Wewe ungekua Ni mti, Basi ungekua mpapai wa kiume.
Yaani haufai popote hata kwa gogo la choo.
 
 
Ningekuwa baba ako ningekuchoma hata moto kwa akili zako ulizo nazo mkuu[emoji23].

Ushauri wangu; tafta kamba ngumu, tengeneza kitanzi safi, funga juu ya mti, vaa kitanzi shingoni, jitundike hadi ufe.

Utakuja kunishukuru
 
Kwa Umri huo inasikitisha sana ukiwa huna mbele wala nyuma huku ukivitolea macho vya Mzee wako.

Achana na mambo ya kulia lia na kuegemea kwa Wazazi.

Sawa sawa Mshua wako anavyokutosa, anataka utie akili.

Mshua wako wala hajakosea kukuambia "hujielewi" .

Cha ajabu baada ya kutoswa bado unakomaa unataka kumfungulia mashitaka Mshua wako
 
Hapana mkuu mimi sina shida yeyote, pale ni kwetu mkuu na nina haki ya kupata mgao sawa sawa
😡😡😡😡😡😡 huna mgao pale. Kwani umeambiwa mali za baba yako ni za kugawa kana kwamba hazina m wenyewe? Mwenye nacho huongezewa. Hao ndugu zako kama wameishajitafutia wataongezewa nawe utabaki na kijiba cha roho. Pia angalia maoni ya wengi hapa. Utajua la maana la kufanya.
 
Ndomana huwa sijutii kutokusoma kwa elim yako namtizamo uliokuwa nao ni hatari huyo baba yako nibaba bora hebu zaa mtoto umsomeshe had ulipofikia uone balaa lake
 
Urithi wa kweli ni ELIMU.....
Hai ingii akilin graduate Tena mwanaume wa Miaka 39......

Kulilia urithi wa mzee akiwa hai sijui iyo ELIMU imekusaidia nini....huna tofauti na TEJA

Kuna muda nawaza maybe wew ndio tatizo....

Marehemu babu yangu alipenda kuniambia nakupa akiba ya maneno....
Ngoja na mimi leo nikupe akiba ya maneno...

1. Kama wewe ni mkristo au muislam Nenda Kwa mtumishi wa mungu yeyote unae muamini kwa ajili ya Dua au maombezi.
(Vifungo vya kiroho)

2. Under determination one can turn a desert into evergreen forest...
Ikikupendeza anzishaa uzi elezea umesomea nini....Omba connection pia kubali kuanzia chini (zero) ukipata hata kibarua kisicho husiana na ulicho somea wewe anza nacho.....pekee akilini waza kutafuta vyako

After years utakuja hapa Jf kutupa mrejesho chanya.
 
kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu nyumbani kusikilizia mishe kama itatokea, kulitokea kutokuelewana na mzee wangu (hii nilishaielezea humu humu, baba hakutaka kabisa nimuambie mambo ya kujiunga na chama changu cha mapinduzi), akanitimua nyumbani,
Baba yako ni kichwa ila kaona amezaa zuzu ndio maana kakutimua kutokana na mbanga zako za kutaka kujiunga na CCM kisa hauna ajira nyinyi ndio watu mkipewa nafasi hamtumii taaluma yenu ila mnaangalia kulinda matumbo yenu kaka profesa majalala, kudos mshua boi🤣🤣
 
Miaka 39 bado unakaa nyumbani, kwanza shida ya kwanza ni wewe
alafu anasema mimi nikijana wa miaka 39...Sema mie ni mbaba...unatakiwa ungekuwa na mtoto wa miaka 19...kama ungekuwa fasta..na huyu mtoto wa miaka 19 anagekuwa na mtoto wa mwaka mmoja...So wewe ni babu. Wenzio eji ya secondary...tulisepa kimoja home...
 
Back
Top Bottom