Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

Popote alipo baba yako mwambie anywe balimi 3 malipo kwangu. Baba kama huyu ndio mzazi bora kabisa mwaka huu
 
Mwambie mzee pale ni kwa wazazi wako, yeye ndio anatakiwa atoke aende kwa wazazi wake. Kama hawakumtafutia Cha kurithi ajijue anaanzaje maisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha auzee, ale na mkewe, mzee baba tafuta zakoo! African family succession plan kwenye issue za biashara na mali hakunaga, kwa sababu ya uselfishii.

Mzee toka hapo nenda mkoa mwingine katafute maisha ila wewe usije kuwafanyia watoto wako.
 
Mwakani una 40 unatakiwa uanze kumlea babako kwani na wewe tayari uzee umeanza.
Pengine umejua kwanini babako kachukia wewe kujiunga ccm?
Ukijua hili maisha yako yatabadilika mara moja japo umechelewa kidogo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ungekua Ni mti, Basi ungekua mpapai wa kiume.
Yaani haufai popote hata kwa gogo la choo.
 
Wewe bado una akili za chekechea miaka 36 unalalamika ungekuwa huna baba na mama ungeishije?
Unapaswa utambue kuwa wewe kwa Sasa maada baba yu hai huna haki ya kurithi chochote. Unaitwa mrithi na kuwa na haki ya madai yoyote ikiwa mzazi wako amekufa period.
 
Miaka 39??? Mkuu unaweza ukawa unaleta masikhiara humu, sidhani kama kuna binadamu mwenye umri huo anaweza akawa na akili kama hizo ulizozielezea...! Kama ni kweli basi mkuu una safari ndeeefu mno humu duniani na akhera
 
Badala mnishauri kwa mawazo mazuri kila mmoja ananishambulia kwa maneno makali, roho mbaya zitawahuwa, mnaona nikipata ulisi ntawapita kimaendeleo
 
Hauna hiyo haki, hizo ni mali za wazazi wako na wanaweza kuzigawa wanavyotaka.
Katafute mali zako.
Hapana mkuu mimi sina shida yeyote, pale ni kwetu mkuu na nina haki ya kupata mgao sawa sawa
 
Badala mnishauri kwa mawazo mazuri kila mmoja ananishambulia kwa maneno makali, roho mbaya zitawahuwa, mnaona nikipata ulisi ntawapita kimaendeleo
Haahaaahaaaaaaa...
We kweli "kikohozi"!.
 
Labda mganga ampooze! Mali ni ya baba anaamua ampe nani! Mahakamani utaambiwa "mali mlitafuta pamoja na baba? Kama sivyo tafuta chako
 
muache auze, ila akimaliza hatutaki ya kina DIAMOND NA BABA YAKE
 
Dogo acha ujinga pambana upate mali zako.
Hizo ni mali zake ana haki ya kukunyima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…