Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,877
- 5,022
Habar wakuu huku ndani,
Hapa kijijini kwetu Moshi kuna eneo zuri potential kwa ajili ya biashara hasa ya duka la reja reja, hardware au site ya tofali za block wamiliki wa hili eneo ni chama cha ushirika wa kahawa KNCU.
Changamoto iliyopo ni kuwa hamna frame yeyote ya kufanya hiyo biashara ni eneo tu la wazi, kuna wamama wanalima hapo mboga mboga tu for free at a zero cost.
Ninachotaka mnishauri ni hivi; ninawazo la kuomba na kuingiza nao mkataba nijenge hapo frame 🪟 za biashara then baada ya kuanza operation tuanze kukatana kwenye Kodi.
Naombeni ushauri wenu kwenye hili, na kama kuna mtu alishawahi fanya contract kama hii pia naomba ABC.
Pia naomba mtu ambaye atakuwa na mfano wa copy ya mkataba anisaidie Ili niufanyie editing iendane na mazingira yangu.
Ahsante kwa msaada wenu.
Hapa kijijini kwetu Moshi kuna eneo zuri potential kwa ajili ya biashara hasa ya duka la reja reja, hardware au site ya tofali za block wamiliki wa hili eneo ni chama cha ushirika wa kahawa KNCU.
Changamoto iliyopo ni kuwa hamna frame yeyote ya kufanya hiyo biashara ni eneo tu la wazi, kuna wamama wanalima hapo mboga mboga tu for free at a zero cost.
Ninachotaka mnishauri ni hivi; ninawazo la kuomba na kuingiza nao mkataba nijenge hapo frame 🪟 za biashara then baada ya kuanza operation tuanze kukatana kwenye Kodi.
Naombeni ushauri wenu kwenye hili, na kama kuna mtu alishawahi fanya contract kama hii pia naomba ABC.
Pia naomba mtu ambaye atakuwa na mfano wa copy ya mkataba anisaidie Ili niufanyie editing iendane na mazingira yangu.
Ahsante kwa msaada wenu.