Ushauri wenu wataalam wa Smartphone kati ya hizi simu

Ushauri wenu wataalam wa Smartphone kati ya hizi simu

daraja la kigamboni

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2016
Posts
3,127
Reaction score
3,062
Baada ya kutumia smartphone za makampuni mbalimbali I. e
Nokia/Lumia
Samsung/Galaxy S6
Tecno/H6, wx3, F1, J8 ...
Xiaomi/Redmi note 8,na sasa natumia note 10
Naomba ushauri kati ya hizi
OnePlus Ace
Realme GT Neo 3
Galaxy S10 used
Bei zinalingana tu
 
hapo kwenye s10 sikushauri uchukue hata ikiwa bure, mimi nina samsung yangu imekufa kioo sasa gharama za kubadili kioo ni kubwa kuliko bei ya simu yenyewe sokoni... samsung hovyo sana.
Sawa
Hiyo S10 Ulivyoitumia Uliionaje Ni Nzuri Ama Shida Inapoharibika Kioo
Samsung Zote Changamoto
 
hapo kwenye s10 sikushauri uchukue hata ikiwa bure, mimi nina samsung yangu imekufa kioo sasa gharama za kubadili kioo ni kubwa kuliko bei ya simu yenyewe sokoni... samsung hovyo sana.
Shukrani kwa ushauri
 
Baada ya kutumia smartphone za makampuni mbalimbali I. e
Nokia/Lumia
Samsung/Galaxy S6
Tecno/H6, wx3, F1, J8 ...
Xiaomi/Redmi note 8,na sasa natumia note 10
Naomba ushauri kati ya hizi
OnePlus Ace
Realme GT Neo 3
Galaxy S10 used
Bei zinalingana tu
Chukua Gt neo 3 ama hio Oneplus Ace zote zina Dimensity 8100 soc nzuri sana.
 
Chukua Gt neo 3 ama hio Oneplus Ace zote zina Dimensity 8100 soc nzuri sana.
Chief mkwawa mkali wazi hizi kazi



Naomba kuuliza Kuna simu nimeipenda sana inaitwa REALME GT 5 neo RGB hivi hii naweza kupitia kwa soko gani kutoka nje naweza kuipata pinduo duo na inakuwa sh ngapi maana nimeikubali pia iyo RGB feature nyuma ya simu

Alafu Kuna simu ambazo ziko na led light au rbg light nyuma ya simu kama iyo REALME nitajie majina yake kama zipo
 

Attachments

  • Screenshot_20240531-105813_1.jpg
    Screenshot_20240531-105813_1.jpg
    53.9 KB · Views: 10
hapo kwenye s10 sikushauri uchukue hata ikiwa bure, mimi nina samsung yangu imekufa kioo sasa gharama za kubadili kioo ni kubwa kuliko bei ya simu yenyewe sokoni... samsung hovyo sana.
Shida ni uelewa, wewe umeinunua ikiwa used lakini bei yake ilipokuwa mpya ungepasua kioo usingeona kina gharama kuliko simu. Simu inashuka bei kadri unavyoitumia lakini spare inabaki dukani ikiwa mpya so bei yake haishuki.
 
Mimi binafsi nisha rule out kwamba simu pekee naweza kutumia hapa Duniani ni Samsung.

Hao jamaa wako serious na kazi.
Kila kizuri hakikosi kasoro.
Samsung dosari yake ipo upande wa speaker!

Kuna kipindi usikilizanaji wa simu, wewe na upande wa pili inakuwa ni shida huku ukitumia simu ya gharama kubwa!

Yamenitokea mara mbili kwenye aina hiyo ya simu hadi nikawaza vinginevyo!

Kitu Samsung inazizidi simu zingine zote ni Camera.
 
Chief mkwawa mkali wazi hizi kazi



Naomba kuuliza Kuna simu nimeipenda sana inaitwa REALME GT 5 neo RGB hivi hii naweza kupitia kwa soko gani kutoka nje naweza kuipata pinduo duo na inakuwa sh ngapi maana nimeikubali pia iyo RGB feature nyuma ya simu

Alafu Kuna simu ambazo ziko na led light au rbg light nyuma ya simu kama iyo REALME nitajie majina yake kama zipo
Hii ni flagship ya Realme inapatikana masoko karibia yote we mwenyewe tu angalia urahisi wako kwako, ukitaka pinduo, Aliexpress, Ebay etc.

Pia simu zenye RGB nyingi ni za Gaming kuanzia kina Infinix, Asus Rog phones, Lenovo Legion etc inategemea mwenyewe unataka RGB za aina gani. Zipo pia simu za Nothing zina mitaa taa ya kutosha.
 
Back
Top Bottom