Ushauri wenu wataalam wa Smartphone kati ya hizi simu

Asus ROG unaweza kutumia kama simu tu ya kawaida au Kuna viatu itakuwa ina miss
 
Asus ROG unaweza kutumia kama simu tu ya kawaida au Kuna viatu itakuwa ina miss
Ndio unatumia kama simu ya kawaida, kutegemea na model baadhi rgb unaweza ukazi configure kuonesha chata unayotaka wewe.
 
Mkuu Sumsung gani unatumia yenye shida ya spika? Mimi hua natumia high ends tu sijawahi kusikia stori kama hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…