Ushauri: Wilaya za Kibaha na Bagamoyo zihamishiwe Dar es Salaam, Mbagala na Kigamboni zipelekwe mkoa wa Pwani

Ushauri: Wilaya za Kibaha na Bagamoyo zihamishiwe Dar es Salaam, Mbagala na Kigamboni zipelekwe mkoa wa Pwani

Hili suala nimekua nikiling'amua pia.
Dar es salaam needs expansion kama si sasa basi huko mbele itahitajika hivyo.

Psychologiacally people are uncomfortable to live outside dar es salaam's boundaries

Hivyo kwa maana ya kukuza uchumi wa mji ni lazima tuepuke retention of population humo jijini kwa kuliongezea mipaka ya kijiografia.

View attachment 2132029

Kuna faida kadhaa kufanya hivyo kuliko kubaki hivyo lilivyo
Yani bora mtu aishi chanika kuliko kisarawe au mkuranga..ingawa umbali uko sawa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili suala nimekua nikiling'amua pia.
Dar es salaam needs expansion kama si sasa basi huko mbele itahitajika hivyo.

Psychologiacally people are uncomfortable to live outside dar es salaam's boundaries

Hivyo kwa maana ya kukuza uchumi wa mji ni lazima tuepuke retention of population humo jijini kwa kuliongezea mipaka ya kijiografia.

View attachment 2132029

Kuna faida kadhaa kufanya hivyo kuliko kubaki hivyo lilivyo
Kabisa mkuu mji unasafocate bure wakati kuna wilaya jirani zina mapori
 
Mbweni, kunduchi mkuu hazifanan n mbagala.. Haziifikii hata nusu kibiashara mkuu fanya utafiti ujue mbagala Ina soko la wat kias gan kibiashara.. Idad ya wat hapa usiku ni tishio Kam Ile ya Kongo mchana! Fanya tafiti kabla za kiufanano
Mbagala ni kata tu ila inazidi Singida mjini kwa idadi ya watu na mishemishe
 
Kimsingi dsm ibaki kama ilivyo..ila ardh yote irudi serikalini na wakazi wadsm wahamishwe serikali ijenge magorofa appartments za kutosha kisha warususiwe kuja kupangisha tu..hakuna kuruhusu mtu kujenge kama unataka kujenge nenda kajenge pwani huko.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo serikali inajenga kwa pesa z ipi,
Wakati inajenga mafisadi wa ccm hizo pesa wanaziamgalia tu ?
 
😆😆😆 mkuu geographia yako bado haijakaa sawa

Unapoepeleka kigamboni Pwani ni makosaa
Iyo kigamboni unayoisema iende pwani ni kigambon hii hii au ipo nyingine ?

Kigamboni hihii ya ferry mpaka kibada pale kuna short cut ya kutokea Kijichi mtoni, ambako ni DSM

Suluhisho hapa ni kuanzisha mkoa mpyaaa utakaojumuisha wilaya za rufiji, mkuranga , kibiti, mafia hapo ndipo binafsi naona ni solution ila sio.kuichukua kigamboni kuipeleka pwani
Vilevile Kigamboni imepakana na Pwani ambayo ni wilaya ya mkuranga kazi hapo
 
Hilo Jambo nilikuwa naliwaza Leo mchana wakati nakuja Moshi...nkasema hivi kwanini mkoa wa pwani usigawanywe ...maana ukitoka bagamoyo Hadi mpakani mkoa wa Tanga Ni kipande..halafu ndio useme Hadi rufiji Ni mkoa mmoja..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yani bora mtu aishi chanika kuliko kisarawe au mkuranga..ingawa umbali uko sawa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu piga hesabu vizuri....Kuna mada humu Kuna wakati ilizungumzia chanika kwanini isiwe pwani maana Ni mbali, mfano ukitoka gongolamboto mwisho Hadi chanika Ni KM 18 Ila ukitoka gongolamboto mwisho Hadi kisarawe Ni km 12

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ningekua na uwezo ningehamisha mkoa mzima wa pwani na morogoro na kuuleta Dar ili kutengeneza mkoa mmoja, service delivery ingekua ndio msingi sio utitiri wa hii kitu,nchi nzima mikoa 12 tu.
Mwingireza alikuwa na Mikoa michache,na aliweza kujenga mpaka nyumba za vigae huko pembezoni mwa nchi hii.

Tukumbuke nchi ilikuwa haina miundo mbinu kama sasa,kwa jinsi watawala wa sasa wanawaza kuongeza wilaya na mikoa?! Badala ya kuimarisha usimamizi wanafikiria maeneo kisiasa,hivyo nchi kuendelea kuwa maskini,maeneo kutopimwa na kukosa mpangilio!!!

Swali gumu ambalo viongozi wetu hawataki kufikiri,kujiuliza wala kutafuta ufumbuzi(miji kama New york,tokyo na mingine ina watu zaidi ya milioni 18,Lakini ipo kwa mpangilio).huku kwetu Viongozi kupangilia miji sio kipaumbele!!!,wanawaza kuongeza maeneo ya utawala ili kujitengenezea nafasi za kimadaraka na siasa bila kujali hali ya baadae ya jamii.
 
Kwani wakazi wa Dsm wanakatazwa kujenga Pwani ?
Hawakatazwi ila niswala tu ka kisaikolojia kuna mdau kadema hapo juu mtu yuko radhi aishi chanika ila sio vizuri mkuranga na umbali ni ule ule,waafrika wengi hatujazoea kuishi mj A na kufanya kazi mji B tofauti na wenzetu huko wenye miundo mbinu bora,ngoja tusubiri treni ya umeme labda tutakuwa tunalala morogoro asubuhi kazi kariakoo
 
Mwingireza alikuwa na Mikoa michache,na aliweza kujenga mpaka nyumba za vigae huko pembezoni mwa nchi hii.

Tukumbuke nchi ilikuwa haina miundo mbinu kama sasa,kwa jinsi watawala wa sasa wanawaza kuongeza wilaya na mikoa?! Badala ya kuimarisha usimamizi wanafikiria maeneo kisiasa,hivyo nchi kuendelea kuwa maskini,maeneo kutopimwa na kukosa mpangilio!!!

Swali gumu ambalo viongozi wetu hawataki kufikiri,kujiuliza wala kutafuta ufumbuzi(miji kama New york,tokyo na mingine ina watu zaidi ya milioni 18,Lakini ipo kwa mpangilio).huku kwetu Viongozi kupangilia miji sio kipaumbele!!!,wanawaza kuongeza maeneo ya utawala ili kujitengenezea nafasi za kimadaraka na siasa bila kujali hali ya baadae ya jamii.
Wanawaza matumbo yao tu
 
Hawakatazwi ila niswala tu ka kisaikolojia kuna mdau kadema hapo juu mtu yuko radhi aishi chanika ila sio vizuri mkuranga na umbali ni ule ule,waafrika wengi hatujazoea kuishi mj A na kufanya kazi mji B tofauti na wenzetu huko wenye miundo mbinu bora,ngoja tusubiri treni ya umeme labda tutakuwa tunalala morogoro asubuhi kazi kariakoo
Ila kuna watu wanaishi Pwani, maeneo kama Mlandizi ila wanafanya kazi zao Jijini
 
Kama mapinga na kerege na zinga uwezi kuzitofautisha na dar mfano Bunju na Tegeta.
Naunga mkono baadhi ya maeneo yasogezwe dar kama sio wilaya nzima.
 
Back
Top Bottom