Ushauri: Wilaya za Kibaha na Bagamoyo zihamishiwe Dar es Salaam, Mbagala na Kigamboni zipelekwe mkoa wa Pwani

Ushauri: Wilaya za Kibaha na Bagamoyo zihamishiwe Dar es Salaam, Mbagala na Kigamboni zipelekwe mkoa wa Pwani

Hata mimi nasapoti dsm ipanuliwe.sasa ili ipanuliwe lazima sehemu ya pwani imegwe kuja Dar.Yakitokea hayo, Kuna watu watalalamika as usual.sasa kuepusha mengi PWANI YOTE iwe DAR, iletwe kama ilivyo na wilaya na majimbo yake, wakazi wa pwani hawatanung'unika coz hata kwao itakuwa ni PROMOTION..hii habari eti nipe kibaha nikuachie kigamboni ni ngumu kuelewana...Bahati mbaya; Rais wa sasa hana hulka ya kufanya shocking decisions! hili tusahau kutokea..
Mama hili haliwezi,miradi ya JPM inamtesa,akizubaa atamaliza mihula miwili bila kumaliza hiyo miradi kukamilka sijui atasingizia nini
 
Unazungumzia mto Mzinga au Kizinga?
Mto mzinga upo kule Mbagala Kokoto kama unaenda Kongowe, yet unasema Mbagala ihamie mkoa wa Pwani. Kama unazungumzia mto uliopo pale Mission/mtongani (panaitwa msikitini) kwa chini, hapo upo sahihi.

Wazo lako ni zuri, lakini umeisahau wilaya ya Kisarawe. Iende wapi? Pwani au Dar hiyo unayoipropose?
 
Mawazo yangu ndugu kwa nini tusianzishe Metropolis sijui kama nimeandika sawasawa

Kwamba Dar es Salaam Metropolis sijui Metropolicies itahusisha na kuchukua maeneo yafuatayo:

Wilaya yote ya Mkuranga na bandari ndogo ya kisiju pwani.
Kwa nini tayari mkuranga inapakana na wilaya tatu za jiji la Dar es Salaam kuanzia Kigamboni, Temeke na Ila


Na ndio sehemu inayofuatia kujengwa zaidi baada ya Kigamboni na
Kuna daladala za kutoka Kisemvule mpaka Kariakoo na ukumbuke Kisenvule mpaka mkuranga mjini karibu mno hapazidi hata kilomita 10.

Wilaya ya kibaha yote, kila mtu anashuhudia maendeleo ya kibaha mjini pale

Wilaya ya Bagamoyo yote

Wilaya ya kisarawe yote ila liwe jiji lenye Mbuga ya wanyama karibu

Wilaya ya Mafia

Kuandaliwe miundombinu yote , huduma za kijamii

Idadi ya watu inazidi kuongezeka Tanzania na watu wataendelea kujenga.

Waanze plan ya kuziunganisha miji tajwa hapo juu na Usafiri wa reli za kisasa, Utanuzi wa Barabara.
Na Dar es Salaam kuwe na Mamlaka ya Metropolitan.
Kwa CCM hii hii [emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar es salaam enzi hizo ikiwa kama mkoa ilijumuisha mkoa unaoitwa Pwani ukijumuisha Kisarawe na Kibaha. Huu utaratibu wa kuunda mikoa unaofuata ongezeko la watu na makazi ndio unaotugharimu na kupata mihemuko inayopelekea watu kuomba mikoa mipya iiundwe. Harakati za kutaka Chato kuwa mkoa ni mfano halisi ulio wazi kati ya mingi inayoendelea kimya kimya.

Kimsingi miundombinu inatakiwa kuwekwa kabla watu hawajaanza kugawiana viwanja kujenga na kuanza kazi muhimu ya kuzaliana. Ilitakiwa huko kwenye wizara za ardhi na makazi ambako kuna wataalamu wa mipangomiji watangulie kutoa ramani ya mpangomji kabambe kwa kila halmashauri ili kila eneo lifahamike liko kwa ajili gani iwe makazi, barabara, bustani au hata mkoa. Mambo mengi yanafanyika kwa kufuata matakwa ya wanasiasa na ndio wanaosikika zaidi na kuamua badala ya
wataalamu

Mfano mzuri ulioutoa wa safari ya kutoka kaskazini ya Dar es salaam kuelekea kusini ingeweza kufanyika kwa kupita Kisarawe bila kuzungukia Ubungo na Tazara. Kituko kingine ni upanuaji wa barabara ya Morogoro kipande cha Mbezi hadi Kibaha tena kwa njia nane!. Badala yake wangeijenga kwa njia nne, huku wakipasua barabara nyingine ya njia nne kuanzia Kibaha kwa Mathias kwenda hadi Kisarawe kuunganisha na Pugu road, Lakini pale Masaki kabla ya kufika Kazimzumbwi, barabara yake inayopita Chanika, Mvuti hadi Mbagala ingepanuliwa ili magari yanayoenda kusini yasilazimike kuingia Ubungo.

Kwa maoni yangu sioni faida ya kuendelea kugawanya nchi na kuongeza idadi ya mikoa, badala yake barabara na miundombinu ya kila mikoa ingejengwa kwa kiwango cha juu ili kusiwe na mshawasha wa kukimbilia mijini lakini muhimu zaidi kudhibiti ongezeko la watu. Watanzania naona wanafyatuana utafikiri wataadhibiwa kwa kutoijaza Dunia.
Umepangilia vizuri hoja yako na unaijua jiografia vizuri. Hoja ya kudhibiti ongezeko la watu hapa si mahala pake. By the way tuna mapori mengi sana hatuyafanyii chochote Tanzania haina dalili ya over population.
Nchi yetu ya Tanzania suffers from different challenges, but overpopulation is not one of them. This country has a land area larger than California, Michigan, Arizona, and Virginia combined, lakini idadi ya watu ni sawa na size of California's and Virginia's combined.

In a nutshell, data zipo pia.
 
Unazungumzia mto Mzinga au Kizinga?
Mto mzinga upo kule Mbagala Kokoto kama unaenda Kongowe, yet unasema Mbagala ihamie mkoa wa Pwani. Kama unazungumzia mto uliopo pale Mission/mtongani (panaitwa msikitini) kwa chini, hapo upo sahihi.

Wazo lako ni zuri, lakini umeisahau wilaya ya Kisarawe. Iende wapi? Pwani au Dar hiyo unayoipropose?
Nilimaanisha ule mto karibu na mission,Kisarawe nayo yafaa iwe mkoa wa Dar Es salaam
 
Umepangilia vizuri hoja yako na unaijua jiografia vizuri. Hoja ya kudhibiti ongezeko la watu hapa si mahala pake. By the way tuna mapori mengi sana hatuyafanyii chochote Tanzania haina dalili ya over population.
Nchi yetu ya Tanzania suffers from different challenges, but overpopulation is not one of them. This country has a land area larger than California, Michigan, Arizona, and Virginia combined, lakini idadi ya watu ni sawa na size of California's and Virginia's combined.

In a nutshell, data zipo pia.
Ukitaka kujua hii nchi ni mapori matupu panda treni ya kati kutoka dar kwenda kigoma,kuna ardhi haijawahi kuguswa mahekari kwa mahekari
 
Umepangilia vizuri hoja yako na unaijua jiografia vizuri. Hoja ya kudhibiti ongezeko la watu hapa si mahala pake. By the way tuna mapori mengi sana hatuyafanyii chochote Tanzania haina dalili ya over population.
Nchi yetu ya Tanzania suffers from different challenges, but overpopulation is not one of them. This country has a land area larger than California, Michigan, Arizona, and Virginia combined, lakini idadi ya watu ni sawa na size of California's and Virginia's combined.

In a nutshell, data zipo pia.
Mkuu, katika kuliweka hili sawa, nadhani wakati mwingine estimates za population hazifanywi kwa kutazama na ukubwa wa eneo pekee. (Idadi ya watu dhidi ya ukubwa wa eneo).

Pia hufanywa kwa kuwianisha idadi ya watu na rasilimali wezeshi zilizopo katika eneo husika (huduma za msingi katika eneo husika kama vile maji, barabara, n.k).

Nimekumbusha hili ili kutoingia kwenye mtego wa kusema "Jangwani Sahara au Kalahari kuko underpopulated maana eneo ni kubwa sana lakini watu ni wachache."

Au kwa case ya NGORONGORO crater, kama inavyozungumzwa ikiwa ndivyo, then kule kuko overpopulated au kuko katika tishio la kuwa hivyo hata kama population density yake ni ndogo mno ukilinganisha na maeneo kama ILALA kwa mfano.
 
Mkuu, katika kuliweka hili sawa, nadhani wakati mwingine estimates za population hazifanywi kwa kutazama na ukubwa wa eneo pekee. (Idadi ya watu dhidi ya ukubwa wa eneo).

Pia hufanywa kwa kuwianisha idadi ya watu na rasilimali wezeshi zilizopo katika eneo husika (huduma za msingi katika eneo husika kama vile maji, barabara, n.k).

Nimekumbusha hili ili kutoingia kwenye mtego wa kusema "Jangwani Sahara au Kalahari kuko underpopulated maana eneo ni kubwa sana lakini watu ni wachache."

Au kwa case ya NGORONGORO crater, kama inavyozungumzwa ikiwa ndivyo, then kule kuko overpopulated au kuko katika tishio la kuwa hivyo hata kama population density yake ni ndogo mno ukilinganisha na maeneo kama ILALA kwa mfano.
Hii nchi ina shida katika utawala, hasa decision makers. Wanagawa mikoa tu daily, kuna tija gani? Labda tujiulize, wangapi leo hii wanaenda ofisi ya mkoa? Kufata nini?
Je, hicho wanachokifata hawawezi kukipata hapo walipo?
Eti mwalimu anaenda mkoani anatoka Rufiji au Mafia mpaka Kibaha maili 1 kupeleka barua ya kuomba uhamisho kwa afisa elimu mkoa. Wakati tunaishi dunia yenye email na simu.

Hatuhitaji mikoa mingi. Tunahitaji utoaji huduma ulio bora katika mikoa michache tu. Hilo lingepangiliwa pamoja na mipango miji, serikali ingeweza kuhudumia population yote ijayo.
 
Kuna kipindi huu ushauri ungepokelewa bila tashwishwi ila zingehamishiwa Chato🐒
 
1645908190175.png
 
Mama hili haliwezi,miradi ya JPM inamtesa,akizubaa atamaliza mihula miwili bila kumaliza hiyo miradi kukamilka sijui atasingizia nini

Kwa hiyo Mama amalizie Chato Airport na Chato Mkoa.....
 
Miaka kidogo niliwaza hili!!
lakini natofautiana naww kidogo hapo!!…

Niliwaza kadili mji unavokua BAGAMOYO iingizwe dar es salaam
Kabisa mkuu tena bagamoyo ingechangamka sana
 
Iv mtu wa Rufiji , Kibiti , Mkuranga, Bagamoyo na Chalinze wakiwa na shida ofisi ya Mkuu wa Mkoa wanaenda wapi ?
 
Back
Top Bottom