Punguza ujinga mleta mada yupo kimataifa wewe unaleta habari za ndondo hapa.wenzetu wanafikiria namna ya kutusua kimataifa
Hayo ndio matatizo ya kukariri....Makolo mtajua hamjui kuanzia Jumamosi...Mwanzo mlianza kwa kusema Makolo timu kubwa na mkainanga Yanga kwa kuanzia raundi za awali...imekuwaje tena timu kubwa nayo kuanza raundi ya awali....kwa ratiba hii ya CAF timu kubwa ni Azam tu itakayo anzia raundi ya kwanza! Makolo Mlibwanjiiii!