Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kunguru wa manzese na Kaka yake hawachagui mzoga...😄😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunguru wa manzese na Kaka yake hawachagui mzoga...😄😄😄
Unataman utamu urudi ila ndo hvo haiwezekanJamaa na kaka ake walikua wanagawana vitu vizur[emoji2]
LAZIMA mwanmke akijua ajione faller kwelikweli[emoji4]
Wala hamna shida siie wengine tulishakubaliana na hiyo fate yetu ya kuingia motoni
Anatangulia chiu kama wale wa evolution of man walivyo chiuUmekwama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nasomaga Sana nyuzi zako ukimuelezea mchepuko wako,Mara mmeachana,Mara umemvamia kwake na yeye alivyo Mafia anaoga halafu anatangulia kitandani mzee baba unajilia safiiii.na ya matumizi unaacha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee,mi Hadi namuogopa comment zake huyu bwana ibilis😂😂😂😂😂😂Ha ha ha.....
Jamaa ana I'd ya kuogofya Sana.
Ukisoma comments zake zinatisha kabisa[emoji2]
Sidhan Kama Kuna mod anaujasili was kuipiga ban hi id[emoji1787]
Ha ha ha....Ego ego ego
Bidada ametytiwa hachomokii
Kumbe jee😂😂😂😂😂Kuna michepuko mitundu Sana,Anatangulia chiu kama wale wa evolution of man walivyo chiu
Ha haaaaa haaaaa atakuwa Ni agent wao hapa dunianiSentence zake zimakwa kikuzimu kuzimu vile[emoji1787]
Ujasusi kwny mapenzi ni muhimu Sana mkuu, vinginevyo ndege wako anapepea bandani[emoji2]Huu Uzi wa kuharibu mipango maana mbinu zilizotumika kama zile alizotumia mwamba mmoja kulipa kisasi mr bann njoo ujionee mwenzio alifanya revenge kwenye Mapenzi Kwa mbinu za kijasusi!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji91]
Ila dunia haiko fair kabisa,ulimuonea Sana mshikaji🙄Ha ha ha....
Sema Hilo tukio nadhan halijui kama mm and nilikua nyuma yake.
Maana nnachokumbuka bidada aliendelea kumtext uyo barobaro anamjulia Hali afu jamaa hajibu chochote ikawa ndo imeisha hivyo mawasiliano yao yakafa kabisa.[emoji4]
Huamini au???Hapo pa Kwanza binamu umempiga kamba bwana Sheitwaani [emoji12]
Tatizo Hawa barobaro wanaoning'iniza funguo za ist kwny luksi ya bukta wanajikutaga kujifanya wanayajua mahaba niue kwenye mali za watu waliogharamia kwa jasho.Ila dunia haiko fair kabisa,ulimuonea Sana mshikaji[emoji849]
Sio kwamba hawapo ila sijataka...hata Leo nikitaka dyudyu ipo ya uhakika sema stak tuuDuuu inawezekana umetupiwa jini makata karne ya 21 ukiona hutongozwi na ww mwanamke ujue umetupiwa jini makata au maimuna
Ushauri nenda kanisani fasta ukaombe huenda huyo pepo jini atatoka then utapata mpenzi
Mr bann alikua dereva wa magari makubwa Huko Malawi akaja kuangusha gari bahati Mbaya akaumia na kuvunjika baadhi ya viungo,wale jamaa wa kampuni wakamtimua bila malipo akarudi bongo kujiuguza,alivyopona akarudi Tena kuomba Kazi wakampa roli la mafuta kilichofuata Ili kulipa kisasi Kwa unyama waliomfanyia mwanzo akanyonya mafuta yote Kwa tank akauza zaidi ya million 400 halafu gari akalitengenezea ajali kwenye makorongo akaruka na kuliachia mpaka Huko makorongoni likalipuka lote likateketea,Ujasusi kwny mapenzi ni muhimu Sana mkuu, vinginevyo ndege wako anapepea bandani[emoji2]
Uyo @Mr.ban ilikuaje kuaje kiss chake mkuu?[emoji848]