Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Dah huyu dada angejua angehama hapo anapoishi haraka sana sema ndo hvo hela tamuu na kodi analipiwa hawezi kujiamulia mwenyewe
Uyu hawez kuhama pale, namsubiri Kwanza atulize akili.

Bado waru waru kichwan[emoji4]
 
Umekwama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nasomaga Sana nyuzi zako ukimuelezea mchepuko wako,Mara mmeachana,Mara umemvamia kwake na yeye alivyo Mafia anaoga halafu anatangulia kitandani mzee baba unajilia safiiii.na ya matumizi unaacha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anatangulia chiu kama wale wa evolution of man walivyo chiu
 
Ha ha ha.....
Jamaa ana I'd ya kuogofya Sana.
Ukisoma comments zake zinatisha kabisa[emoji2]

Sidhan Kama Kuna mod anaujasili was kuipiga ban hi id[emoji1787]
Wee,mi Hadi namuogopa comment zake huyu bwana ibilis😂😂😂😂😂😂
Watakuwa wanamuogopa.
 
Huu Uzi wa kuharibu mipango maana mbinu zilizotumika kama zile alizotumia mwamba mmoja kulipa kisasi mr bann njoo ujionee mwenzio alifanya revenge kwenye Mapenzi Kwa mbinu za kijasusi!
😁😁😁🔥
 
Ego ego ego
Bidada ametytiwa hachomokii
Ha ha ha....
Sema Hilo tukio nadhan halijui kama mm and nilikua nyuma yake.

Maana nnachokumbuka bidada aliendelea kumtext uyo barobaro anamjulia Hali afu jamaa hajibu chochote ikawa ndo imeisha hivyo mawasiliano yao yakafa kabisa.[emoji4]
 
Wee,mi Hadi namuogopa comment zake huyu bwana ibilis[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watakuwa wanamuogopa.
Sentence zake zimakwa kikuzimu kuzimu vile[emoji1787]
 
Huu Uzi wa kuharibu mipango maana mbinu zilizotumika kama zile alizotumia mwamba mmoja kulipa kisasi mr bann njoo ujionee mwenzio alifanya revenge kwenye Mapenzi Kwa mbinu za kijasusi!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji91]
Ujasusi kwny mapenzi ni muhimu Sana mkuu, vinginevyo ndege wako anapepea bandani[emoji2]

Uyo @Mr.ban ilikuaje kuaje kisa chake mkuu?[emoji848]
 
Kumbe jee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna michepuko mitundu Sana,
Uyu wa kwangu Ni balaa, ndo Maana mwenzio mnaona namlinda kwa gharama yoyote Sitaki nimpoteze kabisa[emoji4]
 
Ha ha ha....
Sema Hilo tukio nadhan halijui kama mm and nilikua nyuma yake.

Maana nnachokumbuka bidada aliendelea kumtext uyo barobaro anamjulia Hali afu jamaa hajibu chochote ikawa ndo imeisha hivyo mawasiliano yao yakafa kabisa.[emoji4]
Ila dunia haiko fair kabisa,ulimuonea Sana mshikaji🙄
 
Ila dunia haiko fair kabisa,ulimuonea Sana mshikaji[emoji849]
Tatizo Hawa barobaro wanaoning'iniza funguo za ist kwny luksi ya bukta wanajikutaga kujifanya wanayajua mahaba niue kwenye mali za watu waliogharamia kwa jasho.

Akimuona Mchepuko Wang kapendeza barabarani anang'aa unywele mpk unyayoni ajui Kama pale pesa ya mwanaume mwenzake imeteketea.

Yaani anatafuta gepu akamle afu baadae akikuona aanze kukucheka barabarani kua wewe Ni fala sana, huo Ujinga siwezi ku-entertain kabisa mimi[emoji4]
 
Duuu inawezekana umetupiwa jini makata karne ya 21 ukiona hutongozwi na ww mwanamke ujue umetupiwa jini makata au maimuna
Ushauri nenda kanisani fasta ukaombe huenda huyo pepo jini atatoka then utapata mpenzi
Sio kwamba hawapo ila sijataka...hata Leo nikitaka dyudyu ipo ya uhakika sema stak tuu
 
Ujasusi kwny mapenzi ni muhimu Sana mkuu, vinginevyo ndege wako anapepea bandani[emoji2]

Uyo @Mr.ban ilikuaje kuaje kiss chake mkuu?[emoji848]
Mr bann alikua dereva wa magari makubwa Huko Malawi akaja kuangusha gari bahati Mbaya akaumia na kuvunjika baadhi ya viungo,wale jamaa wa kampuni wakamtimua bila malipo akarudi bongo kujiuguza,alivyopona akarudi Tena kuomba Kazi wakampa roli la mafuta kilichofuata Ili kulipa kisasi Kwa unyama waliomfanyia mwanzo akanyonya mafuta yote Kwa tank akauza zaidi ya million 400 halafu gari akalitengenezea ajali kwenye makorongo akaruka na kuliachia mpaka Huko makorongoni likalipuka lote likateketea,
Huko mabosi wakijua mzigo wote umelipuka kumbe mbinu za kijasusi zimetumika akarudi bongo kuendelea kula mpunga wake taratiiibu!
mr bann njoo huku utupe mwongozo nakubali sana Mzee wa revenge!
😁😁😁😁🔥🔥🔥🔥
 
Back
Top Bottom