MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Aisee
We jamaa n
We jamaa anasbo, pamoja na mzabzab lazima nitawakuta motoni
We jamaa n
AiseeNdio .
Maybe Kuna demu mkali full mashauzi mtaa fulani ataanza broo atambana nae atahangaishwa wee na vile anajua kuigiza kama sharukh khan akililia penzi atampata
Baada ya wiki anaanza mfanyia visa mara hajibu text at that time mimi tayari namba ninayo nakua kidaka chozi namfutilia tu najua ataniambia ana mtu ambaye ni broo hivyo hivyo
Kosa kuu wanalofanya wanawake baada ya ku break up wanakuwa rebound guy au relationship kupunguza maumivu hapo ndipo mimi ninapoingia
Baada ya kula namjulisha broo unakuta hapo tunacheka kisengee [emoji23] and then paap namuacha Hapo nakuwa nimempiga na kitu kizito kichwani
Akijua msela wake alikuwa ni ndugu yangu ndio kanipa namba ndio inakuwa kitu kizito kichwani mara mbili
We jamaa anasbo, pamoja na mzabzab lazima nitawakuta motoni