Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Hawa inabd tuwaandalie uwanja wao waparuane mikucha mpk wachoke[emoji3]
 
Nonsense!Sifanyi dialogue na Shetani.
 
Nd ndo inaaminika ndo Waislam wa Leo (I mean uzao wa huyu beki tatu
 
Wacha kabisa[emoji4]
HIZI Mambo Ni hatar sana
Mwizi wa mke wa mtu na akaua...
Mwingine wake 900
Mwingine kahaba kabisa (rahabu) na mariam wa magdalena
Eti hawa wote wamekumbukwa...
Saa ingine ishu za Mungu hazielezekii
 
Nd ndo inaaminika ndo Waislam wa Leo (I mean uzao wa huyu beki tatu
Hahaha ila Ibrahim alikuwa mjanja alitumia kigezo cha mkewe kutozaa na kutembea na mjakazi wake nafikiria ndio huu uzao wa warabu hata jina lake linasadiki Ismael maana yake ISM ni neno la kibrania ambapo katika arabic pia lina maana sikia na el ni Mungu maana yake mungu amesikia na akapata mtoto baada ya muda mrefu kuwa hajapta mtoto
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alitisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…