DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #21
Hata hatumii wala haijui JF,Hahahahha! Aisee!.
Hatumii JF nini?..
labda uyo jamaa ndo awe humu JF
Leo Kuna mtu flani kanambia mwezi wa 10 mwaka Jana uyo jamaa ndo alifunga ndoa na mwanamke mwngn, ndo nikikumbuka icho kisa na kukileta humu leo[emoji2]