Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Mhh unaandikaga migazeti ndo kawaida yako sema tu haiboii
Thanks, ni visa vyangu TU viko complicated sana na Sipendi kuacha CHOCHOTE kile nnapoelezea full story. Tuvumiliane TU hivyo hivyo binamu Tang😊
 
Usingehangaika na yote hayo bro🤣🤣🤣🤣🤣🤣....unajua Ni process ndefu sana umefanya kumhold mchepuko.umekwama kaka
Hii Nadhan imekua Kama tabia Sasa, napenda Sana ligi hasa Kwny Mambo ya mahusiano. Wife wangu mwnyw tuna purukushani kadhaa nmepitia nae. Nikipata nafas one day nitawasimulia😊
 
Thanks, ni visa vyangu TU viko complicated sana na Sipendi kuacha CHOCHOTE kile nnapoelezea full story. Tuvumiliane TU hivyo hivyo binamu Tang[emoji4]
Nimemalizia kwamba migazeti lakini haiboiii
Si umeona tunavyofwatilia?
 
We huoni hizo harakati zako?? Ipo siku uzeeni utakaa mwenyewe halafu utacheka saaaaaaanaaaa
Utakuja kuniambia hiyo siku kwamba kweli
Ha ha ha...
Itabidi niwasimulie wajukuu zangu heka heka zangu za ujana zilikua za Moto balaa😊
 
Ha ha ha..... Na uka fanikiwa Kama kawaida?[emoji4]
Sio mara zote mkuu wengine walikuwa Wana suspects broo katoa namba so wanamtukana broo

"Kama unitaki useme sio kwa kunidharau huko yaani unilale halafu umpe namba rafiki yako anilale "

Mambo kama hayo mkuu [emoji3]
 
Mkuu lakini Iblis ni mtu mwema kuna siri binadamu tulifichwa na mungu that's why yeye alikuwa tayari kuwaonyesha Adam na Hawa kula tunda ambalo liliwafungua akili sasa mtu anakufungua akili je mtu huyo ana ubaya kweli fikiri hata ww
Bawana shetan naona umeanza kuupiga mwingi😃
 
Huyo ndo atakuwa copy yako sasa pale utakapostaafu harakati
Ha ha ha...arithi mema TU. Aya mengine ya hovyo aniachie nizikwe nayo.
Cha muhimu asikubali unyonge au zile stori za namuachia mungu malipo mbinguni😊
 
Bawana shetan naona umeanza kuupiga mwingi😃
Yaan mawazo yako safi kabisa mi nakupongeza kama unao uwezo wa kufanya jambo fanya kabisa acha hofu maana ni ugonjwa mfano labda nina njaa ya kitu iwe chakula au mapenzi nikikuibia hapo sina Ubaya ilimradi nipate kusurvive yaan mm nina hamu halfu nipo ktk gari mvua inaonyesha nipo na mwanamke eti nimuache hiyo formula kwangu hakuna au nina njaa nakuomba hela hutaki kunipa nakuibia na ukiniroga sirogeki hongera kwa hilo
 
Yaan mawazo yako safi kabisa mi nakupongeza kama unao uwezo wa kufanya jambo fanya kabisa acha hofu maana ni ugonjwa mfano labda nina njaa ya kitu iwe chakula au mapenzi nikikuibia hapo sina Ubaya ilimradi nipate kusurvive yaan mm nina hamu halfu nipo ktk gari mvua inaonyesha nipo na mwanamke eti nimuache hiyo formula kwangu hakuna au nina njaa nakuomba hela hutaki kunipa nakuibia na ukiniroga sirogeki hongera kwa hilo
I'm proud of you ibilis
 
Ha ha ha...arithi mema TU. Aya mengine ya hovyo aniachie nizikwe nayo.
Cha muhimu asikubali unyonge au zile stori za namuachia mungu malipo mbinguni[emoji4]
Atachukua yote mema na mabaya...
Ndo uombe sana kuvunja hayo mabaya.
Ila utaomba saa ngapi maan uko bize na mama j kuzindua style mpya[emoji2960]
 
Back
Top Bottom