ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanii dahh dunia mbayaSinaga masihara linapokuja suala la maslahi yangu,
Sitakagi unyonge kabisa Mimi, Ni bampa to bampa[emoji4]
Kuna kipind tunasoma shule,
tukiona msichana anaanza kutuzidi sana darasan,
Tunamtongoza kusudi kwa gharama yoyote ile Kisha akishafall in love,
Tunavuruga kichwa kisaikolojia kusudi ili afeli masomo yake afu boys tushike nafasi za juu Darasani[emoji2]
Poleee ndo maana una hasiraaaKawaida Sana,
Binafs nmeshajiandaa kwa karma maana mi mwnyw ni mafia.
Afu hi tabia mbona mi mwnyw nmefanyiwa Sana TU.
1. Jamaa flani alikua Kaka mkuu tuko primary Mimi std 6 yeye STD 7, afu Dem mwnyw STD 7 anaitwa linah.
Jamaa alinifayia umafia alkua na mwili mkubwa akawa. akinitisha niachane na mwanmke wangu wkt Mimi ndo nmeanza nae mahusiano. Nikienda kushtaki kw walimu hawanielewi wanamtetea kwa kua ni Kaka mkuu. Uonevu ulizidi mpk nikasalimu amri nikamwambia mdada kua tuachane uendelee na jamaa TU yamenishinda.
Jamaa kweli akamchukua Nikabaki na maumivu yangu mpk namaliza primary.[emoji2]
2. Jamaa flan mwngn alkua na duka la nguo (BOUTIQUE) Pale sinza jiran na kwa Dem wangu wa kwanza zamani enzi hizo anaitwa TINA Nikiwa sekondari.
Jamaa akanambia Dogo Sina tatiz na ww, Dem wako yeye ndio anapenda pesa zangu.Na Wewe tafuta pesa. Na kweli mwanamke yule alinipiga chini. Akawa anapewa nguo na pesa bure. Tulipomaliza form iv Dem yule Akaanza kujiunga kwny Mambo ya umiss, akaenda nje ya nchi kwny Mambo ya mitindo, skuhz sijui akaja kuishia wapi.[emoji2]
Sio kweli๐Mkuu nimesoma story zako, 80% ni kweli halafu kama nakufahamu hivi, naona umeweka codes, ngoja nikupe kwa uchache 1)Wewe sio mfanya biashara kama ulivyojiita 2)Jina lako linaanzia na herufi" M"3)Umekulia Dsm 4)Kwasasa upo Dom
Wewe ni mafia kama ninavyokujua, anyway big up...
Endelea kutuburudisha.
Sent from my SM-A605FN using JamiiForums mobile app
Ha ha ha.... Kwaiyo ukawa unafanyaje Sasa kukamilisha mission๐Mi na broo ilikuwa broo akishagonga demu ananipa namba ya demu na mimi nimgonge yeye anamuacha
Changamoto ilikuwa kupangua swali namba yangu umetoa wapi maana hapa ukimtaja broo mission failed
Usingehangaika na yote hayo bro๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ....unajua Ni process ndefu sana umefanya kumhold mchepuko.umekwama kakaTengua kauli bhana, nampenda sana wife wangu๐
Mapenzi ya kisasi mabaya sana ni kama moto wa mabuaTatizo tukiwambia wazi kua hatuwapendi mnatunyima[emoji4]
Mhh unaandikaga migazeti ndo kawaida yako sema tu haiboiiKia's chake boss, nmekosa namna nzur ya kufupisha ieleweke vizur[emoji4]
Utadhani yupo vitaniUsingehangaika na yote hayo bro[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....unajua Ni process ndefu sana umefanya kumhold mchepuko.umekwama kaka
Natunga tu mauongo namba nilipoipata mpaka namchanganya muulizajiHa ha ha.... Kwaiyo ukawa unafanyaje Sasa kukamilisha mission[emoji4]