Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Nna shida na hela twende kwenye mpesa kiosk tukaibe basi...wewe untangulie mbele me nakushkia wallet
Sijamaana hivyo hiyo itakuwa vurugu katika jamii maana yangu watu wako wa karibu ndio wanapaswa kukusaidia awe mpenz au mama au baba au kaka au mjomba au marafiki wa nyumbani na wa kazini au mapadri au masheikh hao ndio unatakiwa kuwaomba wakikataa kukusaidia nakupa haki ukiwaibia ili ukanunue chakula hupati dhambi lkn ukienda kuiba ktk mpsa au tigo pesa kwa mtu usiyemjua hiyo mbaya na dhambi
 
Kivipi, fafanua dada dada Suzy[emoji4]
Uko so manipulative rafiki yangu.

Hutaki awe na mtu wakati wewe una mke, Huwezi kumuoa, and the same time hutaki kumpa mtoto.

Sijui umri wake, lakini I think utamtumia for the rest of her life, by the time anashtuka ashakua bibi kizee bila hata mtoto wala mume.
 
Uko so manipulative rafiki yangu.

Hutaki awe na mtu wakati wewe una mke, Huwezi kumuoa, and the same time hutaki kumpa mtoto.

Sijui umri wake, lakini I think utamtumia for the rest of her life, by the time anashtuka ashakua bibi kizee bila hata mtoto wala mume.
Cha muhimu Nampa anachotaka, hajalalamika bali anaenjoy.
Mi sidhan Kama kuna tatizo na Hilo kabisa
 
Sijamaana hivyo hiyo itakuwa vurugu katika jamii maana yangu watu wako wa karibu ndio wanapaswa kukusaidia awe mpenz au mama au baba au kaka au mjomba au marafiki wa nyumbani na wa kazini au mapadri au masheikh hao ndio unatakiwa kuwaomba wakikataa kukusaidia nakupa haki ukiwaibia ili ukanunue chakula hupati dhambi lkn ukienda kuiba ktk mpsa au tigo pesa kwa mtu usiyemjua hiyo mbaya na dhambi
Me yatima
Hao ulowataja hawapo ntaibia wapii
 
Ndiyo maana watu tunashangaa why nchi yetu nzuri yenye neema tele, haina maendeleo. Sababu ni watu kama hawa. Bure kabisa! Afadhali hizo nguvu za kufanya stupidity ungewekeza zisaidie kufufua umeme wa JNHPP kule Mto Rufiji au hata kuzindua SGR.
 
Ndiyo maana watu tunashangaa why nchi yetu nzuri yenye neema tele, haina maendeleo. Sababu ni watu kama hawa. Bure kabisa! Afadhali hizo nguvu za kufanya stupidity ungewekeza zisaidie kufufua umeme wa JNHPP kule Mto Rufiji au hata kuzindua SGR.
Nikifanya hivo mama Samia akafanye Nini Sasa, au utashiriki kumsaidia kampeni 2025 kuelezea aloyafanya Kwny utawala wake?
 
Ndiyo maana watu tunashangaa why nchi yetu nzuri yenye neema tele, haina maendeleo. Sababu ni watu kama hawa. Bure kabisa! Afadhali hizo nguvu za kufanya stupidity ungewekeza zisaidie kufufua umeme wa JNHPP kule Mto Rufiji au hata kuzindua SGR.
Imagine maisha bila mapenziii?
Imagine maisha bila ishu kama hizo za kuzindua mabwawa?
Hayo yote na mengine ambayo sijayataja ndo yanayofanya dunia izunguke bila hayo hakuna ukamikifu wa maisha.
Kila mtu ni expert kwa upande flani..
Binam yangu ni expert kipande hiki na wewe ni expert kipande kingine...
Huku kama sio kwako tupatie break pls
 
Nikifanya hivo mama Samia akafanye Nini Sasa, au utashiriki kumsaidia kampeni 2025 kuelezea aloyafanya Kwny utawala wake?
Kapotea njia huyu ndo wale wanachapiwa wake daily maana anashindana na maisha kama vile ameyaumba yeye hayo maisha mwisho kwenye pale kati anaharibu mazima
 
Ndiyo maana watu tunashangaa why nchi yetu nzuri yenye neema tele, haina maendeleo. Sababu ni watu kama hawa. Bure kabisa! Afadhali hizo nguvu za kufanya stupidity ungewekeza zisaidie kufufua umeme wa JNHPP kule Mto Rufiji au hata kuzindua SGR.
Mkuu we ni muhaya?
 
Bora uombe upewe na sio uibe.[emoji4]
Tatizo sio Kwamba tunazificha, Ni Kwamba hata sis hazitutoshi[emoji2]
Mkiombwa hamtoii mtaanza ku list matatizo yenu mwisho unamchosha hata muombaji [emoji56][emoji56]
Dawa muibiwe tuu kama bwana iblis bin shetan anavyoshauri
 
Back
Top Bottom