Ha ha ha.......
Kwakweli Mimi kuacha sehem nishaona nimepaelewa, Apo hunambii kitu.
Zaman kidg Kuna dada angu mmoja (mtoto wa bamkubwa) alkua anasema anasema,
"Mimi mwanaume nikimuelewa hata Kama kaoa wanawake watano, ntamtongoza TU, Na akinikataa nambaka. Afu baada ya Apo ntajichomeka tu humo humo Kwny mahusiano yake ntajua mimi chakufanya anipende zaidi"
Mungu sio athuman nadhan yakatimia, miaka 5 mbele akaja kaolewa Kama MKE mdg kwa jamaa mmoja mkenya, anasema yeye ndo mwanaume alomwelewa na asipangiwe na mtu Ayo maamuz yake.
Wako Mombasa sahivi😊