Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Ha ha ha.......
Kwakweli Mimi kuacha sehem nishaona nimepaelewa, Apo hunambii kitu.

Zaman kidg Kuna dada angu mmoja (mtoto wa bamkubwa) alkua anasema anasema,
"Mimi mwanaume nikimuelewa hata Kama kaoa wanawake watano, ntamtongoza TU, Na akinikataa nambaka. Afu baada ya Apo ntajichomeka tu humo humo Kwny mahusiano yake ntajua mimi chakufanya anipende zaidi"

Mungu sio athuman nadhan yakatimia, miaka 5 mbele akaja kaolewa Kama MKE mdg kwa jamaa mmoja mkenya, anasema yeye ndo mwanaume alomwelewa na asipangiwe na mtu Ayo maamuz yake.

Wako Mombasa sahivi😊
🤣🤣🤣🤣😂 Basi hako katabia la kung'ang'ania kapo kwenye damu yenu kabisaa
 
Imagine maisha bila mapenziii?
Imagine maisha bila ishu kama hizo za kuzindua mabwawa?
Hayo yote na mengine ambayo sijayataja ndo yanayofanya dunia izunguke bila hayo hakuna ukamikifu wa maisha.
Kila mtu ni expert kwa upande flani..
Binam yangu ni expert kipande hiki na wewe ni expert kipande kingine...
Huku kama sio kwako tupatie break pls
Nakadori wewe ni mpuuzi nini? Take yourself into the shoes of his wife na malaya wake huyo! Foolish ^man^ you!
 
🤣🤣🤣🤣😂 Basi hako katabia la kung'ang'ania kapo kwenye damu yenu kabisaa
Ha ha ha....Nadhan Unaweza kua sahii.

Maana mom wangu alizaliwa muislamu, kafall in love na baba akiwa mkatoriki.
Kwao wakamtenga kisa kaolewa na kafiri. Hakujali akaamia kwa mzee.

Sema Sasa kwa mzee nako akagoma kubadili dini, wakaishi hivo hivo mzee anaenda kanisani, mama anatia zake ushungi anaenda mskitini na mpk leo wako Pamoja hivo hivo.

Sema Mimi nikafata dini ya mzee😊
 
Ukisoma huu uzi utagundua wanaume ni viumbe wa namna gani, kumbe wanfanana kama maoacha yaani
 
Sinaga masihara linapokuja suala la maslahi yangu,

Sitakagi unyonge kabisa Mimi, Ni bampa to bampa[emoji4]

Kuna kipind tunasoma shule,
tukiona msichana anaanza kutuzidi sana darasan,

Tunamtongoza kusudi kwa gharama yoyote ile Kisha akishafall in love,
Tunavuruga kichwa kisaikolojia kusudi ili afeli masomo yake afu boys tushike nafasi za juu Darasani[emoji2]
Mbaya zaidi sasa hivi nchi inaongozwa na mwanamke, bunge liko chini ya mwanamke, wizara nyeti ziko chini ya wanawake, hebu jaribu kufanya figisu tuone
 
Ha ha ha....Nadhan Unaweza kua sahii.

Maana mom wangu alizaliwa muislamu, kafall in love na baba akiwa mkatoriki.
Kwao wakamtenga kisa kaolewa na kafiri. Hakujali akaamia kwa mzee.

Sema Sasa kwa mzee nako akagoma kubadili dini, wakaishi hivo hivo mzee anaenda kanisani, mama anatia zake ushungi anaenda mskitini na mpk leo wako Pamoja hivo hivo.

Sema Mimi nikafata dini ya mzee😊
Mmmh Nyie kwenu Ni kiboko..mnapambania penzi lenu.....vipi Sasa hujawaza mchepuko kuuhalalisha japo bomani?maana umemwaribia tayari?
 
Ukisoma huu uzi utagundua wanaume ni viumbe wa namna gani, kumbe wanfanana kama maoacha yaani
Sasa ningefanyaje Mimi?,
Na kuruhusu ndege wangu apepee ni kitu isiyowezekana kabisa😃

afu kingine mdada an alikua mhuni TU Kama Mimi, maana anajifanya anawivu namimi kumbe anamahusiano ya pembeni akija KWANGU ananiigizia tu.

Nadhani Tusiangalie upande mmoja TU shilingi😊
 
Mbaya zaidi sasa hivi nchi inaongozwa na mwanamke, bunge liko chini ya mwanamke, wizara nyeti ziko chini ya wanawake, hebu jaribu kufanya figisu tuone
Huu muula huu mnauringia sana mmeshasahau huko nyuma mlikuwa mnaongozwa na nani


Anyway hua wanaume hatupigi kelele ngoja miaka 10 iishe [emoji3]
 
Mbaya zaidi sasa hivi nchi inaongozwa na mwanamke, bunge liko chini ya mwanamke, wizara nyeti ziko chini ya wanawake, hebu jaribu kufanya figisu tuone
Ayo Ilikua enzi hizo mwanafunz nasoma, but mpk now ukileta maigizo Lazima nikufanyie figisu TU.

Maana nyie wanawake sometimes hamjui mnataka Nini wala mnasimamia nini😃
 
Sasa ningefanyaje Mimi?,
Na kuruhusu ndege wangu apepee ni kitu isiyowezekana kabisa[emoji2]

afu kingine mdada an alikua mhuni TU Kama Mimi, maana anajifanya anawivu namimi kumbe anamahusiano ya pembeni akija KWANGU ananiigizia tu.

Nadhani Tusiangalie upande mmoja TU shilingi[emoji4]
Sema the worst you did ni kumuharibia future, ungemuacha aolewe kama kweli unampenda na kumjali, you knew exactly kwamba you won't marry her and yet ukamzibia bahati yake

I feel sorry for her na what i can see huyo mchepuko atazeeka akiwa hana nyuma wala mbele
 
Mmmh Nyie kwenu Ni kiboko..mnapambania penzi lenu.....vipi Sasa hujawaza mchepuko kuuhalalisha japo bomani?maana umemwaribia tayari?
Tabia zake ndo kikwazo,

Kwenye ule Uzi wa Kwanza, nishajaribu Sana kumtuliza atulie ila anaishi maisha ya bongomovie. Afu ananichukulia danga.

Kwaiyo nilichoamua Ni usanii juu ya usanii, kanichukulia danga namimi namchukulia kahaba. Simuoi Wala nini mpk pale akili itakapomkaa sawa.

Kumwacha simuachi, akipata mtu nawavuruga anarudi kwangu.
Yaani Ni bampa to bampa mpka
Atakapobadilika akawa mwanamke Bora Kama wengine.
 
Back
Top Bottom