Hata hatumii wala haijui JF,Hahahahha! Aisee!.
Hatumii JF nini?..
Ha ha ha ....[emoji2]DeepPond is the son of Iblis Bin Shetan
πππππHata hatumii wala haijui jf,
labda uyo jamaa ndo awe humu jf
Leo Kuna mtu flani kanambia mwezi wa 10 mwaka Jana uyo jamaa ndo alifunga ndoa na mwanamke mwngn, ndo nikikumbuka icho kisa na kukileta humu leo[emoji2]
Hehehe hopeful mwenyewe hajasoma hapaDeepPond is the son of Iblis Bin Shetan
I told u kwamba una ego ukakataaBinamu,
Yaan Kumpata na kumkeep wa type yako ile Ni gharama Sana usichukulie poa[emoji4]
Wazungu wanasema,
Survival for the fittest[emoji4]
Kuna siku yako inakuja halafu utajiona lofa binamuHa ha ha ....[emoji2]
Ni survival for the fittest.
Binafs Hii tabia nmeanza tangu Niko sekondari, napenda sna mashindano hasa Aya ya kupindua meza[emoji2]
Soon karma will get him good, asipobadilika.Hehehe hopeful mwenyewe hajasoma hapa
Sinaga masihara linapokuja suala la maslahi yangu,I told u kwamba una ego ukakataa
Yani wewe ni yule wa mimi kwanza linapokuja swala la maslah yako...
Anyways nimemuonea huyo mkaka wa watu huruma sana[emoji17]
πππππHa ha ha ...
Atatamani Dunia ipasuke maana kachoreshwa picha la ajabu afu kapigwa chini kimiujiza[emoji2]
Kawaida Sana,Kuna siku yako inakuja halafu utajiona lofa binamu
Inaumaga sana.. ππAcha kabisa,
Hamna kitu Inauma unapigwa chini afu hujui imekuaje kuaje[emoji1787]